Maneno matupu hayavunji mfupa....fanyeni tuone...kama madaktari hadi Leo mmeshindwa ndio itakua kuboresha iyo slum kibera??sio rahisi kihivyo na kwanza sio priority mnajenga mall mnaiita two river wakati watu wanaishi kama ngurue ...Tanzania hamna makazi u namna Ile
Huwezi fananisha na kibera labda kama hauna akili...izo ni nyumba tatizo hapo ni mpangilio tu kibera zile ni mabanda u ngurue na kuku wanaishi watuHii hapa Danganyika Dar es salaam mbovu kuliko Dadaab refugee camp
View attachment 454335
View attachment 454339
View attachment 454342
View attachment 454344
Kiswahili chakenya
Huwezi fananisha na kibera labda kama hauna akili...izo ni nyumba tatizo hapo ni mpangilio tu kibera zile ni mabanda u ngurue na kuku wanaishi watu
Ficha upumbavu wakoHii hapa Danganyika Dar es salaam mbovu kuliko Dadaab refugee camp
View attachment 454335
View attachment 454339
View attachment 454342
View attachment 454344
Whatever men but see your the one who is not living ....your just breathing !!Just in case you didn't a Math class. 70% of 4 million people is 2. 8 million. Stop the burying of your head in the sand. That is the number of Danganyikan souls squatting in squalor in Dar es salaam slums.
kwani ulitaka vitu gani hyo si reference yake, nescafe na game of thrones au ulitaka avichore hapo mkuuHayo ndio mapovu tunayoyataka. Endelea kutoa povu unaruhusiwa.
treni au utalii wa ndani hizi
Ficha upumbavu wako
Usije aibika bure
Usianze kulialia
Nenda kwenye mada husikaHahahaa..... Ushenzi wak ndo waja kuanikia hapa.CCM bootlicker kabisa
Fact [emoji108]Dar huwez fananisha na Nairobi coz Dar ina raha nyingi sana ambazo Nairobi huwezi kuziona,nikianza na mademu wa Nairobi wana viguu vyeusi lkn wanapenda kuvaa uchi ila ktk daradara wao wanaita matatu kweli wako vizuri maana kwa hilo tuu la kucompare matatu na daladala japo ukiileta matatu dar watu watacheka sana maana ni km madudu gani cjui, yani huku tunasema malembo malembo wanapenda wasukuma ndo matatu yani bongo ni kama utaonekana mshamba tuu kuleta stand mgari km boti, ila nu fresh hazina usumbufu . .
Lkn ukizungumzia usafiri dar kuna aina nyingi sana ya usafiri kuzidi Nairobi
Unaita hizo nyumba?Huwezi fananisha na kibera labda kama hauna akili...izo ni nyumba tatizo hapo ni mpangilio tu kibera zile ni mabanda u ngurue na kuku wanaishi watu
Enelea kupiga domo, huku twajengaHuwezi fananisha na kibera labda kama hauna akili...izo ni nyumba tatizo hapo ni mpangilio tu kibera zile ni mabanda u ngurue na kuku wanaishi watu
Apo ni kibera kwani[emoji44][emoji44]Enelea kupiga domo, huku twajenga
Ulikuwa unalinganisha Kibera na Dar-es- Salaam?