Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Kaka Pasco, mimi naweza nikawa nimekaa kwenye daladala au tu nimekaa na mtu pembeni yangu nikawa nawaza mambo yangu kimoyo moyo lakini utaona mtu anageuka ananiuliza unasemaje? na wakati sijamsemesha mi nawaza mambo yangu tu. Na huwa inanitokea mara nyingi tu. Sasa hiyo nayo ni nini hebu nifafanule.
Mkuu Nsalu, hiyo ni kawaida tuu ya mtu kujihisi umemsemesha, kuna wakati unawea kabisa kusikia mtu amekuita kwa jina, huku hakuna mtu.

Ila pia kama una powers, unaweza kumtazama na kumuita mtu kimoyo moyo akaskia, akaja! au umejikalia, ukamuwazia kitu, mtu akageuka kukuangalia!. Kama watu wanakusema vibaya, ukiingia au wanaweza kunyamaza au kubadili topic, ili kukuzuga, ukiwa sensetive, utagundua tuu!.

Pasco.
 
kiukweli mkuu mm naungana na ww ila nakupingana na ww pia .
ujue hapa nimesoma coment za wadau hasa mkuu Pasco kiukweli mwenyewe kasema kuwa kuna mambo ya kimungu na kishetani na hizi power huwa zinapotea sana hasa kwakufanya mabaya na kila mtu huwa anazaliwa nazo sasa jinsi anapokuwa ndio huwa zinapotea sasa hapa ndio kwenye main point ukiangalia sana mtoto mchanga huwa anakuwa hana dhambi na hatendi dhambi sasa anapokoa shida ndipo huanza huanza kutenda mabaya na hasa machukio kwa mwenyezi mungu na ndipo nguvu hupotea na kama umesoma soma bible kuna sehem kunamistari inasema kama tungekuwa na imani japo hata kiduchu tuu kama punje ya mchanga (hadarani) hakika tungeweza omba moto toka mbinguni na ungeshuka.

ila sasa binadam asilimia 99 hatuna imani na mambo ya kumpendeza mungu ndio maana tunaangukia kwenye mikono ya shetani na wafuasi wake ndio maana hizi nguvu zinakuwa za kishetani lkn kama tungekuwa wacha mungu basi tungekuwa na nguvu za kimungu.

Pia kwa kumsaidia Bufa, akasome vizuri kisa cha Samson na Delila atagundua kuwa hizo powers zipo na hazipingani kbs na bible. Kutenda dhambi tu ndio tatizo. Mkuu Pasco big up
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Amri kuu ni Upendo, kuna vitu havijaandikwa popote kuhusu source of power za Mungu au za Shetani!.

Hii n i tafsiri yangu binafsi.

  1. Wengi wanadhani kuwa Mungu ndio aliumba vitu vyote!, sii kweli, Mungu hakuumba vitu vyote!, bali ameumba dunia na vyote vilivyomo. Nje ya dunia, sio vyote!. Shetani yuko nje ya dunia!.
  2. Mwanzo wa Mungu, pia ndio huo huo mwanzo wa shetani!. Alikuwa ni 2nd in command akiwa 2nd with powers, mpaka leo mpaka kesho shetani ameondolewa tuu ile position ya 2nd in command but not his powers!.
  3. Mungu ni omnipotent na omnipresent, so does shetani!. Hivyo kwa vile Mungu ni power za mwanga (light) ukiwa nazo unaitwa "enlightened", na shetani pia ni power!, nguvu zake ni za giza "powers of darknes" kwa vile Mungu yupo ndani yetu, vivyo hivyo shetani yupo ndani yetu!. Ukitenda mema, ndio unatumia nguvu za Mungu, ukitenda maovu unatumia nguvu za shetani!.
  4. Mungu ana watumishi wake, mwanaye Yesu Kristo, Malaika na Roho Mtakatifu ambavyo vyote pia ni powers na ukitenda mema, huwakarinisha ndani yetu. Shetani pia anakundi lake la malaika wabaya, mapepo, majini, maruhani, liroho!.
  5. Ukimtumiakia Shetani, wenyeji wa mwili wako wanakuwa ni watumishi wa shetani, ndipo unaposikia fulani ana mashetani, majini, anatumia nguvu za giza!, wale watumishi wa Mungu, wanakukimbia!. Ukitumia nguvu za Mungu, watumishi wa shetani wanakumbia, na ndio hao mapepo wanaotolewa!. Kinachotolewa kwako ni watumishi tuu wa shetani au watumishi wa Mungu, sio Mungu mwenyewe wala sio shetani mwenyewe!.
Kwa maana hiyo vita vyote vya Mungu na shetani, vyote vinapigwana ndani yetu, Mungu is always there ila anayewakaribisha watu wake ni wewe kwa sababu Mungu yuko ndani yetu!. Na shetani pia yupo!, anayewakaribisha watu wake ni wewe mwenyewe!. Ukiwa imara katika Mungu, shetani hawezi kufanya kitu, hata wakuloge, hulogeki hata wakutupia majini, mapepom mashetani, hayawezi kukuingia!. Anayamkaribisha Shetani ni wewe, na anayemfukuza pia ni wewe regardless unatumia jina la nani!.
Pasco.

