Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mwamba, powers ziko kwenye subconcious mind, zimezongwa na mazagazaga ya mawazo ya concious mind, ili uweze kuzifikia ni lazima u relax ili hayo mazagazaga ya concious mind yapingue ndipo ziamke. Meditation ni mazoezi ya relaxation tuu ili subconcious mind iamke. Bangi ina kemikali ya canabis ambayo inasaidia relaxation.
Look you are subtly jumping to Kundalini Yoga aren't you?
I'm afraid you are deeply deceived!
What you are teaching may well cost many people here, even their lives.
I cannot believe you do this Pasco
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mzizi Mkavu nimekuomba details za nyota ya ndoo yaani kuzaliwa tarehe 9 mwezi 2 sijaona majibu

MAELEZO YA NYOTA YA NDOO HAYA HAPA CHINI.

[TABLE="class: ecxyiv1059148072contentpaneopen"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]
NYOTA YA NDOO (AQUARIUS)

  • Hii ni nyota ya kumi na moja katika mlolongo wa nyota 12.
  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 20 January na 18 February.
  • Sayari yao ni SATURN (ZOHAL).
  • Siku yao ya bahati ni Jumamosi.
  • Namba yao ya bahati ni 8.
  • Rangi yake ya bahati ni Nyeusi.
  • Asili ya nyota hii ni Hewa.
KIPAJI CHA NDOO

(Sudden Revelation)

Wenye nyota hii wana kipaji cha kutoa tafsiri sahihi ya jambo lolote linalotokea wakati wowote.

TABIA ZA NDOO


Wenye nyota ya Ndoo ni watu wachangamfu, wavumbuzi na wenye akili za kubuni jambo au kitu. Ni watu ambao wenye furaha wakati wote lakini inakuwa vigumu wakati mwingine kuwa karibu nao. Ni waaminifu na wakweli na wako tayari wakati wowote kutoa msaada unaohitajika.


Kwa upande mwingine ni watu ambao hawatabiriki hasa wanapokasirika, wanaweza kuwa wakaidi, wenye kushikilia jambo hata likiwa baya, ni wapotovu wa nidhamu na waasi.


Ni watu ambao hawajali Dunia inasema nini au inafikiria nini, wakati mwingine hukataa shughuli za kijamii na kujihusisha katika mambo yasiyo na maana yeyote.


Kwa ujumla ni watu wenye Roho nzuri ya kibinaadamu wanapenda kutoa msaada pamoja na kwamba wakati mwingine wanakuwa siyo dhahiri.


TABIA YA NDOO KATIKA MAPENZI.


Wenye nyota ya Ndoo ni watu wanaopenda uhuru na hawawezi kabisa kukubali kudhibitwa katika mapenzi, mawazo yao na miono yao inaweza kubadilika mara moja na kuwa wakaidi na wasumbufu. Pamoja na kwamba ni waaminifu na wanatoa msaada mkubwa kwa wapenzi wao.


Wako tayari kutulia katika mapenzi iwapo watahakikishiwa uhuru wao na haki ya kutoingiliwa katika mambo binafsi. Ni watu ambao hawapendi kuonyesha hisia zao halisi na wanachukua muda mrefu kuingia kikamilifu katika uhusiano wa kimapenzi.


Mara nyingi inakuwa vigumu kwao kuwaamini wapenzi wao lakini wakisha waamini wanakuwa waaminifu.


Ni watu ambao wenye kusema mambo bila kuficha na mara nyingi hawaeleweki kwa wapenzi wao.


Katika ngono kwa sababu ya kupenda uhuru huwa wanapenda kufanya mambo wanavyotaka wao na hawakubali kuingiliwa.


Wakati mwingine hushindwa kuelewa hisia za wapenzi wao jambo ambalo linawafanya wapenzi wao washindwe kuwaelewa.

{mospagebreak}

TABIA YA NDOO KATIKA FEDHA


Wenye nyota ya Ndoo ni watu ambao wenye ndoto na mipango mingi ya kifedha ya baadae, na wakati mwingine wanajikuta kwamba mawazo yao ya kifedha yanakuwa hayaendani na wakati uliopo.


Masuala ya kifedha kwao yanategemea sana aina ya kazi, ambayo mara nyingi inahusiana na mambo ya sanaa au sayansi, sehemu ambayo wao watajihisi wanatoa mchango wao kwa binaadamu.


Wanapokuwa matajiri mara nyingi inatokana na ustadi au umahiri na wale siyo uwezo wao.


Wenye nyota hii huwa wanapenda sana kupata fursa ya kufanya kazi sehemu tofauti na hawependi kufungika katika sehemu moja, kwao fedha ni chombo kinacholeta uhuru na wanaona vyema maisha yao yakamilike kuliko kuwa tajiri.


Mara nyingi wanachukia kuonekana kwamba wao ni wabinafsi. Hata hivyo wanapenda vitu vizuri lakini kwa sababu ya ubahili huwa wanaona raha wanapoviona vitu hivyo kwa watu wengine katika makumbusho au nyumba ya sanaa kuliko kuwa navyo wenyewe.


MAVAZI YA NDOO


Wenye nyota ya Ndoo wanatakiwa wavae nguo za mitindo, zilizoshonwa kwa ustadi. Nguo hizo ziwe za rangi ya Kijivu, au Kijani iliyoiva au hudhurungi nzito.

Kitambaa kiwe cha kitani (Linen) au cha ngozi. Nguo ziwe ni suti na ziambatane na saa za mikono.

MATATIZO YA KIAFYA.


Nyota hii inatawala kifundo na ugoko. Wenye nyota hii wana mawazo mapana ya kufanya mabadiliko ya Dunia na hii inawasababisha wajisahau hasa katika afya zao na mara kwa mara hupata matatizo ya kuugua.


Kutokana na ubishi wao mara nyingi wanakuwa wabishi kupokea ushauri kuhusiana na hali zao za kiafya.


Matatizo yao makubwa yanasababisha na kuchoka kwa misuli kutokana na kazi nyingi na ni wagonjwa wabishi wasiopenda ushauri.


Wanapofanya mazoezi wanashaurwa wasiwe na hasira kwani hiyo inawafanya wajiumize au wapate ajali ndog ndogo hasa sehemu za miguu, ugoko, vifundo na uvimbe katika sehemu hizo.

Vile vile matatizo yao mengine ya kiafya ni mzunguko wa damu na mishipa ya miguu.

KAZI ZA NDOO


Hawa ni watu wenye akili nyingi na wenye malengo maalum katika shughuli fulani. Ni wawekezaji asili na wana uwezo wa kuwabadilisha watu tabia zao kutoka mbaya kuwa nzuri.


Kwa uhakika mawazo yao saa zote yanafanya kazi. Ni watu ambao muda wote wanafikiri njia mpya na za uhakika za kutekeleza wajibu wao na kikazi.


Kazi zao wanazifanya kwa upole na uhakika, pamoja na kwamba wanafanya kazi kwa bidii mara nyingi huwa wanaonekana hawajafanya kitu au sifa huenda kwa watu wengine.


Watu wa Ndoo ni wenye mawazo ya ubunifu na wenye kugundua njia mpya na zenye uhakika katika kazi.

Kazi zinazowafaa ni za uhandisi wa umeme, kompyuta, utafiti wa Sayansi, utabiri, huduma za jamii na utafiti wa mambo ya kale.
{mospagebreak}

FAMILIA ZA NDOO


Wazazi wa nyota hii ni wenye shauku na wasiotabirika na wanaopenda maendeleo ya watoto wao.


Wazazi wa Ndoo wako wazi na wanaweza kuzungumza chochote na wototo wao lakini ni wagumu kubadili mawazo yao ambayo wakati mwingine yanakuwa ya ajabu.


Huwa wanapenda kuwahimiza watoto wao wawe huru kujieleza lakini wao wenyewe hawapendi kushutumiwa. Kwa upande mwingine ni wazazi ambao hawana mbinu katika kushughulikia mambo yanayowahusu watoto.


Ni wazazi wanaowapenda watoto wao na wao wanapendwa sana na watoto na mara nyingi huwa hawalalamikiwi.

Ni muhimu kwa wazazi wa kiume wenye nyota hii kuwaelewa vizuri watoto wao vinginevyo tabia zao zinaweza zikasababisha migongano.

Kwa wazazi wa kike wanashauriwa waache tabia yao ya kigeugeu au ukali tabia ambayo mara nyingi watoto huudhiwa nayo.


MADINI YA NDOO

Wenye nyota hii wanatakiwa wavae vito vinavyoitwa Aquamarine Madini hayo yenye kumeremeta yanaashiria hewa ambayo ndio asili ya nyota ya Ndoo.
Jiwe hili linaashiria urafiki na inasemekana huondoa uchovu wa akili.

UHUSIANO WA KIMAPENZI


(NDOO NA SIMBA)


Tabia ya kupenda kuwa huru na kujifanyia mambo bila kuingiliwa waliyokuwa nayo wenye nyota ya Ndoo, huwafariji wenye nyota ya Simba ambao nao hawapendi kuingiliwa katika mambo yao.


VYAKULA VYA NDOO.


Wenye nyota ya Ndoo wanashauriwa wepende kula vyakula au Matunda yafuatayo ambayo yanatawaliwa na nyota zao.


Wapende sana vyakula vya nazi na nyama aina zote. Vile vile wapendelee kula Viazi Vitamu na Samaki Gamba.


NCHI ZA NDOO


Ili kupata mafaniko ya kinyota kwa wale wenye uwezo wanashauriwa aidha waishi au watembelee nchi au miji ifuatayo ambayo inatawaliwa na nyota zao.

Nchi hizo ni Sweden na Zimbabwe na Miji ni Humburg (Ujerumani) na Leningrad (Urusi).

RANGI ZA NDOO

Wenye nyota ya Ndoo wanatakiwa wapake nyumba zao au magari yao au sehemu zao za biashara rangi zilizotulia kama Bluu au Kijivu.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


MKUU UKITAKA PETE YAKO YA BAHATI NA KINGA WASILIANA NA MIMI KWA NJIA YA BARUA YA PEPE NITUMIE EMAIL

ADDRESS YANGU HII HAPA fewgoodman@hotmail.com
 
mimi nimezaliwa tarehe 25 may ningependa kujua nyota yangu na maana yake
copy: mzizimkavu
Pasco

HAYA SOMA HAPA NYOTA YAKO YA MAPACHA GEMINI:

NYOTA YA MAPACHA (GEMINI)

  • Hii ni nyota ya tatu katika mlolongo wa nyota 12.
  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Mei na 20 Juni ya mwaka wowote.
  • Sayari yao ni Mercury (Attarid).
  • Siku yao ya bahati ni Jumatano.
  • Namba yao ya bahati ni 5.
  • Rangi yao ya bahati ni njano na bluu isiyoiva.
  • Asili ya nyota yao ni upepo.

KIPAJI CHA MAPACHA: (TELEPATHIC):


Wenye nyota hii wana kipaji kikubwa cha kuwasiliana na watu ambao wako mbali kwa kutumia akili zao au hisia walizokuwa nazo.


TABIA ZA MAPACHA:


Watu wenye nyota hii ni watu wenye hisia kali sana ambao wanakasirika upesi, ni watu wasiotulia na wenye uwezo mkubwa wa kujieleza na kuzungumza na wanaweza sana kushawishi watu.

Ni watu ambao wanapenda sana mabadiliko na tofauti na wanapenda sana kujua mambo, wanapenda watu na wanapenda kujumuika na watu lakini wakati mwingine hawaeleweki. Wanapenda kusafiri sana.

TABIA YA MAPACHA KATIKA MAPENZI:


Watu wenye nyota ya Mapacha wanajulikana sana kwa hadhi yao ya kuwa na sura mbili. Kuna wakati wanakuwa na hisia tofauti na muda si muda wamebadilika.


Pamoja na kwamba hawapendi kubanwa sana , ni watu wachamgamfu na wenye mahaba mazuri.

Ni watu wenye asili ya mawasiliano na ni vigumu sana kuwafanya wajinga hivyo basi wakishampenda mtu wanahakikisha kwamba hawamchoshi huyo mpenzi. Watatumia muda mrefu kuzungumza maneno mazuri na wapenzi wao ili kuhakikisha kuwa uhusiano unazidi kuwepo.

Katika mapenzi, wao wanapenda vitu tofauti tofauti na wanahisi wamechoshwa basi huwa wa kwanza kuondoka aidha kwa muda au moja kwa moja.

Uaminifu ni kitu kigumu kwa watu wenye nyota hii na wanahisi kwamba kuna kitu wanakikosa nje hivyo basi wanatoka sana nje hata kama wakiwa wana ndoa yenye furaha.
Wengi wao wanafikia hatua ya kuishi maisha ya sehemu mbili; mke na bwana au bwana na mke.
{mospagebreak}

MATATIZO YA KIAFYA:


Nyota hii inatawala mabega, mikono, viganja na sehemu ya juu ya mbavu.

Tatizo la kutopumzika kwa sababu ya kutafuta mambo mapya ndio yanayosababisha maradhi kwa wenye nyota hii. Wanafikia mpaka hali ya kuisahau miili yao na mara nyingi wanapata matatizo ya neva kutokana na uchovu kwa mishughuliko mingi.

Matatizo yanayotokana na nyota hii ni mgonjwa kukosa pumzi (bronchitis), pumu (asthma), matatizo ya kifua, mafua, flu, ajali za mara kwa mara kwenye mikono na mabega.


KAZI ZA WENYE NYOTA YA MAPACHA:


Kwa vile wenye nyota hii asili yao ni upepo na wao ni wenye kuzaliwa kwenye mawasiliano na uhusiano, wanapenda sana uhuru na uwazi katika kazi zao.


Wanapenda sana kazi ambazo zinawashughulisha na kufanya akili zao zisipumzike lakini siyo jambo hilo hilo kwa muda mrefu. Kuwa na mawasiliano na watu wengi kwa wakati mmoja ndio jambo linalopendwa na wenye nyota hii. Kazi zao hasa ni zile zinazohusiana na mambo ya utangazaji wa radio na televisheni.


Kazi ambazo zinahusika na mambo ya vitabu au uchapishaji vitabu. Kazi za kufundisha na kazi za ushauri nasaha.

Vilevile wenye nyota hii wanatakiwa wafanye kazi za ukalimani au kazi za biashara lakini zinazohusiana na safari za nje.

FAMILIA ZA MAPACHA:


Watu wa nyota ya Mapacha ni waliochangamka na wenye hiari na wazazi wa Mapacha huingia katika msisimko wa watoto wao kwa raha.


Ni wazazi wenye furaha muda wote katika kutekeleza shughuli zao za nyumbani pamoja na kupenda kucheza na watoto wao na wana mipango mizuri na wanajua wapi wakiwapeleka watoto watafurahi.

wenye nyota hii wanathamini sana elimu na hawawezi kuishi bila mawasiliano na habari, hivyo huwa wanapenda kuwanunulia watoto wao vitabu vingi.

Tatizo linalotokea iwapo mtoto ataonyesha kwamba hapendi kusoma na watajaribu kila njia kumuweka katika njia wanayoitaka wao. Wakishindwa wanaacha.

Wazazi wa Mapacha hawawezi kuelezea jambo na hawana uvumilivu wa kun'gan'gania kwa mtoto asiyeelewa mambo.

MADINI YA MAPACHA:


Wenye nyota ya Mapacha wanatakiwa wavae madini ya Agata au kito chochote chenye rangi ya njano. Kito hicho inasemekana kinamuwezesha mvaaji awe na uwezo wa mawasiliano na ufahamu.


UHUSIANO WA KIMAPENZI:

(MAPACHA NA MSHALE)
Tabia ya Mapacha ya kupenda kufahamu na kuelewa mambo hutulizwa na tabia ya Mshale ambao ni wasomi na wenye kuelewa mambo mengi.

VYAKULA VYA MAPACHA:

Wenye nyota hii wanashauriwa wapende kula vyakula vifuatavyo ambavyo ndio vinavyotawaliwa na nyota yao. Vyakula vyenyewe ni kuku, rasiberi, karoti na uduvi.

NCHI ZA MAPACHA:


Ili kupata mafanikio ya kinyota wenye nyota hii wanashauriwa watembelee au waishi katika nchi au miji ifuatayo inayotawaliwa na nyota yao. Nchi hizo ni Ubelgiji na Wales, na baadhi ya miji ni London (Uingereza) na San Fransisco (Marekani).


RANGI ZA MAPACHA:

Wenye nyota hii wanashauriwa kinyota wapake au watumie rangi za njano au bluu isiyoiva ambayo inapendeza ikipakwa ndani ya nyumba.

HAYA UKITAKA PETE YA BAHATI NA KINGA NINAYO NITUMIE BARUA YA PEPE EMAIL ADDRESS YANGU HII HAPA fewgoodman@hotmaıl.com
 
HAYA SOMA HAPA NYOTA YAKO YA MAPACHA GEMINI:

NYOTA YA MAPACHA (GEMINI)

  • Hii ni nyota ya tatu katika mlolongo wa nyota 12.
  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Mei na 20 Juni ya mwaka wowote.
  • Sayari yao ni Mercury (Attarid).
  • Siku yao ya bahati ni Jumatano.
  • Namba yao ya bahati ni 5.
  • Rangi yao ya bahati ni njano na bluu isiyoiva.
  • Asili ya nyota yao ni upepo.

KIPAJI CHA MAPACHA: (TELEPATHIC):


Wenye nyota hii wana kipaji kikubwa cha kuwasiliana na watu ambao wako mbali kwa kutumia akili zao au hisia walizokuwa nazo.


TABIA ZA MAPACHA:


Watu wenye nyota hii ni watu wenye hisia kali sana ambao wanakasirika upesi, ni watu wasiotulia na wenye uwezo mkubwa wa kujieleza na kuzungumza na wanaweza sana kushawishi watu.

Ni watu ambao wanapenda sana mabadiliko na tofauti na wanapenda sana kujua mambo, wanapenda watu na wanapenda kujumuika na watu lakini wakati mwingine hawaeleweki. Wanapenda kusafiri sana.

TABIA YA MAPACHA KATIKA MAPENZI:


Watu wenye nyota ya Mapacha wanajulikana sana kwa hadhi yao ya kuwa na sura mbili. Kuna wakati wanakuwa na hisia tofauti na muda si muda wamebadilika.


Pamoja na kwamba hawapendi kubanwa sana , ni watu wachamgamfu na wenye mahaba mazuri.

Ni watu wenye asili ya mawasiliano na ni vigumu sana kuwafanya wajinga hivyo basi wakishampenda mtu wanahakikisha kwamba hawamchoshi huyo mpenzi. Watatumia muda mrefu kuzungumza maneno mazuri na wapenzi wao ili kuhakikisha kuwa uhusiano unazidi kuwepo.

Katika mapenzi, wao wanapenda vitu tofauti tofauti na wanahisi wamechoshwa basi huwa wa kwanza kuondoka aidha kwa muda au moja kwa moja.

Uaminifu ni kitu kigumu kwa watu wenye nyota hii na wanahisi kwamba kuna kitu wanakikosa nje hivyo basi wanatoka sana nje hata kama wakiwa wana ndoa yenye furaha.
Wengi wao wanafikia hatua ya kuishi maisha ya sehemu mbili; mke na bwana au bwana na mke.
{mospagebreak}

MATATIZO YA KIAFYA:


Nyota hii inatawala mabega, mikono, viganja na sehemu ya juu ya mbavu.

Tatizo la kutopumzika kwa sababu ya kutafuta mambo mapya ndio yanayosababisha maradhi kwa wenye nyota hii. Wanafikia mpaka hali ya kuisahau miili yao na mara nyingi wanapata matatizo ya neva kutokana na uchovu kwa mishughuliko mingi.

Matatizo yanayotokana na nyota hii ni mgonjwa kukosa pumzi (bronchitis), pumu (asthma), matatizo ya kifua, mafua, flu, ajali za mara kwa mara kwenye mikono na mabega.


KAZI ZA WENYE NYOTA YA MAPACHA:


Kwa vile wenye nyota hii asili yao ni upepo na wao ni wenye kuzaliwa kwenye mawasiliano na uhusiano, wanapenda sana uhuru na uwazi katika kazi zao.


Wanapenda sana kazi ambazo zinawashughulisha na kufanya akili zao zisipumzike lakini siyo jambo hilo hilo kwa muda mrefu. Kuwa na mawasiliano na watu wengi kwa wakati mmoja ndio jambo linalopendwa na wenye nyota hii. Kazi zao hasa ni zile zinazohusiana na mambo ya utangazaji wa radio na televisheni.


Kazi ambazo zinahusika na mambo ya vitabu au uchapishaji vitabu. Kazi za kufundisha na kazi za ushauri nasaha.

Vilevile wenye nyota hii wanatakiwa wafanye kazi za ukalimani au kazi za biashara lakini zinazohusiana na safari za nje.

FAMILIA ZA MAPACHA:


Watu wa nyota ya Mapacha ni waliochangamka na wenye hiari na wazazi wa Mapacha huingia katika msisimko wa watoto wao kwa raha.


Ni wazazi wenye furaha muda wote katika kutekeleza shughuli zao za nyumbani pamoja na kupenda kucheza na watoto wao na wana mipango mizuri na wanajua wapi wakiwapeleka watoto watafurahi.

wenye nyota hii wanathamini sana elimu na hawawezi kuishi bila mawasiliano na habari, hivyo huwa wanapenda kuwanunulia watoto wao vitabu vingi.

Tatizo linalotokea iwapo mtoto ataonyesha kwamba hapendi kusoma na watajaribu kila njia kumuweka katika njia wanayoitaka wao. Wakishindwa wanaacha.

Wazazi wa Mapacha hawawezi kuelezea jambo na hawana uvumilivu wa kun'gan'gania kwa mtoto asiyeelewa mambo.

MADINI YA MAPACHA:


Wenye nyota ya Mapacha wanatakiwa wavae madini ya Agata au kito chochote chenye rangi ya njano. Kito hicho inasemekana kinamuwezesha mvaaji awe na uwezo wa mawasiliano na ufahamu.


UHUSIANO WA KIMAPENZI:

(MAPACHA NA MSHALE)
Tabia ya Mapacha ya kupenda kufahamu na kuelewa mambo hutulizwa na tabia ya Mshale ambao ni wasomi na wenye kuelewa mambo mengi.

VYAKULA VYA MAPACHA:

Wenye nyota hii wanashauriwa wapende kula vyakula vifuatavyo ambavyo ndio vinavyotawaliwa na nyota yao. Vyakula vyenyewe ni kuku, rasiberi, karoti na uduvi.

NCHI ZA MAPACHA:


Ili kupata mafanikio ya kinyota wenye nyota hii wanashauriwa watembelee au waishi katika nchi au miji ifuatayo inayotawaliwa na nyota yao. Nchi hizo ni Ubelgiji na Wales, na baadhi ya miji ni London (Uingereza) na San Fransisco (Marekani).


RANGI ZA MAPACHA:

Wenye nyota hii wanashauriwa kinyota wapake au watumie rangi za njano au bluu isiyoiva ambayo inapendeza ikipakwa ndani ya nyumba.

HAYA UKITAKA PETE YA BAHATI NA KINGA NINAYO NITUMIE BARUA YA PEPE EMAIL ADDRESS YANGU HII HAPA fewgoodman@hotmaıl.com

mkuu MziziMkavu mimi nimezaliwa 24 june vipi na mm nahusika hapa?
au mm niwanyota gani mkuu na maelezo yake?
 
Last edited by a moderator:
mkuu MziziMkavu mimi nimezaliwa 24 june vipi na mm nahusika hapa?
au mm niwanyota gani mkuu na maelezo yake?
Hausiki hapo wewe unahusika hapa Soma chini


NYOTA YA KAA (CANCER)
Hii ni nyota ya nne katika mlolongo wa nyota 12.

  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Juni na tarehe 20 July ya mwaka wowote.
  • Sayari yao ni mwezi (moon).
  • Siku yao ya bahati ni Jumatatu.
  • Namba yao ya bahati ni 2 na 7.
  • Rangi yao ya bahati ni Nyeupe.
  • Asili ya nyota yao ni Maji.

KIPAJI CHA KAA (SENSITIVE):

Wenye nyota hii wana kipaji cha hisia ya kugundua mambo yanayotendeka ikiwa ni pamoja na kubashiri mambo, kumwelewa mtu kwa undani na kujua jambo ambalo mtu anataka kulifanya au jambo litakalotendeka hasa kwenye watu wengi.

TABIA ZA KAA


Watu wenye Nyota hii ni wenye tabia ya hisia nzito ni wapole na wenye huruma. Wakiwa na dhamira ya ulezi na kuwaangalia watu wengine na hiyo inaonekana waziwazi katika nyumba zao na familia zao.

Hata hivyo upande mwingine ni watu ambao wana gubu na wakali ne wenye kupenda kujishughulisha na wanajiamini.
ni watu ambao wanaweza kubadilika lakini wenye msimamo na itikadi na wanaweza kuwa ni wenye wivu mkali na wenye kudhibiti.


TABIA YA KAA KATIKA MAPENZI :


Hisia ni kitu muhimu sana katika mapenzi kwa wenye nyota hii pamoja na kwamba kimaumbile ni watu wanapenda kujilinda na wanaogopa sana kuumizwa kimapenzi na wapenzi wao.

Wanapenda sana kuwa karibu na wanayempenda na kuwaonyesha huba na upendo mkubwa. Kwao hakuna mapenzi ya nusu nusu na wanapenda sana kuwa na mtu ambaye atadumu nae milele.

Wenye Nyota hii bila ya kuwa na mpenzi hujihisi hawajatimiza lengo lao katika maisha hivyo basi huwa hawana raha.

Ni wapenzi waaminifu na wanategemea wapenzi nao wawe waaminifu kama wao.
Ni wagumu sana kuachana na wapenzi na inapotokea huwa hawaagi wako radhi wao waumie kuliko kuachana na anayempenda.

MATATIZO YA KIAFYA:


Nyota hii inatawala njia kuu ya chakula kuelekea tumboni, mbavu, mfupa wa kidari, tumbo la uzazi, utumbo mdogo na utumbo au sehemu zote za kusagia chakula.

Vile vile inatawala bandana na matiti.

Tatizo lao kubwa la maradhi yao linatokana na ukimya wao wanapoudhiwa. Inapotokea hivyo wao hushindwa kusema na huumia kimya kimya.

