Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Hee hatari
 
Buddhism naisubiri aisee
 

Anaye kulaumu wewe PASCHAL hana akili na haujui ukweli kwa maelezo haya nikukubali kwa asilimia 1000% nguvu zote zina gharama lakini za shetani zina gharama kubwa zaidi hadi kupoteza uhai( KWA MUNGU IMANI MATENDO MEMA NA KUFUNGA UTAPATA KILA KITU MILELE) KWA SHETANI IMANI NA KAFARA ZA DAMU ZA WATU UNAPATA KILA KITU KWA MUDA MAALUMU TU.) ila wabishi na wabishe UKWELI NDIYO HUO ENDELEA KUTOA DARASA WATU TUJITAMBUE.
 
Mods muwe mnaangalia haya majina jamani.eti bado mmoja.khaaa
 
Yani mimi sjui inakuaje mambo haya maana kuna siku nlienda kwa rafiki angu sikumkuta na nlikua na shida nae sanaaa nliongea na picha yake tu kwamba aje nna shida nae basi haikuchukua mda mrefu akaja na alikuwa ameenda mbali Kweli nlishangaa sana na vipo vingine zaidi ya hivyo
 
Hongera, nielezee vingine huenda nami vinanitokeaga ila sijavitia maanani.
 
mkuu mbona kama changa la macho, kama uliongea na picha makusudically kabisa kilichokushangaza nini
 
funnguka zaidi tukuelewe
 
Im like you...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…