kamwe usijidanganye rafiki, kuna spirt za mababu walokufa huwa znafutilia sana koo zetu, roho hizi hutenda kazi kama kukuotesha unachimba mzizi wa mti flani ndo dawa na ukifanya hivyo inakuwa dawa kweli...sprite hizo ni mizimu kwa lugha nyingine , ni roho na ikumbukwe mwili hufa ila roho haifi...roho ambazo wamiliki wazo hawakutenda mema hukosa mahali pa kustarehe baada ya mtu kufa hali ambayo hupelekea kuwaingia ndugu hasa ukoo wake i mean watoto,wajukuu,vitukuu,vilembwekeze n.k....hizi ndo huwaletea watu fikra flani flani hivi, k.v eneo flani unahisi umewahi kuwepo kabisa ni roho [mizim] hizo ndo hufanya hayo..YESU ikumbukwe alisema ntawaachia roho mtakatifu ambaye atawafundisha kweli yote, huyo ndo roho ambaye anatujuza kweli yote kabisa ikiwemo hii ya kuzitambua roho hizi [mizim]...rafiki mambo haya usiyaangalie kimtazamo wako utapotea kabisa, ikumbukwe after the death mambo haya ndo sehem ya maisha yetu asee,hivyo mwombe sana MUNGU ndo muumbaji hata mapepo,mizimu,majini na shetani mwenyewe analitambua hili ,yeye atakusaidia na kukutoa ktk haya..mi ninachokumbuka nguvu yangu, naoneshagwa kesho itakavyokua, na kweli kesho katika mizunguko yangu naweza ona kitu ambacho jana nimekiona ndotoni, alafu nasema hapa kutakua hivihiv baada ya muda huwa linatokea tukio nililolisema,,,. Pia nilishawahi tokewa na tukio nikiwa shule ya msingi. kituo cha magomeni hospital nilipanda basi kuelekea kawe, baada ya kama dk 15 ndani ya lile basi nikawa nimeshafika kawe, nikasikia konda akisema kawe kanisani, nikamwambia shusha, ile nashuka tu mara vuup najishtukia nipo magomeni palepale, japo hii si nguvu ya asili, nafikiri nilifanyiwa/nilipanda basi la wachawi, siisahau hii siku,
......usipo niamini haya niyasemayo muamuni YESU bila kusita atakusaidia na ww kama alivyonisaidia na mimi ...devil is the liar so be carefully kabisa..samahani km nmekukosea asee