Maradhi yao makubwa yanakuwa maradhi yanayosababishwa na gesi , au vidonda vya tumbo au kiungulia au maradhi yanayotokana na mwili kuwa mnene au umbo kubwa.
{mospagebreak}

KAZI ZA WENYE NYOTA YA KAA:


Wenye nyota hii wanatakiwa wafanye kazi ambazo zitawafanya wao wawe walezi wa wale wanaowatumikia ili kukidhi mahitaji ya nyota yao.

Wanatakiwa wafanye kazi za utabibu kama vile Madaktari au Wauguzi, kazi za baharini kama vile mabaharia, kazi za huduma ya chakula kama hoteli, migahawa, kazi za kuhudumia watoto kama katika shule za chekechea, kazi za benki au kazi za maneja utumishi au kazi za kuandika.

FAMILIA ZA KAA:


Wenye nyota hii ni wazazi asilia, na wazazi wakiume mara nyingi huonekana wakiwasaidia wake zao kulea watoto.


Wanafanya kwa bidii kuhakikisha familia zao zinapata kila kitu kinachohitajika.

Mzazi wakike ana hisia kiuzazi kuliko mume na kwa mtoto kwa mtoto anyependa kuwa huru kuna muda hujihisi kwamba mama yake anambana.

Wazazi wa nyota hii wana tabia ya kuangalia mambo yaliopita nyuma hivyo hupenda mambo yasibadilike milele.


Hali ya Wazazi hao ya kubadilika badilika huwapa wakati mgumu watoto hasa wale wenye hisia ndogo ambao huhisi wanasukumwa sana na hutaka kujikomboa ili waondokane na baa hilo.

Wazazi wenye nyota hii hupenda sana watoto wao wafanye wanzozitaka wao kinyume na matakwa ya watoto wao .

MADINI YA KAA:


Wenye nyota hii wanatakiwa wavae madini ya moonstone au jiwe lolote lenye rangi ya maziwa.

madini haya yana uwezo wa kuongeza hisia na kufanya wawe na ari ya kuwatumikia na kuwakinga wenzao.

UHUSIANO WA KIMAPENZI:

Tabia ya Mbuzi ya ubahili na kutopenda anasa hulainishwa na tabia ya Kaa ya upendo, huba na huruma ambayo humfanya mbuzi atulie na atumie kile alichonacho .

VYAKULA VYA KAA:

Wenye nyota hii wanashauriwa wapende kula vyakula vifuatavyo ambavyo ndivyo vyakula vinavyotawaliwa na nyota yao.
Vyakula vyenyewe ni kama Mapeas, kaa au vyakula vya baharini, na mboga kama kabichi na saladi (lettuce).

NCHI ZA KAA:


Ili kupata mafanikio ya kinyota wenye nyota hii wanashauriwa watembelee au waishi katika miji au nchi zifuatazo ambazo zinatawaliwa na nyota yao.

Miji hiyo ni New York (Marekani) na Venice (Ugiriki) au nchi za New Zealand na Scotland.

RANGI ZA KAA:

Wenye nyota hii wanashauriwa kinyota wapake au watumie rangi zozote ambazo siyo nzito au zenye uwiano na rangi nyeupe.

UKITAKA PETE YA BAHATI NA KINGA WASILIANA NA MIMI KWA NJIA YA EMAIL YANGU HII HAPA fewgoodman@hotmail.com
 
Nakushukuru sana mtoa
mada na wachangiaje wote, ilinibidi kufanya lililo ndani ya uwezo wangu
nipate baadhi ya vitabu ili kupata maarifa zaidi kuhusiana na hii mambo,
nafaham kuna baadhi ya vitabu link zake ziliwekwa huku ndani lakini pia
nimeona si vibaya tukishea wote kile nilichopata hivyo basi wale ambao
wanapenda kusoma hii vitabu watume email PM kwa inbox yangu kisha
nitawatumia kiroho safi. Nimepata vitabu vifuatavyo

1. The Master Key System; Charles Haanel
2. Mastery The Keys To Success & Long term Fulfillment; George
Leonard
3. Mind over Mind; Chris Berdik
4. The Power of Your Subconscious Mind; J Murphy

Asanteni.

Kaka hongera kuwa ni hivyo vitabu, naomba unitumie.
 
Hapa nimekumbuka law of universal hii inakuambia hakuna scarce resource resource are plenty if you need just wish want and then get it. Hi law inasema watu kuwa masikini ni kujitakia tu. Mfano haijawahi kukutokea siku inahitaji kitu flan ukakesha ukiomba Na hukuwa nam pango wafedha Kwa njia za ajabu ukakipata? Kunarafiki yangu ni mwalimu chuo cha uhasibu Arusha yeye alikuwa a natamani sana Gari aina ya rav4 new model Na aluta nani kupata kabla ya December alifuata kanuni za law of universal kweli ilipofika November tayari alikuwa Na like Gari Kwa rangi ileile aliyokuw anaiota. Kwangu Mimi binafsi ninaipractice sana unaweza kutumia jina lolote unalotaka Allah,Jah,Jehovah,Rama,Krishner,Mizimu chochote kile mambo yanakuwa poa
 
duuh! haya kaka, ivi umewahi kujiuliza wapi zinatoka nje ya kisababishi(imani)? nani ameumba? kwanini? na kwa nini zinatofautiana? unajueje kwamba kila mmoja ananguvu hizo? kwanini wewe ni tofauti na wengine? je unaweza kutumia nguvu hiyo kuzuia kifo, nakama ndio nipe mifano ya watu ambao wanamiaka zaidi ya miatano na hawajafa?
 
Lakini wakuu mnisaidie pia,kuna swala la mtu anakua kitu kinacheza katika macho,yaweza kua chini ya jicho au juu ya jicho,na mala kadhaa watu hutafsili kua jambo hili lina makusudi na maisha ya mtu husika,wengine husema likicheza jicho la chini waweza pata mikasa mbali mbali na hata misiba tofauti na jicho likicheza upande wa juu watu husema utapata jambo zuri na hata fedha kwa maana bahati,nisaidieni kuna ukweli katika hilo?
 
we kiburi cha kuweza kumuuliza Mungu maswali unakipata wapi!?
We kiumbe mwenyewe ni subject tu!
Lzm ule unye upumue ulale, uvute pumzi!
Kama wewe una kiburi cha kweli hebu acha kunya tu kwa wiki moja! Kama hilo bona lako halikumwaga kinyesi hadharani!
Mijitu kama nyie ndio mnakufaga na zile saratani za shingo!
Una suffocate nchi kavu mpaka roho inachomoka!
Laanatullah!

We are the sons of God, God is our father! A lovely father, who loves us so much, so kumuuliza Mungu maswali ni haki na wajibu wa kila mwanadamu anay tambua nature ya uhusiano uliopo kati yake na Mungu. Matter fact Mungu ndio chanzo cha hekima na maarifa yote, so kuna ubaya gani kumuuliza Mungu maswali ili upate majibu yenye uhakika? Ulitaka amuulize shetani au ?
 
Hapa nimekumbuka law of universal hii inakuambia hakuna scarce resource resource are plenty if you need just wish want and then get it. Hi law inasema watu kuwa masikini ni kujitakia tu. Mfano haijawahi kukutokea siku inahitaji kitu flan ukakesha ukiomba Na hukuwa nam pango wafedha Kwa njia za ajabu ukakipata? Kunarafiki yangu ni mwalimu chuo cha uhasibu Arusha yeye alikuwa a natamani sana Gari aina ya rav4 new model Na aluta nani kupata kabla ya December alifuata kanuni za law of universal kweli ilipofika November tayari alikuwa Na like Gari Kwa rangi ileile aliyokuw anaiota. Kwangu Mimi binafsi ninaipractice sana unaweza kutumia jina lolote unalotaka Allah,Jah,Jehovah,Rama,Krishner,Mizimu chochote kile mambo yanakuwa poa


Mi naona kama wote mnatoa maelezo hayajitoshelezi, wote mnaishia kusema tu una concetrate kuwaza/kufikiri au kutafakali.. sasa how kuwaza.. how ???? Unafanyaje...? Unawazaje...
 
Mkuu MziziMkavu hebu tupia wenye nyota ya Leo / Simba....

HAYA BIBIE ANGALIA NYOTA YAKO YA SIMBA MAISHA YAKO YOTE YAPO HAPO:


NYOTA YA SIMBA (LEO)

  • Hii ni nyota ya tano katika mlolongo wa nyota kumi na mbili.
  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21Julai na 21 Agosti.
  • Sayari yao ni Jua (Sun).
  • Siku yao ya bahati ni Jumapili.
  • Namba yao ya bahati ni 1 na 4.
  • Rangi yao ya bahati ni Njano au rangi ya Dhahabu.
  • Asili ya nyota yao ni moto.

KIPAJI CHA SIMBA (INSPIRED):

Wenye nyota hii wana kipaji cha ufunuo wa kiungu , wana uwezo wa kuvumbua mambo ambayo yanaweza kuwaletea fedha pamoja na kwamba hazikai.
Wanauwezo vilevile wa kuponya kwa kutumia mikono yao kuponya watu na wanakipaji cha asili cha uongozi.

TABIA ZA SIMBA:

Watu wenye nyota hii ya Simba ni watu wanaopenda ufahari mkubwa na kutukuzwa. Ni watu wanaopenda kutumia na wanataka waonekane na wanuwezo wa kuvumbua mambo amabyo watu wengine hawajui na wanapenda sana heshima.
ni wakarimu lakini ni wajeuri na wanapenda kuonea watu. Wana hisia kali, ni wakali na wanakiburi.

TABIA YA SIMBA KATIKA MAPENZI:

Tabia ya Simba ni kujitanua, Ukarimu na ulezi ikichanganyika na ujeuri na kujionyesha, huwaharibu wale wanao wapenda.
Furaha haina mpaka katika mapenzi ya simba, mioyo yao mikubwa na hisia zao nzito hutokeza dhahiri wanapompenda mtu.
Baada ya hapo ndipo sura kamili ya Simba hujitokeza. Wao wanathamini sana mapenzi na juu ya jambo lolote, na wanaweza kuwa waaminifu sana na wakati mwingine huwaabudu wapenzi wao.
Wanapenda kujishughulisha sana na mambao ya mapenzi lakini mambo yakiharibika basi inakua vigumu sana kuyatengeneza.
Tatizo lao kubwa ni wao kujisahau kwamba ni upande mmoja wa penzi na wanajifanya wao ndio viongozi.
Kwa nje wanaonekana ni wenye kujiamini katika mapenzi lakini kwa ndani wanaweza kuwa wanaumia lakini hawawezi kukubali. Hata hivyo mara nyingi hutegemea kupata hisia kama walizonazo wao kutoka kwa wapenzi wao.