Where did you get this garbage from? ?

Unaandika utumbo hapa bila USHAHIDI WWT!

Hivi wewe huwa unasoma ulichokiandika!!?

Huyo shetani unasema yuko nje ya dunia!
Huko ndio wapi!! Mars!? Jupiter?! Or uranius!
Kuna kitu kinaitwa ELIMU! na ni muhimu sana kuliko kichwa kikubwa!
Unapoandika kitu hapa ujue kuna hao wenyehio ELIMU wanasoma huu utumbo wako!
Usitujazie uchafu hapa! Tueleze! Wapi umepata hayo madai yako hapo juu?
Kuwa shetani hakuumbwa na Mungu!
Na yeye na Mungu chanzo chao ni kimoja!
Na aliyekwambia Mungu ana chanzo ni babu yako au?
MUNGU yulo NJE YA TIME AND SPACE!
Shetani YUPO NDANI YA TIME AND SPACE!

Ndio maana ukaskia ktk stori za shetani! Akala, akanywa. Akachoka! N.k

Watu msiokuwa na elimu ya Mungu msiwe mnaandika kufuru ovyo humu!
Mtakuja laaniwa.
 
Mimi ni mwananchi tuu!, wananchi tunawadanganya viongozi?!, ila kama unazungumzia lile "jiwe walilolikatta waashi!", subiria kwanza mpaka litakapofanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", ndipo tuje tuulizane!.

Ili kiongozi uwe kiongozi bora, unapaswa kuwa na "powers from within!". Tanzania tunaviongozi wachache sana wenye "powers from within", Nyerere alikuwa na powers!, Sokoine alikuwa na powers!, sorry kuhusu Mwinyi, Mkapa kidogo kwa kuforce, aliyepo ni nil!, ajaye ni very powerful!.
Pasco.

Sawa Pasco naona umeshamjua ajae hata kabla hatujapiga kura. Au ndo powers hizo.
 
Last edited by a moderator:
Mzizi Mkavu
Tupia nyota ya 13 january

HAYA TENA SOMA MAELEZO YA NYOTA YAKO HII HAPA CHINI.


[TABLE="class: ecxyiv1610786350contentpaneopen"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]
NYOTA YA MBUZI (CAPRICON)

  • Hii ni nyota ya kumi katika mlolongo wa nyota 12.
  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 22 Dec na 19 Jan ya mwaka wowote.
  • Sayari yao ni SATURN (ZOHAL)
  • Siku yao ya bahati ni Jumamosi.
  • Namba yao ya bahati ni 8.
  • Rangi yao ya bahati ni rangi ya Kijivu au Nyeusi.
  • Asili yao ni Udongo.

KIPAJI CHA MBUZI(GRADUAL)


Wenye nyota hii wana kipaji cha kuchambua mambo kidogo kidogo au kufuatilia kitu bila watu kujua na kupata ufumbuzi wa uhakika mwishoni.


TABIA ZA MBUZI


Wale wote waliozaliwa katika nyota hii ni watu ambao wanapenda kuwajibika, ni wenye bidii ya kazi, katika kazi yeyote watakayofanya hata kama ikiwa ni ya kipuuzi.


Ni viumbe waaminifu sana na ni watu wastahamilivu na wenye kuweza kuvumilia matatizo yeyote.


