Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mkuu mayenga, mimi nina
Telepathy
- Transfer of thoughts or emotions, kwa kiasi kidogo!. Zamani nikiwa kijana mdogo nikisoma sekendari ya Tambaza na baadae Ilboru, ilitokea kuna vibinti fulani vya Kisutu na Jangwani, nilivitazama kwa kuvihitaji tuu, nikaja kuvipata!.

Ikawa nikienda kwenye party, nikimsimikia binti, nikimtazama kwa concentration huku nikisema kimoyo moyo, nakuhitaji!, yule binti, atageuka na macho yakigona tuu, nitatoka nje, atanifuata!, tutazunguka tuu mahali popote penye faragha!, nitamaliza shida zangu na kurudi kwenye party!.

Nilipomaliza na kujiunga JKT, kule ikawa balaa!, kila macho yanapoona, moyo ukipenda, napita na sikosi!.
Nilipoanza kazi, nikajikuwa huwa nakuwa MC, nikawa nikienda kwenye sherehe mbalimbali, naondoka na mtu!. Hata nikiwa kwenye Daladala, nikizimika mahali, natazama tuu, nikishuka naye anashuka!.

Matumizi ya nguvu hizi yalikuwa ni kwa "kata funua tuu!, mpaka nilipokutana na dada mmoja aliyekuakisoma Jangwani, ndipo akanieleza kuhusu uwezo huo, na ninachokifanya ni abuse of power! akanionya nikiendelea hivyo matokeo yake yatakuwa nini, ndipo nikabadilika!.

Ila mpaka leo, kuna mtu nikimfikiria tuu, anatoke, au nafika mahali na kuambiwa, una maisha marefu, sasa hivi tulikuwa tunakuzungumza!. Au uko mahali unatembea, njia nyembamba, unataka kupishana na mtu, ukienda upende ule naye anakuja huko, ukirudi huku naye anarudi huku hadi mnataka kugongana unaamua kusimama mpishane!.

Pia nina Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen. kidogo. Kuna mambo huwa naota yanakuja kutokea!. Nina kitu kinaitwa "intuition!" yaani kabla sijafanya jambo, unapata hisia this is not gona work!, au unakutana na mtu anakuzimikia sana for real, wewe unaona its not for real!. Au ndani ya ndoa, ikitokea wife ame cheat, utajua!, huwezi kuuliza kwa sababu huna ushahidi, ili mtu akicheat, ujue atacheat tena!, nilianza kufanya kazi ya kukusanya ushahidi nikathibitisha!, na nilisamehe kwa kujifikiria ni mara ngapi nilipitia wake za watu!, wengine wakiwa ni wake wa marafiki zangu kabisa!.

Pia naweza kufanya Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things kwa kiwango kidogo!, nikikutana na mtu for the first time, I can tell huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya!. Hii nimeiwea kwa practice kutoka kwenye net.
Retrocognition - Perception of past events imeishanitokea mara kadhaa, naweza kufika mahali for the first time, na kujiona I have seen this place before ila sikumbuki ni wapi!, au nimekutana na mtu for the first time, na kujiona I've seen him before sijui ni wapi!, hii inaitwa De-ja-vu kwa Kifaransa!.

Nimesoma sana vitabu vingi vya mambo haya, hivyo naangalia uwezekano wa kufungua more evenues kwa meditation ila kwa njia ya natural sio kupitia secret societies kama Freemasons, Illuminati au Rosecrusians. Hawa jamaa ndio ma master wa haya mambo ila wanafanya siri!. Matajiri wengi wanatumia powers hizi kupata utajiri iwe ni kwa njia za sala kupitia makanisa ya wokovu, waganga wa kienyeji, kujiunga na vikundi kama freemasons etc, all and all its works of powers!.
Pasco.
DUH MKUU KUNA ELEMENTS NAMI NINAZO NAWE HAPO UMETAJA
 
telepathy inanihusu asee, nkikaa kimya nkimfikiria mtu haipit hata dakika anatokea , hata kama huyo mtu sio rafiki yangu sana , nkimuwaza tu flani anatokea
 
hizi ni akili za wahashi huru! kumwambia mtu kuwa aamini kuwa hata kama huamini hakuna Mungu unaweza kufanya muujiza hakuna kitu kama hicho!
nijuavyo mimi anayeweza kufanya miujiza ni lazima aamini upande mmoja wa shilingi either Mungu au shetani tofauti na hapo hakuna muujiza wowote, hata vitabu vya dini vimethibitisha uwepo wa nguvu nyingine kutoka upande wa pili.
Well said
 
