Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Kwikwikwi. Sasa huo ni usafiri ndani ya Nairobi?
Hebu acha bana issue hizo.
 
Hapa ndio umejionesha namna gani ulivyo mshamba wewe kama sio utoto ni ushamba and lack of exposure hayo makopo kwa Tanzania long time kitambo

Tamaza muonekano wa mabasi mapya ya shabiby na huduma zinazopatikana mithili ya ndege

Basi jipya kabisa la Shabiby ambalo linategemea kuanza safari zake kuanza Jumatano hii, safari zake zitakuwa ni kati ya Dodoma Dar na Dar Dodoma, Basi hili lina TV katika kila siti na pia ina sehemu ya kuchaji simu au Kompyuta na pi lina Wifi ambayo ina kasi ya hali juu, nauli ya mabasi haya ni shilingi elfu 35000 kwa kila mtu, utapata huduma ya Chakula pamoja na vinywaji kwenye basi hili


 

wewe unazungumzia Dar ya zamani
 
Annael, huu uzi unasaidia sana, mabomu yalio tegwa ardhini yanajifichuwa yenyewe, huna haja ya metal detector. Cheers
 


Kuna mmoja kusema nairobi watu wastaarabu wanaingia kwenye matatu kwa mstari

Tuykianza kuweka picha zenyu za huko, mtasema sisi wachokozi.
Ila thread ilitakikana ya kwamba wakaazi wa miji hizi ndio wajiwekee mapicha, sio mtu wa Dar kuweka picha ya Nairobi and vv. Kwa hivyo, kama mnaweka pich hizi kiushabiki hivi, basi na sisi hatuna haja kujihusisha na hii thread.

1)


Hiyo pich ya kwanza ni ya maandamano ya wahudumu wa matatu, waona hata hapo on the left people staring.
 
Sisi tulikuwa huko zamani kipindi cha chai maarage, umnikumbusha mbali sana
Hizo pia ni mambo za kizamani hapa Kenya. Huyu mchokozi tu.

Alafu suala lilikuwa ni la usafiri mjini Nairobi, ilhali hizo ni mabasi za upcountry.
 
Waona sasa, unaniambia mambo eti litaanza, hayo niliyoyaweka hapa yalianza kitambo, na hata wewe ungilinganisha hilo linaweza fika hili?
 
Good, but all these is the norm in most NAirobi public vehicles . We are not saying that the public transportation in Kenya is perfect, pia zipo na kero zao, lakini pia tunaendelea
 
Ni kweli usafiri wa nairobi watu hawasimami wala hawabanani ndani ya gari kabisa as the matter of fact you can see how they are enjoying white-collar transfer. View attachment 436218View attachment 436220View attachment 436221View attachment 436222
My friend, hizi ni picha za kitambo mno. Halafu tumeombwa tuweke za NAirobi. Usifikirie sisi pia hatuna picha za huko, na tukiamua kufanya hivi.........anyway


















Now, this chaos is the main mode of transportation in Dar. Kid us not about the BRT. Like I have said before, the BRTs serve only a small number of the population of Dar.
 
duh! basi ya mbao?! kwikwikwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…