Kwa upande mwingine ni watu wenye tamaa kubwa ya kimaisha na kimaendeleo, na kwa sababu ya kutekeleza malengo yao basi huwa wanakuwa wabinafsi na wenye uroho na uchu.


TABIA YA MBUZI KATIKA MAPENZI


Watu wenye nyota hii wanakuwa ni watu wenye aibu sana kwa wapenzi wao lakini aibu ikishawaondoka huwa ni wapenzi wa kutisha, kwa maana ya kwamba kwa vile wao ni waaminifu wanataka wapenzi wao wawaunge mkono katika hisia zao za kimapenzi.


Ni watu wanaoogopa sana kuachwa na wapenzi wao hivyo basi huwa wanakuwa waangalifu sana katika kuchagua wapenzi.


Jambo jingine ni kuwa huwa wao wenyewe hawajiamini kimapenzi, mara nyingi wanashindwa kuingia katika mapenzi kwa woga tu hivyo kukosa nafasi nzuri ya kupendwa.


Kwa ujumla ni wapenzi makini na huwa hawaoi mpaka wapate uhakika wa kutosha kutoka kwa wapenzi wao. Ni wapenzi makini, waaminifu na wanaoweza kuaminiwa. Lengo lao katika mapenzi ni usalama.


TABIA YA MBUZI KATIKA FEDHA


Kwa watu wenye nyota hii fedha ni kitu muhimu sana katika maisha.

Watu wa Mbuzi wanaamini kabisa kwamba fedha ndio zitawapa uwezo wa kuweza kupambana au kukabiliana na mazingira ya Dunia, hivyo basi suala lolote la fedha na mali wanalichukulia kwa uzito mkubwa sana.

Inawachukua muda mrefu kutekeleza malengo yao ya kifedha lakini wakishazipata basi huwa hawatetereki tena. Wana uwezo wa kuhifadhi walichonacho.

Ni watu wabahili sana na hata kama wakiwa na fedha nyingi utaona wanaishi maisha ya kawaida na wala huwezi kuwajua.

Fedha zao zinatoka kwa sababu maalum ya dharura na wala siyo katika starehe au vinginevyo na hiyo ni kwa sababu hupenda kukumbuka walikotoka katika hali ya umasikini au ufukara.


{mospagebreak}


MAVAZI YA MBUZI


Wenye nyota ya Mbuzi wanatakiwa wavae nguo za mitindo, zilizoshonwa kwa ustadi.

Nguo hizo ziwe za rangi ya kijivu au Kijani iliyoiva au hudhurungi nzito.

Kitambaa kiwe cha kitani (Linen) au cha ngozi.

Nguo ziwe ni suti na ziambatane na saa za mikononi.

MATATIZO YA KIAFYA


Nyota hii inatawala Mifupa, Magoti na Ngozi.

Matatizo yao makubwa ya kiafya huwa yanasababishwa na muda mrefu ambao wanafanya kazi au kujishughulisha.

Hii ni kwa sababu hawamwamini mtu mwingine afanye shughuli zao ambazo zina mipangilio ya muda mrefu, nguvu nyingi, na akili hutumika.

Shughuli zao nyingi za mizunguko na kufikiria huwaletea maradhi kama Baridi Yabisi (rheumatism).

Maradhi yao mengine makubwa ni ugonjwa wa ngozi, matatizo ya Magoti na maradhi ya mifupa.


KAZI ZA MBUZI


Wenye nyota ya Mbuzi kitu muhimu katika maisha yao ni kazi na maisha mazuri na yanayoeleweka ambayo yako katika mpangilio wanaoutaka wao.


Ni watu ambao wanazingatia sana muda wa maisha na wana mpangilio maalum kwamba katika umri fulani awe amepata nini au awe na fedha kiasi gani.


Ni wenye kupenda utekelezaji wa kazi wa hali ya juu na wao wanapoagizwa hufanya hivyo.

Kazi zao zinazowafaa ni zile za kutumia akili, Uhandisi, Usanifu Majengo, Saveya, kazi za Serikali, Siasa na Daktari wa Meno.

FAMILIA ZA MBUZI


Wazazi wenye nyota ya Mbuzi ni watu ambao wamepangilia kabisa mipango ya watoto wao kabla hawajazaa.


Ni wazazi ambao wanayachukulia kwa uzito mkubwa majukumu yao ya kulea na hawakubali kabisa watoto wao kufanya michezo michezo ya kipuuzi. Wanapenda kuwahimiza watoto wao kuwa na malengo ya maana.

Wanapenda sana nidhamu katika familia zao.

Mara nyingi wazazi wa kiume huwa hawapati muda kuwa na watoto wao kutokana na kazi nyingi walizonazo lakini kwa wazazi wa kike wanakuwa wanatumia akili ya hali ya juu katika kutatua matatizo au hisia za watoto wao.


MADINI YA MBUZI


Wenye nyota hii wanatakiwa wavae vito vinayoitwa Black Jet.

Jiwe hili inaaminiwa lina uwezo wa kuongeza ujasiri na kumletea mvaaji mafanikio ya kibishara.

UHUSIANO WA KIMAPENZI (MBUZI NA KAA)


Tabia ya Mbuzi ya ubahili na kutopenda anasa hulainishwa na tabia ya Kaa ya upendo, mapenzi na huruma.


VYAKULA VYA MBUZI


Wenye nyota ya Mbuzi wanashauriwa wapende kula vyakula au matunda yafuatayo. Ambayo ndio yanatawaliwa na nyota yao.

Wapende sana vyakula vya Nazi na Nyama yeyote.
Vile vile wapendelee kula Viazi Vitamu na Samaki Gamba (Shellfish).

NCHI ZA MBUZI


Ili kupata mafanikio ya kinyota kwa watu wenye uwezo wanashauriwa aidha waishi au watembelee miji au nchi zifuatazo ambayo inatawaliwa na nyota ya Mbuzi.

Miji hiyo ni Brussels (Ubelgiji) na Oxford (Uingereza) au nchi za Mexico na India.

RANGI ZA MBUZI

Wenye nyota hii wanashauriwa wapake rangi zifuatazo kwenye nyumba zao, rangi ya Kahawia (Brown) Rangi ya Kijivu (Grey) au Nyeusi
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ukitaka Pete ya nyota yako ya Bahati na kinga wasiliana na mimi kwa njia ya email Address yangu hii hapa nitumie barua ya pepe Email yangu hii fewgoodman@hotmail.com
 
Nyota ya 9/11

NYOTA YA 9/11/ SOMA HAPA.............

NYOTA YA NG'E (SCORPIO)

  • Hii ni nyota ya 8 katika mlolongo wa nyota 12.
  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 23 October na 21 Novemba ya mwaka wowote.
  • Sayari yao ni MARS (MARIIKH).
  • Siku yao ya Bahati ni Jumanne.
  • Namba yao ya bahati ni 9.
  • Rangi ya bahati ni Nyekundu isiyoiva au Maroon.
  • Asili yao ni MAJI.

KIPAJI CHA NG'E (MYSTICAL)

Wenye nyota hii wana kipaji na uwezo wa kiroho wa kuwasiliana na watu katika kutekeleza mambo wanayohitaji.

TABIA ZA NG'E


Wenye nyota ya Nge wana uwezo mkubwa wa uvuto au kuvutia watu katika mambo yao. Ni watu wenye uelewa mkubwa na ni majasiri katika kukabiliana na matatizo ambayo wengine yamewashinda.

Ni wenye tabia ya kutilia mkazo mambo yao, tena kwa ukali na ikibidi kutumia ukatili ili jambo litimie wao wako tayari.

Ni watu wenye tabia ya siri na wanapenda kufanya mambo yao kwa siri sana.Wenye nyota hii kama ilivyo alama yao hawaogopi kiza. Wana uwezo na kipaji cha asili cha kutekeleza mambo yao na wakafanikiwa.


Ni watu wenye akili nyingi, waerevu na wepesi sana kuelewa mambo.

Watu wa Nge vile vile wana tabia au wanaweza kujidhuru wao wenyewe.Mambo yanapowawia magumu.

TABIA YA NG'E KATIKA MAPENZI


Watu wenye nyota ya Nge wanapenda sana kutumia fursa ya kufanya mapenzi kama njia mojawapo ya kuonyesha ujasiri wao katika mapenzi na namna wanavyojua kufanya tendo la ndoa.