Meditation ni hatari sana, nina fact chache sana juu ya huu mchezo nilifatilia kwa Masta mmoja kule arusha amabaye walikuwa na Master mkuu trainer kutoka ufaransa. Aliniambia kila mwanadam ana milango saba, na vivuli sita..lakini hakuna hata mmoja ambaye amewahi kuachieve the best kwa kutumia zote. Meditation ni hatua ya awali sana katika huo mchakato..alinieleza sarakasi nyingi za huyo mfaransa Mungu akipenda kesho nitamwaga yote hapa jamvini, kaeni mkao wa kula..nimevutiwa na mada ksho pia nitatoa side effect
Mbona hujashusha hiyo kitu??
 
Hii mada nzuri sana ,nashukuru sana nimetokea kuiona.Nimesoma kwa umakini kuhusu Psychic Powers ambayo umeainisha hapo juu.

subiri nitoe ushuhuda wangu japo nilikuwa na plan ya kuandaa Thread ila ntaeleza kwa ufupi tu

Mimi hapa ni mpenzi wa masuala mengi lakini miongoni ya vitu ninazozipenda ni martial arts nakumbuka nilivyokuwa A level nilikuwa nacheza Shotokan sana lakini form 6 nikaacha kabisa kucheza.Kuna walimu kadhaa nimepita mikononi mwao mmoja wapo ni mjumbe wa TASHOKA =Tanzania shotokan association na pia ni muasisi wa chama cha karate cha kimataifa hapa nchini

Huyu sensei kuna matukio kadhaa nilikuwa nayaona kwake yalikuwa siyo ya kawaida mfano kuna siku mmoja wa wanafunzi alipatwa na tatizo la msuli kukaza basi yule sensei aliuchukua mkono wake akawa anaupitisha kwenye sehemu msuli uliokuwa umekaza lakini alikuwa hagusi mahala pale na huku akitamka maneno yake kimoyomoyo huwezi amini kwa dakika chache yule jamaa alipona na siyo huyo tu nimeshuhudia watu wengi wakiponywa kwa mtindo huo.

tukio lingine hili ni la kustaajabisha kabisa tulikuwa tupo kwenye mazoezi yule sensei alimchukua mmoja wetu na kumweka mbali kidogo halafu akawa amekaa kwa hisia kama vile anafanya meditation kisha akaachia kama vile anampiga mtu ngumi huwezi kuamini yule jamaa alirushwa,alipigika ngumi akawa anaugulia

yote hiyo ilikuwa ni inner power sasa mm nikawa nipo obsessed sana kujua ni nini hiyo inner power inayomwezesha mtu kutibu,kumpiga mtu kwa mbali na tokea siku hiyo nikaamini mambo wanayoyafanya akina jet lee kwenye filamu ya taichi ni ukweli

baada ya kugraduate na kukaa kwa muda nilienda china kujiendeleza martial arts sababu nilikuwa napenda sana, kule nilijiunga na chuo/Temple lakini walikuwa wanafundisha Five animal floric maarufu kama Qigong (tiger, kulungu, bear, nyani na ndege) mafunzo yao mengi yalikuwa ya kubana pumzi,hisia,meditation,kata baada ya kujifunza external kata,sasa kuna inner ..na akili yangu ikanambia yale maajabu ya yule sensei huku bongo yalikuwa ni inner power sasa nikawa obsessed zaidi kumaster hiyo inner power

asee sina haja ya kumaliza maana stori ndefu lakini niliingiwa na majini na baadae hali ikawa mbaya nikaamua kurudi na kweli yalikuwa majini nikafanyiwa tiba namshukuru Mungu nilipona

chi/Inner power ambayo ma-master mbalimbali wanatibu,wanauwezo wa kukuua kabisa,upo mbali anakupiga makonde ile yote ni nguvu ya majini kwenye maonyesho utaona mtu anapigwa na matofali makubwa vitu vigumu yote sababu ya inner power..na ibada yote wanayofanya ile ya Budhism yanahusu majini..na nakumbuka siku ambayo yaliniingia ni siku ambayo tulikuwa tunafanya meditation ndio walituingizia inner power kumbe ni jini ..



kuhusu ishu ya kutoa majini kunaretired pastor mmoja alinambia huwa wanatumia mafuta fulani hivi wanapaka kwenye kiganja cha mikono ay kwenye kitamba,ukimwekea mtu kichwani haswa wkenye mishipa basi piga ua lazima atoke..

