Public Transport Dar es salaam vs Nairobi


Hii hapa Danganyika Dar es salaam mbovu kuliko Dadaab refugee camp



 
Ha!!
Wewe MOTOCHINI hatari!!!
Video hii imenihuzunisha kweli

Ila hicho nikiswahili gani?
Kiswahili chakenya
Uwe mzima kwenye busara
Unaweza ahirisha kuzungumza nao hao watu.

Hawa wakenya mimi hawanisumbui
Hawano jipya lamaana ktk ulimwengu huu zaidi ya majivuno,wizi,ufisadi na ukabila.
Tembea ndugu utayaona
Nenda vijiji vya kenya ndio utajua kama wapo watu hali ni mbaya kuliko vile unavyo fikiria.
Lakini utawakuta humu viroboto wachache wakijinasifu
Kwa wale wasio wajua huamini
 
Huwezi fananisha na kibera labda kama hauna akili...izo ni nyumba tatizo hapo ni mpangilio tu kibera zile ni mabanda u ngurue na kuku wanaishi watu

Just in case you didn't a Math class. 70% of 4 million people is 2. 8 million. Stop the burying of your head in the sand. That is the number of Danganyikan souls squatting in squalor in Dar es salaam slums.
 
Just in case you didn't a Math class. 70% of 4 million people is 2. 8 million. Stop the burying of your head in the sand. That is the number of Danganyikan souls squatting in squalor in Dar es salaam slums.
Whatever men but see your the one who is not living ....your just breathing !!
 
Hayo ndio mapovu tunayoyataka. Endelea kutoa povu unaruhusiwa.
kwani ulitaka vitu gani hyo si reference yake, nescafe na game of thrones au ulitaka avichore hapo mkuu
 
Hahahaa..... Ushenzi wak ndo waja kuanikia hapa.CCM bootlicker kabisa
Wewe kikuyu ondoa ufyuzi wako. Sasa hivi umeishiwa point umeanza kushambulia watu binafsi. Hizo ni dalili za watu walio empty kichwani.
 
Hahahaa..... Ushenzi wak ndo waja kuanikia hapa.CCM bootlicker kabisa
Nenda kwenye mada husika
Mimi sijapost picha yeyote humu
Nikianza kupost utatukana na kupanic vyakutosha!!!

Nyie watu wahovyo kabisa
Mada ni usafiri wa umma
Mmeshindwa kupost walau picha moja tu!!!
 
Fact [emoji108]

Hayo matatuu wameyaremba ila kwa Hapa Tanzania urembo huo upo Kwnye daladala za Tanga au Mwanza na hapa Dar ushapitwa na wakati na Hapa ni Modern zaidi ndyo watu huwa wanapapatikia



Au



Japo zipo zingine zimechoka na watu huwa hawajali wanaona kawaida tuu kama hii



Na conclusion ni kwamba hapa Dar hzo mbwembwe za matatuu huku hazipendwi na wakenya mnaweza ona kwenu ni nzuri ila dar ni Outdated [emoji13] [emoji13] [emoji13]


~Cmb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…