Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

mi ninachokumbuka nguvu yangu, naoneshagwa kesho itakavyokua, na kweli kesho katika mizunguko yangu naweza ona kitu ambacho jana nimekiona ndotoni, alafu nasema hapa kutakua hivihiv baada ya muda huwa linatokea tukio nililolisema,,,. Pia nilishawahi tokewa na tukio nikiwa shule ya msingi. kituo cha magomeni hospital nilipanda basi kuelekea kawe, baada ya kama dk 15 ndani ya lile basi nikawa nimeshafika kawe, nikasikia konda akisema kawe kanisani, nikamwambia shusha, ile nashuka tu mara vuup najishtukia nipo magomeni palepale, japo hii si nguvu ya asili, nafikiri nilifanyiwa/nilipanda basi la wachawi, siisahau hii siku,
kamwe usijidanganye rafiki, kuna spirt za mababu walokufa huwa znafutilia sana koo zetu, roho hizi hutenda kazi kama kukuotesha unachimba mzizi wa mti flani ndo dawa na ukifanya hivyo inakuwa dawa kweli...sprite hizo ni mizimu kwa lugha nyingine , ni roho na ikumbukwe mwili hufa ila roho haifi...roho ambazo wamiliki wazo hawakutenda mema hukosa mahali pa kustarehe baada ya mtu kufa hali ambayo hupelekea kuwaingia ndugu hasa ukoo wake i mean watoto,wajukuu,vitukuu,vilembwekeze n.k....hizi ndo huwaletea watu fikra flani flani hivi, k.v eneo flani unahisi umewahi kuwepo kabisa ni roho [mizim] hizo ndo hufanya hayo..YESU ikumbukwe alisema ntawaachia roho mtakatifu ambaye atawafundisha kweli yote, huyo ndo roho ambaye anatujuza kweli yote kabisa ikiwemo hii ya kuzitambua roho hizi [mizim]...rafiki mambo haya usiyaangalie kimtazamo wako utapotea kabisa, ikumbukwe after the death mambo haya ndo sehem ya maisha yetu asee,hivyo mwombe sana MUNGU ndo muumbaji hata mapepo,mizimu,majini na shetani mwenyewe analitambua hili ,yeye atakusaidia na kukutoa ktk haya..

......usipo niamini haya niyasemayo muamuni YESU bila kusita atakusaidia na ww kama alivyonisaidia na mimi ...devil is the liar so be carefully kabisa..samahani km nmekukosea asee
 
Hii huwa inanikuta na huwa nachukia sana... unaishi maisha ya kesho... unaota umekutana na fulani mahali fulani na rangi za nguo na mzingira the same na kweli inatokea.... Kwa akili yangu huwa naamini kuna spirit yuko ndani yangu sijui ... hutokea sana nikiwa nasali sana na kuacha dhambi... hadi huwa inaboa
muombe sana MUUMBA akujuze juu ya roho hiyo km ni mizim au ni MUNGU ndo anafanya haya....lkn km ulivyosema hutokea unapo tubu na kuanza kuomba sana you never no,pengine ni MUNGU anataka akufanyie jambo flani km huduma but hili lipo kama unaishi maisha matakatifu [haki]...
 
kuna watu anamuangalia mbuzi machoni mpaka mbuzi anakufa au anaangalia kitu mpaka kinasogea
kaka nmeona umeandika ulipiga hadi coarse iitwayo sattanism,lkn kwa maelezo yako hii ilisababishwa na desire yako ya kutaka kujua mambo haya,, ni kama mtoa post alivyo na mtazamo wake,satan ni mjanja sana na hucheza na mind zetu,ndo maana YESU KRISTO alionya akisema 'iweni wajanja km nyoka [satan] na wapole km hua'
[njiwa].. shetan amefanikiwa sana kuwahadaa watu kupitia mind zao asee,,lkn fikilia ni kwa nn watu hawa walifundisha hadi sattanism??? na yakapingana na imani yako?? nadhani yalianza km fikra za mtoa post,lkn kumbuka nguzu hizi zmekuwa zikifail likitajwa jina la YESU na wenye imani, SO TUWENI MAKINI NA MIND ZETU ZIUFIKILIE UFALME WA MUNGU... fikilia pia n kwa nn ni rahisi sana mtu kusema ameweza jambo flani kwa nguvu za MUNGU??... Na hawasemi ni shetani kaniwezesha hata km waliomba mashetani yawasaidie?? hapo ndo ujue njia ya kweli ni kuamini nguvu za KIMUNGU na si kujiaminisha km mtoa mada anavyodhania!!!!.
 