NB:meditation/chi siyo kitu kizuri na don't practise chi/Inner power,kwenye meditation ukifikia hatua ya kuwa paralzed pale kuna posibility kubwa ya kuwaposessed na jini kama ukitupiwa,

nguvu nyingi hizi haswa hawa Budha ni demons

Mungu akijaalia nitaandika thread kwa utulivu kuhusu experience hii na mengi kuhusu inner power,kung fu na budhism
 
Kwa kuanzia inabidi upate mwalimu kuna temple moja pale karibu na makaburi ya Muhimbili wanakuwa na meditation sessions kila week waweza fikra pale

Kama unataka kufanya mwenyewe nitajaribu kukutafutia vitabu, kwakuwa kuna mengi ya kufanya kuanzia mavazi lishe vinywaji nk nk kwa mfano kwenye mavazi: Nguo za kubana sana si nzuri, chakula mara nyingi linatakiwa kiwe cha asili na fresh kisiungwe sana ,Epuka vyakula, vya supermarket , soda na hz juice za viwandani vyote c vizr kwa afya ya akili kuna mengi ya kufahamu, kukaa kulala kutembea ni mengi
Mkuu ninaifahamu hiyo temple je wanatoza kiingilio ama ni bure? Je meditation huwa wanazifanya siku zipi?
 
Sabu, ndio maana unashauriwa kabla hujakabidhiwa powers zote lazima uwe guided with moderations namna ya kutumia hizo powers. Kuna wana wanazo powers za Remote viewing sio tuu unahisi bali unaona, na tena unaweza kabisa kuwa na Astral projection ukatoka kabisa out of body na kwenda kushuhudia jimsi wife wako anavyomegwa!, tena angalau ingekuwa anamegwa kawaida tuu, unaweza kukuta mwenzio anagaiwa "kule!". Sheria ya usiri "kiapo" kinakukataza kata kata usithubutu kuuliza, wala usijulishe unajua kitu!, unatakiwa akirudi, usimchenjie kwa lolote na kuendelea kuishi nae kikawaida!, utakachotakiwa kufanya ni kumtofuta tuu huyo mwizi wako na kumweleza kistaarabu, bila kumjulisha unajua na umeona, bali unamwambia tuu, "acha uhusiano usiofaa na mke wangu!", bila kupa chance kuuliza umejuaje!. Kama kawaida atajifanya kushutuka na kushangaa huku akikanusha!, mwanzo atadhania ni mkeo ameconfess, watakutana na kuulizana mke atakapothibisha hajaconfess na wewe hujamuuliza!, tabio hiyo itakoma!, na wakiendelea kwa kujifanya ni siri!, hapo ndipo works of power itakapowashukia, yatawakuta ya kuwakuta!.
Pasco.
Mkuu japo huu uzi ni wa siku nyingi lakini umenivutia sana
 
Pasco ujajua tofauti ya nguvu za Mungu na Shetani na uwezo binafsi pia ujaijya Kali ya ambayo Mungu alisema tumfanye mtu Kwa mfano na sura yetu.ungezijua nguvu zinazofanya kazi nje ya mwanadamu ungerekebisha bahazi ya maneno kwenye Mada yako ambayo ni nzuri.
 
Ahsante sana kaka Pascal Mayala uejitahidi kufafanua jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kuwafahamisha watu muda mrefu ni kweli kila binadamu ana uwezo huo ila shida nikuweza kuzitumia au kujijengea uwezo kuzitumia nguvu hizo.

\
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Paskali

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.

