Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mkuu nimejarb Ku concentrate kwny hcho kidot lakn nlichoambulia n kuwa huo mchoro wa kulia umepotea Na nkabakia kuona huo mwekund Tu, hii tafsr yake n nn?
 
Mkuu nisaidie namna yakupata iyo ya kwanza.
 
Meditation ni hatari sana, nina fact chache sana juu ya huu mchezo nilifatilia kwa Masta mmoja kule arusha amabaye walikuwa na Master mkuu trainer kutoka ufaransa. Aliniambia kila mwanadam ana milango saba, na vivuli sita..lakini hakuna hata mmoja ambaye amewahi kuachieve the best kwa kutumia zote. Meditation ni hatua ya awali sana katika huo mchakato..alinieleza sarakasi nyingi za huyo mfaransa Mungu akipenda kesho nitamwaga yote hapa jamvini, kaeni mkao wa kula..nimevutiwa na mada ksho pia nitatoa side effect
 
Mkuu namimi nahitaji sana. Hii
 
Wengine wanamtungia majina ya ajabu siku hizi ilimradi waharibu sifa hii
 
Kumbe kuna mpaka sarakasi?? Basi ni wazi kabisa kuwa hiyo haikuwa meditation. Hivi hiyo kesho bado haijafika tu???
 
Huwezi kumfananisha Nabii Daudi A.S. na Nabii Suleyman na binadamu wa kwaida wale ni Mitume wa Mwenyeezi mungu amewapa kila kitu wanacho hitaji wewe binadamu wa kawaida unazini uankunyw apombe unaroga watu unasema maneno ya uongo utaweza kweli kufanana na Mitume ya Mwenyeezi Mungu? Ukiwa unafanya mijuzi basi utakuwa unatumia Power ya Shetani sio Power ya kawaida ya binadamu. Binadamu wa mwisho kufanya Miujiza Alikuwa na Bwana Yesu A.S. hakuna mtu mwengine aliye fanya Miujiza zaidi yake yeye. ukisema wewe unafanya Miujiza basi kuna Jini au Shetani ndio anaye kusaidia kufanya hiyo miujiza sio nguvu zako mwenyewe acheni kuwaficha watu.
 
Dah inanikumbusha filamu moja inaitwa LOST naona mambo mengi mule yameelezwa lakn kwa ufichoficho
 
mimi pia the same!
nimehisi unaeleza nguvu nilizonazo mimi
Mume wangu ni shahidi
sizipedni zinanifanya najua vitu sikutakiwa kujua na hakika inanitesa!ni kama natamani nisiwe hivi
Mi hata shule ,nilikuwa naotea maswali ,kati ya matano ujue matatu niliyasoma usiku kama yalivyo!
hata kazi,hakuna interview nimeomba kazi nimekosa!
wakiniita tu kwisha habari yao!
kazi zingine hata nashangaa nimepataje,hapo wameshapita wengine walio na elimu kunizidi
!ah hat sielewi
ila yote tisa kumi hii ya kujua sa hizi kitu yangu inaliwa!
uuuuuuuuwih siitaki hata kuisikia!
inipitie kushoto jamani!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…