kaka nmeona umeandika ulipiga hadi coarse iitwayo sattanism,lkn kwa maelezo yako hii ilisababishwa na desire yako ya kutaka kujua mambo haya,, ni kama mtoa post alivyo na mtazamo wake,satan ni mjanja sana na hucheza na mind zetu,ndo maana YESU KRISTO alionya akisema 'iweni wajanja km nyoka [satan] na wapole km hua'
[njiwa].. shetan amefanikiwa sana kuwahadaa watu kupitia mind zao asee,,lkn fikilia ni kwa nn watu hawa walifundisha hadi sattanism??? na yakapingana na imani yako?? nadhani yalianza km fikra za mtoa post,lkn kumbuka nguzu hizi zmekuwa zikifail likitajwa jina la YESU na wenye imani, SO TUWENI MAKINI NA MIND ZETU ZIUFIKILIE UFALME WA MUNGU... fikilia pia n kwa nn ni rahisi sana mtu kusema ameweza jambo flani kwa nguvu za MUNGU??... Na hawasemi ni shetani kaniwezesha hata km waliomba mashetani yawasaidie?? hapo ndo ujue njia ya kweli ni kuamini nguvu za KIMUNGU na si kujiaminisha km mtoa mada anavyodhania!!!!.
sawa kaka ila nyie walokole hamna shida kwani mpo kama kondoo siku mtajua jamaa zenu kumbe wanatumia nguvu za giza pia sijui itakuwaje
 
Hii huwa inanikuta na huwa nachukia sana... unaishi maisha ya kesho... unaota umekutana na fulani mahali fulani na rangi za nguo na mzingira the same na kweli inatokea.... Kwa akili yangu huwa naamini kuna spirit yuko ndani yangu sijui ... hutokea sana nikiwa nasali sana na kuacha dhambi... hadi huwa inaboa
Kuwa positive na jaribu usisali sana maana kuna nguvu mpya inataka kukufundisha vitu vipya sio kama ulivyozoe na kufundishwa na wazazi au society!
Acha dhambi kama unavyodai lakini jiachie kwa nafsi yako ya ndani inavyo kutuma!
 
sawa kaka ila nyie walokole hamna shida kwani mpo kama kondoo siku mtajua jamaa zenu kumbe wanatumia nguvu za giza pia sijui itakuwaje
Hapo ndipo inspotisha! Unaenda kwa mkuu wa dini akuombee kumbe mwizi wa nyota!
 
sawa kaka ila nyie walokole hamna shida kwani mpo kama kondoo siku mtajua jamaa zenu kumbe wanatumia nguvu za giza pia sijui itakuwaje
kaka mm mwenyewe n mhubiri na YESU kanifanyia mengi sasa mm binafsi ikiwa n pamoja na kuwaumbua wachawi na wao kunifuata na kunilaum nawahalibia mambo yao..so mambo haya sijaona kwa wachungaj bali n mm mwenyewe nikitumia jina la YESU tu bila kingine
 
Daa mimi kuna jamaa kani dhulumu kama 280k iv anae weza nisaidi plz uyu jamaa arudishe hela yangu [emoji27]
 
kaka nmeona umeandika ulipiga hadi coarse iitwayo sattanism,lkn kwa maelezo yako hii ilisababishwa na desire yako ya kutaka kujua mambo haya,, ni kama mtoa post alivyo na mtazamo wake,satan ni mjanja sana na hucheza na mind zetu,ndo maana YESU KRISTO alionya akisema 'iweni wajanja km nyoka [satan] na wapole km hua'
[njiwa].. shetan amefanikiwa sana kuwahadaa watu kupitia mind zao asee,,lkn fikilia ni kwa nn watu hawa walifundisha hadi sattanism??? na yakapingana na imani yako?? nadhani yalianza km fikra za mtoa post,lkn kumbuka nguzu hizi zmekuwa zikifail likitajwa jina la YESU na wenye imani, SO TUWENI MAKINI NA MIND ZETU ZIUFIKILIE UFALME WA MUNGU... fikilia pia n kwa nn ni rahisi sana mtu kusema ameweza jambo flani kwa nguvu za MUNGU??... Na hawasemi ni shetani kaniwezesha hata km waliomba mashetani yawasaidie?? hapo ndo ujue njia ya kweli ni kuamini nguvu za KIMUNGU na si kujiaminisha km mtoa mada anavyodhania!!!!.
POint on fact huyu mtoa mada ajasoma bibilia kakulupuka bible ina sema nyakati za mwisho ni nyakati za hatari kutaongezeka maarifa sana hii ni quote from daniel lakini pia wewe mtoa mada kasome 1timotheo 4:1-3
 