MATATIZO YA KIAFYA:

Nyota hii inatawala moyo, sehemu ya juu ya mgongo na bandama.
Vilevile inatawala uti wa mgongo na mshipa mkubwa wa damu.
Matatizo yao makubwa kiafya yanahusiana na maradhi ya kuumwa sehemu ya juu ya mgongo.
Maradhi yanayotokana na damu kama shinikizo la damu la juu na chini na maradhi ya moyo.
Vilevile wanaugua maradhi ya homa ya uti wa mgongo.
{mospagebreak}

KAZI ZA WENYE NYOTA YA SIMBA:

Wenye nyota hii wanatakiwa wafanye kazi zifuatazo; kazi za usimamizi, kama katika kampuni yake binafsi au katika mashirika au biashara, kazi za michezo au uongozi wa michezo.
Wanatakiwa wafanye kazi za usonara au kazi za kuuza au kutengeneza mavazi ya mitindo.
Vilevile wanatakiwa wafanye kazi za uigizaji au uendeshaji sinema au kazi zozote zinazohusika na masuala ya vijana.
Kazi yao nyingine ni ya ualimu katika taasisi, shule au vyuo vya ualimu.

FAMILIA ZA SIMBA:


Kwa asili Simba ni Mfalme na mamlaka yake yamezungukwa na hisia za kifalme. Wazazi wa simba huwa wana mila ya kuwapangia watoto wao namna watakavyoishi kwa sababu wanajivunia sana familia zao.


Wazazi wa Simba wanajiona kwamba wana nafasi kubwa katika dunia ambayo inawataka wajionyeshe kwa watu ubora. Pamoja na kwamba wenye nyota hii hupenda kuzunguka na watoto wao (na wao wenyewe wakati mwingine wana tabia ya utoto) hawakubali kupoteza heshima zao wakati wanafanya hivyo.


Wenye nyota hii ni wachangamfu, wenye moyo wa kupenda na wanapenda raha, pamoja na ukali wao wanaweza kuwa wepesi kwa watoto wao.


Watu wa simba kwa uhakika wanaona raha kuwa wazazi lakini wanatakiwa wawe makini kutowaharibu watoto wao kwa zawadi nyingi na maisha ya raha.

Simba wana uhakika na nafasi yao katika jamii kwamba wao ni viongozi hivyo watoto wao huwa wanapenda kujionyesha na wanategemea wawe wanaonekana kwa watu muda wote.

MADINI YA SIMBA:

(AMBER); Jiwe hili lenye rangi ya njano iliyochanganyika na kahawia linasemekana lina uwezo wa kumpa ukakamavu na ari ya uongozi kwa anayelivaa, vilevile linamwepusha mvaaji na maradhi ya kichwa.

UHUSIANO WA KIMAPENZI


(SIMBA NA NDOO):

Tabia ya Simba ya kutopenda kudhibitiwa au kudhibiti watu inakuwa ni faraja kubwa kwa wenye nyota ya ndoo ambao wanapenda uhuru na kufanya mambo yao bila kuingiliwa.

VYAKULA VYA SIMBA:

Wenye nyota ya simba wanatakiwa wale vyakula au matunda yafuatayo ambayo yanatawaliwa na nyota yao.
Vyakula hivyo ni machungwa, maboga, vitu vichachu kama ndimu au malimao na wapende sana kula nyama za ng'ombe, mbuzi na kondoo.

NCHI ZA SIMBA:

Watu wa nyota ya simba wanatakiwa wakaishi au watembelee nchi zifuatazo ambazo zinatawaliwa na nyota yao.
Nchi hizo ni Italia na Morocco na miji ni Bombay (India) na Roma (Italia)

RANGI ZA SIMBA:

Watu wote wenye nyota hii wanashauriwa kinyota wapake nyumba zao au magari yao rangi zilizochangamka na zenye kuonyesha utajiri
 
Mi naona kama wote mnatoa maelezo hayajitoshelezi, wote mnaishia kusema tu una concetrate kuwaza/kufikiri au kutafakali.. sasa how kuwaza.. how ???? Unafanyaje...? Unawazaje...
Mkuu T999ZZZ, maelezo yangu yamejitosheleza kabisa, nimesema hizi "powers" za kufanya chochote ikiwemo miujiza na uponyaji, kila mtu anazo!, ziko ndani yako ila zimelala!. Ili kuziamsha, hatua ya kwanza ni kujitambua kuwa unazo powers hizi!. Jee utajitambuaje?, ndipo wamekuja waalimu kibao na mbinu mbalimbali kubwa ikiwa "meditation" kutulia tuu, kuwaza na kutafakari!, unafanyeje, unawezaje and how, kila kitu kimeelezwa humu!.

Ila pia naomba kukiri, sisi Watanzania ni wavivu kusoma, ni wavivu kufikiri na wavivu kutafakari!, mtu unaingia thread, unasoma last page tuu, then unauliza ufanyaje wakati majibu yote yako humo humo pages za nyuma!.
Pasco.
 
Nina kismati cha kupendwa na wanawake wa nyota hii. Nishadate watatu or more. They are crazy tho. Usije wauzi aise. Wanapenda nyama. Very practical women. Wanajua kujali mbaya. Wanapenda sana kutumia fweza mbaya.wana wivu, wanapenda drama. Hawashindwagi. Wazuri sana. Mmh missed my girl tho.

Sitii neno.......
 
Back
Top Bottom