World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
 
Hii mada nzuri sana ,nashukuru sana nimetokea kuiona.Nimesoma kwa umakini kuhusu Psychic Powers ambayo umeainisha hapo juu.

subiri nitoe ushuhuda wangu japo nilikuwa na plan ya kuandaa Thread ila ntaeleza kwa ufupi tu

Mimi hapa ni mpenzi wa masuala mengi lakini miongoni ya vitu ninazozipenda ni martial arts nakumbuka nilivyokuwa A level nilikuwa nacheza Shotokan sana lakini form 6 nikaacha kabisa kucheza.Kuna walimu kadhaa nimepita mikononi mwao mmoja wapo ni mjumbe wa TASHOKA =Tanzania shotokan association na pia ni muasisi wa chama cha karate cha kimataifa hapa nchini

Huyu sensei kuna matukio kadhaa nilikuwa nayaona kwake yalikuwa siyo ya kawaida mfano kuna siku mmoja wa wanafunzi alipatwa na tatizo la msuli kukaza basi yule sensei aliuchukua mkono wake akawa anaupitisha kwenye sehemu msuli uliokuwa umekaza lakini alikuwa hagusi mahala pale na huku akitamka maneno yake kimoyomoyo huwezi amini kwa dakika chache yule jamaa alipona na siyo huyo tu nimeshuhudia watu wengi wakiponywa kwa mtindo huo.

tukio lingine hili ni la kustaajabisha kabisa tulikuwa tupo kwenye mazoezi yule sensei alimchukua mmoja wetu na kumweka mbali kidogo halafu akawa amekaa kwa hisia kama vile anafanya meditation kisha akaachia kama vile anampiga mtu ngumi huwezi kuamini yule jamaa alirushwa,alipigika ngumi akawa anaugulia

yote hiyo ilikuwa ni inner power sasa mm nikawa nipo obsessed sana kujua ni nini hiyo inner power inayomwezesha mtu kutibu,kumpiga mtu kwa mbali na tokea siku hiyo nikaamini mambo wanayoyafanya akina jet lee kwenye filamu ya taichi ni ukweli

baada ya kugraduate na kukaa kwa muda nilienda china kujiendeleza martial arts sababu nilikuwa napenda sana, kule nilijiunga na chuo/Temple lakini walikuwa wanafundisha Five animal floric maarufu kama Qigong (tiger, kulungu, bear, nyani na ndege) mafunzo yao mengi yalikuwa ya kubana pumzi,hisia,meditation,kata baada ya kujifunza external kata,sasa kuna inner ..na akili yangu ikanambia yale maajabu ya yule sensei huku bongo yalikuwa ni inner power sasa nikawa obsessed zaidi kumaster hiyo inner power

asee sina haja ya kumaliza maana stori ndefu lakini niliingiwa na majini na baadae hali ikawa mbaya nikaamua kurudi na kweli yalikuwa majini nikafanyiwa tiba namshukuru Mungu nilipona

chi/Inner power ambayo ma-master mbalimbali wanatibu,wanauwezo wa kukuua kabisa,upo mbali anakupiga makonde ile yote ni nguvu ya majini kwenye maonyesho utaona mtu anapigwa na matofali makubwa vitu vigumu yote sababu ya inner power..na ibada yote wanayofanya ile ya Budhism yanahusu majini..na nakumbuka siku ambayo yaliniingia ni siku ambayo tulikuwa tunafanya meditation ndio walituingizia inner power kumbe ni jini ..



kuhusu ishu ya kutoa majini kunaretired pastor mmoja alinambia huwa wanatumia mafuta fulani hivi wanapaka kwenye kiganja cha mikono ay kwenye kitamba,ukimwekea mtu kichwani haswa wkenye mishipa basi piga ua lazima atoke..

NB:meditation/chi siyo kitu kizuri na don't practise chi/Inner power,kwenye meditation ukifikia hatua ya kuwa paralzed pale kuna posibility kubwa ya kuwaposessed na jini kama ukitupiwa,

nguvu nyingi hizi haswa hawa Budha ni demons

Mungu akijaalia nitaandika thread kwa utulivu kuhusu experience hii na mengi kuhusu inner power,kung fu na budhism
# Mshana jr, Pasco hebu njooni mfafanue kitu hapa.... Uwiiii inner power ni jini? [emoji15]
 
Hii mada nzuri sana ,nashukuru sana nimetokea kuiona.Nimesoma kwa umakini kuhusu Psychic Powers ambayo umeainisha hapo juu.

subiri nitoe ushuhuda wangu japo nilikuwa na plan ya kuandaa Thread ila ntaeleza kwa ufupi tu

Mimi hapa ni mpenzi wa masuala mengi lakini miongoni ya vitu ninazozipenda ni martial arts nakumbuka nilivyokuwa A level nilikuwa nacheza Shotokan sana lakini form 6 nikaacha kabisa kucheza.Kuna walimu kadhaa nimepita mikononi mwao mmoja wapo ni mjumbe wa TASHOKA =Tanzania shotokan association na pia ni muasisi wa chama cha karate cha kimataifa hapa nchini

Huyu sensei kuna matukio kadhaa nilikuwa nayaona kwake yalikuwa siyo ya kawaida mfano kuna siku mmoja wa wanafunzi alipatwa na tatizo la msuli kukaza basi yule sensei aliuchukua mkono wake akawa anaupitisha kwenye sehemu msuli uliokuwa umekaza lakini alikuwa hagusi mahala pale na huku akitamka maneno yake kimoyomoyo huwezi amini kwa dakika chache yule jamaa alipona na siyo huyo tu nimeshuhudia watu wengi wakiponywa kwa mtindo huo.

tukio lingine hili ni la kustaajabisha kabisa tulikuwa tupo kwenye mazoezi yule sensei alimchukua mmoja wetu na kumweka mbali kidogo halafu akawa amekaa kwa hisia kama vile anafanya meditation kisha akaachia kama vile anampiga mtu ngumi huwezi kuamini yule jamaa alirushwa,alipigika ngumi akawa anaugulia

yote hiyo ilikuwa ni inner power sasa mm nikawa nipo obsessed sana kujua ni nini hiyo inner power inayomwezesha mtu kutibu,kumpiga mtu kwa mbali na tokea siku hiyo nikaamini mambo wanayoyafanya akina jet lee kwenye filamu ya taichi ni ukweli

baada ya kugraduate na kukaa kwa muda nilienda china kujiendeleza martial arts sababu nilikuwa napenda sana, kule nilijiunga na chuo/Temple lakini walikuwa wanafundisha Five animal floric maarufu kama Qigong (tiger, kulungu, bear, nyani na ndege) mafunzo yao mengi yalikuwa ya kubana pumzi,hisia,meditation,kata baada ya kujifunza external kata,sasa kuna inner ..na akili yangu ikanambia yale maajabu ya yule sensei huku bongo yalikuwa ni inner power sasa nikawa obsessed zaidi kumaster hiyo inner power

asee sina haja ya kumaliza maana stori ndefu lakini niliingiwa na majini na baadae hali ikawa mbaya nikaamua kurudi na kweli yalikuwa majini nikafanyiwa tiba namshukuru Mungu nilipona

chi/Inner power ambayo ma-master mbalimbali wanatibu,wanauwezo wa kukuua kabisa,upo mbali anakupiga makonde ile yote ni nguvu ya majini kwenye maonyesho utaona mtu anapigwa na matofali makubwa vitu vigumu yote sababu ya inner power..na ibada yote wanayofanya ile ya Budhism yanahusu majini..na nakumbuka siku ambayo yaliniingia ni siku ambayo tulikuwa tunafanya meditation ndio walituingizia inner power kumbe ni jini ..



kuhusu ishu ya kutoa majini kunaretired pastor mmoja alinambia huwa wanatumia mafuta fulani hivi wanapaka kwenye kiganja cha mikono ay kwenye kitamba,ukimwekea mtu kichwani haswa wkenye mishipa basi piga ua lazima atoke..

NB:meditation/chi siyo kitu kizuri na don't practise chi/Inner power,kwenye meditation ukifikia hatua ya kuwa paralzed pale kuna posibility kubwa ya kuwaposessed na jini kama ukitupiwa,

nguvu nyingi hizi haswa hawa Budha ni demons

Mungu akijaalia nitaandika thread kwa utulivu kuhusu experience hii na mengi kuhusu inner power,kung fu na budhism
Mkuu inabidi ufunguke zaidi utawasaidia wengi.
 
Back
Top Bottom