Daa mimi kuna jamaa kani dhulumu kama 280k iv anae weza nisaidi plz uyu jamaa arudishe hela yangu [emoji27]
hahahaa! according to mtoa post unazo nguvu ukijiamin na kujua kuzitumia just apply ili uone mtoa post was posted nothing
 
Labda kama Pasco atafungua temple mkutane huko, lakini kama uzi utaendelea kuwepo hapa tutazidi kuujadili tu. Na hivyo vifungu unavyovipongeza hata havihusiani na hiki anachokifundisha humu. Vinginevyo ungeshavisoma au kuvisikia kanisani kwako siku nyingi tu. Tatizo common sense haiko common kama inavyoitwa. Wewe subiri hiyo spoonfeeding na uvivu wako wa kutafiti mambo. Hizi eastern mysticism India ndio haswa asili yake, hivyo ingetarajiwa kwamba asilimia kubwa ya watu wa huko wawe maisha bora. Lakini ajabu ukweli ni tofauti kabisa. Why?

Warning: kama hii elimu yenu itaendelea kutumia Biblia, jueni kwamba itakuwa ime-qualify kuwa imani ya kidini, hivyo mafundisho yake yataendelea kuhojiwa tu.
Nyenyele inaonesha wazi umeegemea kwenye kupinga tuu huna point ya msingi zaidi ya kupinga tuu hum kuna wakristo weng Sana lkn wanasubili waone mwishowe itakuaje ndipo waanze kuleta hoja lkn ww na kundi lako LA watu watatu mnataka kuvuluga mjadalaa.iv kwan? hakuna njia ya kuwaondoa hawa watu hum
 
Nyenyele inaonesha wazi umeegemea kwenye kupinga tuu huna point ya msingi zaidi ya kupinga tuu hum kuna wakristo weng Sana lkn wanasubili waone mwishowe itakuaje ndipo waanze kuleta hoja lkn ww na kundi lako LA watu watatu mnataka kuvuluga mjadalaa.iv kwan? hakuna njia ya kuwaondoa hawa watu hum
Uzi wa mwaka gani huu? It seems you have an agenda, haya Sena tukusikie
 
Kaka PASCO yaani tangu nianze kuupitia huu uzi jpili, nikaamua kupitia vitabu viwili nili download "Bring out the magics in you mind, by Al koran" na "The Power of your Subconscious Mind by Dr Joseph Murphy" yaani nimepata mwanga ambao naanza kuona wenzangu wana mzaha sana na maisha ya leo na baadaye (life after death). Kila jambo nimeona likitokea nimelihusisha na hizi nguvu, hakuna nguvu kubwa na hatari kama "kuamini". Hata mlango ukijifunga nahisi ni yale yale. Inatia hofu mkuu maana kwenda deep sana naweza kuwa na hizi nguvu na nikaanza kuzi-misuse na kumkosa YESU KRISTO litakuwa kosa kubwa na sidhani kama kutakuwa na point of return. Ila very interesting. Thanks PASCO
share hivo vitabu mkuu...!!
 
Pasco,
Hongera kwa kutia changamoto kwenye jamii yetu. Hii elimu si popular kwenye jamii yetu, ndio maana wengi hawakuelewi. Mwanzoni wakati naanza kufuatilia mambo ya POWERS nilichukua sana taadhari nikidhani ni mambo hatari; lkn HATIMAYE nikaja baini SI HATARI KIVILE ingawa NI HATARI to some extent hasa kwenye mambo kama Aura transportation au mambo ya multilocation, mtu asipokuwa na mkufunzi aweza kujikuta kwenye brain damage, paralysis au hata death!

Lakini pia mtu kuelewa power iliyo active ndani yake ni vyema akafundishwa basically khs mambo ya 'power channeling wheels' maarufu 'chakra' na jinsi ya kuzi-activate ili ziwe active na kuripua hizo inner energies ambazo wewe unaita power within.

Nashauri ukipata nafasi jaribu kufundisha kwanza mambo haya kabla watu hawajaanza ku-practice, vinginevyo itajaleta madhara kwa baadhi na lawama zote zitakujia wewe.

Elimu uliyoachiliwa wewe ni MUHIMU and it works, lkn kwa beginners HAIWEZI kuwasaidia sana.


Ni mawazo yangu.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom