Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?



Hapa umenigusa mm kabisa....ngoja nimalize kusoma nitakuja kuelezea zaidi na kuhitaji msaada pia
 
nime kuja ""ngoja niyafuatilie haya mambo vyema sasa...rasmi"" namimi nianze kufnya meditation""
 
Mshana tupe vitabu
 
Asa unajuaje una nguvu Ya Aina gani na mtu anaweza kUmiliki nguvu ngap labda ulizozitaja apo
 
nikimaliza hili zoezi nitakutafuta kwa mundelezo mkuu...

thnks.
 

Mkuu Asante sana kwa uzi huu
Nimejifunza mengi sana
Tukionana in person nina imani utanifahamisha mengi
Asante sana
 
. Sometimes hua nafatilia sana makala yko...ila huwa uweki wazi nn faida ya elimu yako unayotupa hasa mambo ya meditation nk....au hazna faida ni kama uchaw wa bongo tu kutishana
 

Mkuu Pasal
Huu ulikuwa mtihani mkubwa sana
 

Thanks a lot for sharing this!!!
Truly appreciate brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…