Kwao mapenzi au tendo la ndoa ni kiungo muhimu sana katika maisha yao hasa ikizingatiwa kwamba nyota ya Nge inatawala sehemu za siri.Inashauriwa wale wenye moyo mdogo wasifanye mapenzi na Nge sivyo watajuta. Kitu kingine ni kwamba ni watu ambao hawayumbi na hawakubali kushindwa upesi.


Ni watu wenye ashki na hasira wakiwa wamedhalilishwa au wameumizwa na wapenzi wao na wanapofanya tendo la ndoa hasira zao huisha mara moja.


Ni watu wasiri sana katika masuala ya mapenzi na wanakuwa hivyo ili waweze kuwapata wapenzi wengi kukidhi matakwa au kiu yao kubwa ya ngono.

{mospagebreak}

TABIA YA NG'E KATIKA FEDHA


Hakuna kitu kinachoshindikana kwa wenye nyota hii, na chepesi zaidi ni namna ya kupata fedha. Wana uzoefu mkubwa wa kuhimili matatizo ya kifedha wanapoanguka, hata wakiwa matajiri na wakafilisika.


Watu wa Nge wana bahati ya kuvumbua fedha au utajiri katika njia ambazo watu wengine si rahisi kugundua.


Ni watu ambao sio rahisi kudanganyika wakiona mpango wowote wa kifedha. Mara nyingi ni kawaida yao kuchukua kitu au kufanya mradi ambao wengine wanauona wa kipuuzi na wakaugeuza kuwa wa thamani kubwa.


Ni wakarimu sana wanapokuwa na fedha, na hawapendi kujidai kwa utajiri wao. Wako tayari wakati wowote kuwatumia watu wengine kutekeleza malengo yao.

Kwa ujumla wao ni wataalamu wa kutafuta fedha katika njia ambazo watu wengi hawazifahamu.

MAVAZI YA NG'E


Wenye nyota ya Nge wanatakiwa wavae nguo zenye rangi inayong'ara, zenye kuonekana na maridadi,zilizo katika hali ya suti au mbili kwa pamoja.


Nguo ziwe za rangi nyekundu au shati jekundu au skafu nyekundu. Kitambaa kiwe cha sufi au cha fulana au chenye kumeremeta.

Mavazi yaendane na kofia na wanawake wapendelee sana kuvaa suruali.

MATATIZO YA KIAFYA


Nyota hii inatawala kifuko cha mkojo, uume, uke, kifandugu au kitonoko (coccy), mlango wa kizazi(cervix) na sehemu ya haja kubwa. Vile vile inatawala mfumo wa mkojo na tezi kibofu (prostate).


Matatizo yao makubwa ya kiafya yanatokana na sehemu zilizotajwa ambazo zinatawaliwa na nyota yao wenye nyota hii wanapenda kujizoesha sana mambo ya mapenzi na ngono. Wakati mwingine hisia zao zinakuwa kubwa sana kiasi kwamba wao wenyewe wanajishuku vibaya.


Inapotokea hivi wanahitajika kusafisha miili yao kwa fadhaa iliyowajaa kutokana na mfadhaiko wa hisia zao.

Kwa ujumla ni watu wenye afya nzuri na wanapona haraka maradhi yanayowasumbua. Wenye nyota hii wana tabia ya aidha kula, kunywa au kuvuta kupita kiasi au wengine hawafanyi mambo hayo kabisa.

Kwa vile nyota hii inatawala sehemu zinazoondoa uchafu wa mwili ni vizuri watu wa Nge wakawa waangalifu na mambo yanayochafua mwili wao.


Magonjwa makubwa ya wenye nyota ya Nge ni maradhi yanayohusiana na kibofu cha mkojo, maradhi ya kuziba mkojo, kansa ya tezi kibofu (prostate Cancer), matatizo ya damu ya kike na mabusha.

{mospagebreak}

KAZI ZA WENYE NYOTA YA NG'E.


Nyota ya Nge ambayo alama yake ya asili ni Maji ni nyota mojawapo ya nyota zenye nguvu katika mambo ya kikazi.


Ni watu wenye milipuko ya hisia wanapokuwa katika miradi yao ya kazi. Wanafanya shughuli zao kwa hisia kali na hamaki na wanategemea wapate majibu ya kuridhisha.


