K Mwita
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 356
- 314
Mali ya baba yako f.a.l.a wewe. Sasa swali gani la kipuuzi unatuuliza hapa?Hivi channel 10 ni mali ya serikali au CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mali ya baba yako f.a.l.a wewe. Sasa swali gani la kipuuzi unatuuliza hapa?Hivi channel 10 ni mali ya serikali au CCM?
Tushamzika we mdada, Asaiv yupo kuzimu anaongoza malaika wake huko kuzimu aliowaumba yeye mwenyewe..Huyo Magufuli kamwe hawezi kupata mpinzani hapa Afrika. Ipo siku utayakumbuka maneno yangu wewe Mmmarekani.
Waliitaifisha bana hao majambazi kupitia ile Task Force iliyokua ikiongozwa na Bashite...Hivi channel 10 ni mali ya serikali au CCM?
Sasa ni mali ya nani kama sio chadema?Mali ya baba yako f.a.l.a wewe. Sasa swali gani la kipuuzi unatuuliza hapa?
Rostam Aziz alikuwa na hisa nyingi sana pale Channel 10. Sijui bado anaimiliki mpaka sasa?Sasa ni mali ya nani kama sio chadema?
Rostam ndio yule jamaa aliyekuwa anaidhamini Yanga?Rostam Aziz alikuwa na hisa nyingi sana pale Channel 10. Sijui bado anaimiliki mpaka sasa?
Chadema hawana gazeti sasa watawezaje hata kumiliki channel 10?Sasa ni mali ya nani kama sio chadema?
Alafu wanapewa pesa nyingi sana ya ruzuku. Sijui wanahonga wale?Chadema hawana gazeti sasa watawezaje hata kumiliki channel 10?
Acha Polisi wafanye kazi yao, usiingilie upelelezi.Azory haki yake itabatikana tu hata iwe 100yrs to come
Wacha yakukute siku moko then you gonna understandAcha Polisi wafanye kazi yao, usiingilie upelelezi.
Acha kumtisha mwenzio wewe. Kwani wewe ni mtoto wa huyo Azory?Wacha yakukute siku moko then you gonna understand
Azory ana mke na watoto wawili kama sijakosea. Alikuwa anafanya kazi gazeti la Mwananchi na kaka yangu.Acha kumtisha mwenzio wewe. Kwani wewe ni mtoto wa huyo Azory?
Acha kumtisha mwenzio wewe. Katika jina la Yesu hayo hayawezi kumkuta.Wacha yakukute siku moko then you gonna understand
Mkuu, labda ni kweli baba yake ana hisa huko channel 10 wewe utajuaje?Mali ya baba yako f.a.l.a wewe. Sasa swali gani la kipuuzi unatuuliza hapa?
Amewanyoosha sana Magufuli aisee CHADEMA hawatakuja kumsahau.Tushamzika we mdada, Asaiv yupo kuzimu anaongoza malaika wake huko kuzimu aliowaumba yeye mwenyewe..
Sio CHADEMA peke yake bali hata mabeberu wote hawatakuja kumsahamu mwamba huyuAmewanyoosha sana Magufuli aisee CHADEMA hawatakuja kumsahau.
Umasikini tu unamsumbua huyo hawezi kuwa na baba mwenye hisa kampuni yoyote ile.Mkuu, labda ni kweli baba yake ana hisa huko channel 10 wewe utajuaje?
JPM shujaa wa AfrikaTushamzika we mdada, Asaiv yupo kuzimu anaongoza malaika wake huko kuzimu aliowaumba yeye mwenyewe..
Jambazi gani tena wee dogo? BAVICHA?Waliitaifisha bana hao majambazi kupitia ile Task Force iliyokua ikiongozwa na Bashite...