Ni watu makini sana katika kazi na wanafanya kazi kwa kutilia mkazo na ushupavu wakihakikisha wanatekeleza malengo yao. Ni watu waerevu na wenye kung'amua mambo upesi. Ni wafanyakazi wazuri na wanaheshima kwa wafanyakazi wenzao.


Kazi zinazowafaa wenye nyota hii ni kazi za madawa au tiba, kazi za upelelezi, kazi za utafiti, kazi za fundi bomba, kazi za elimu ya kale, na kazi za ushauri wa mambo ya mapenzi na ngono.


FAMILIA ZA NG'E


Wazazi wenye nyota ya Nge ni watu ambao wanaonyesha utulivu wa hali ya juu. Kimaumbile huwa hawaonyeshi hisia walizokuwa nazo juu ya watoto wao, wanaweza wakawa na chuki kubwa lakini hawapendi kuiionyesha.


Kwa ujumla wazazi hao wanapenda watoto na wanatumia muda mwingi na hisia zao kuwangalia na kuwadhibiti watoto wao.


Pamoja na ukarimu wao ni wazazi wenye kupenda nidhamu na wanataka watoto wao wafuate maadili mema. Wazazi hao walivyokuwa wadogo wamepitia ujanja wote hivyo hawakubali watoto wao wawadanganye.


Watoto watagundua kwamba wazazi wao ni watu wa kutisha na kuogopwa lakini uhusiano wao unakuwa ni mzuri. Wazazi wa kike wanakuwa na hisia kali kwa watoto wao kitendo ambacho kinawafanya watoto wawe katika shinikizo.


MADINI YA NG'E


Wenye nyota hii wanatakiwa wavae vito vinavyoitwa BERYL NA RED CORNELIUS. Mawe haya yenye rangi ya damu ya mzee (Maroon) na rangi Nyekundu yanaakisi au kuashiria asili ya Nge ya uhusiano wake wa asili na kitu chochote cha miujiza na uchawi.


UHUSIANO WA KIMAPENZI


(NG'E, NG'OMBE)


Tabia ya Nge ya wasiwasi, wivu, hisia kali za kimapenzi na dhana mbaya kwa wapenzi wao hutulizwa na kuzimwa na nyota ya Ng'ombe ambao wana tabia ya utulivu, uaminifu, wasioyumba na wanaopenda kusikiliza wanayoambiwa.


VYAKULA VYA NG'E


Wenye nyota hii wanashauriwa wale vyakula au matunda yafuatayo ambayo yanatawaliwa na nyota yao,

Mananasi, wapende sana vitunguu vibichi na vilivyopikwa, Nyama ya Kondoo mchanga na vyakula viambatane na viungo vikali.


NCHI ZA NG'E


Ili kupata mafanikio ya kinyota kwa wale wenye uwezo wanashauriwa aidha kuishi au kutembelea nchi au miji ifuatayo ambayo inatawaliwa na nyota hii.


Miji hiyo ni Liverpool(Uingereza) na New Orleans(Marekani) na nchi za Poland na Switzerland.


RANGI YA NGE

Wenye nyota hii wanashauriwa wapake nyumba zao au vyumba vyao au magari yao au sehemu zao za biashara rangi nzito yenye kutia shauku na kuvutia kama rangi ya damu ya mzee (Maroon).


UKITAKA KUPATA PETE YAKO YA BAHATI NA KINGA NITUMIE BARUWA YA PEPE EMAIL YANGU ADDRESS HII HAPA fewgoodman@hotmail.com
 
Ndugu MpiganiaUhuru naomba unijibu haya maswali yangu mawili la kwanza hili
(1)Unapouacha mwili wako huwa unaenda wapi na unatumia mwili upi tofauti na huo uliouacha hapo ulipokuwepo kabla ya kujinyofoa ndani ya huo mwili.
(2)unapouacha barabarani watu wanauona au hauonekani na magari yakipita hayaugongi huo mwili?

Habari Roby2006,
Sorry, sijatembelea JF kwa muda sasa, Nikujibu maswali yako kama ifuatavyo:
1. Baada ya kuuacha mwili wangu situmii mwili wowote kufanya actions, ni kama unavyoota ndoto kuwa upo sehemu fulani unafanya jambo fulani (mwili wako wakati huo unakuwa umeuacha kitandani) tofauti hapa ni kuwa ukiwa kwenye ndoto huwezi fanya action yoyote ikaonekana lakini hapa unaweza fanya kitu na kikaonekana kwa kutumia spiritual power! (nguvu za kifikra / kiroho)
2. Ninapouacha barabarani watu wanauona na wanajua kuwa ni mimi niliyekamilika (kwa wale wanaonifahamu), mwili ni ule wa kawaida hivyo unaweza fanywa lolote (baya au zuri) inatakiwa umaakini wa hali ya juu ili usijezurika, pia yapo mawasiliano kati ya mwili wangu na roho yangu hivyo kukiwa na hali ya hatari utashtuka na kurudi haraka, haijalishi upo wapi kwa wakati huo, lakini tahadhari pia ni muhimu, huwezi ukauacha popote tu, ni hatari sana na ndio maana sipendi ku-practice suala hili mara kwa mara!

Ahsante!
 
Habari Roby2006,
Sorry, sijatembelea JF kwa muda sasa, Nikujibu maswali yako kama ifuatavyo:
1. Baada ya kuuacha mwili wangu situmii mwili wowote kufanya actions, ni kama unavyoota ndoto kuwa upo sehemu fulani unafanya jambo fulani (mwili wako wakati huo unakuwa umeuacha kitandani) tofauti hapa ni kuwa ukiwa kwenye ndoto huwezi fanya action yoyote ikaonekana lakini hapa unaweza fanya kitu na kikaonekana kwa kutumia spiritual power! (nguvu za kifikra / kiroho)
2. Ninapouacha barabarani watu wanauona na wanajua kuwa ni mimi niliyekamilika (kwa wale wanaonifahamu), mwili ni ule wa kawaida hivyo unaweza fanywa lolote (baya au zuri) inatakiwa umaakini wa hali ya juu ili usijezurika, pia yapo mawasiliano kati ya mwili wangu na roho yangu hivyo kukiwa na hali ya hatari utashtuka na kurudi haraka, haijalishi upo wapi kwa wakati huo, lakini tahadhari pia ni muhimu, huwezi ukauacha popote tu, ni hatari sana na ndio maana sipendi ku-practice suala hili mara kwa mara!

Ahsante!

Haya ndio matatizo ya kuangalia horror movies kwa wingi!
Matokeo yake unajiona na wewe unaweza kufanya kama hao actors!
Teh teh teh teh.
Mkuu hizo movies ni fake SIO KWELI!
 
Wasio amini mungu hawawezi kuwa right katika chochote? Na unapokubaliana au kutofautiana nao, unakubaliana au kutofautiana nao kwa sababu ya jambo au kwa sababu hawaamini mungu?

Asiyeamini mungu akikukuta mathalani umepigwa mapanga na majambazi (wanaoamini mungu na kuomba dua kabla ya kukuchabanga mapanga by the way) na akataka kukusaidia, utakataa kwa sababu tu haamini mungu?

Utamuuliza mtu "wewe unaamini mungu au huamini?"

Kwa nini unaendekeza "ad hominem" attacks zinazoangalia mtu badala ya masuala?


labda hukunielewa
my point ilukuwa yeye kama 'muumini'
hawezi pick vitu fulani vya kuviamini na vingine akaamua haviamini
halafu bado still ajiite 'muamini mungu yupo'
wakati imani inamtaka aamini kila kitu na sio kuchagua....
 
labda hukunielewa
my point ilukuwa yeye kama 'muumini'
hawezi pick vitu fulani vya kuviamini na vingine akaamua haviamini
halafu bado still ajiite 'muamini mungu yupo'
wakati imani inamtaka aamini kila kitu na sio kuchagua....

Kwa mujibu wa nani? Imani gani?

Ikiwa hivyo mbona kuna dini tofauti kati ya wanaoamini mungu, na katika kila dini kuna madhehebu tofauti, na katika kila madhehebu watu tofauti wanatafsiri tofauti?
 
binafsi nimeokoka na nina nguvu za Roho Mtakatifu!
lakn nimepata wazo ambalo sijawahi ktmwambia mtu, ni kuwa kuna matukio hutokea na akili hukumbuka kuwa nilishayaona japo sitatjumbuka wapi na lini! ths is super natural power na zina oka kwa Mungu wala msimhusudu shetani
 
Back
Top Bottom