PUGU Sekondari mmelogwa?

Pole aisee. Sasa huyo dogo anashida gani hadi apelekewe shule?
Kuna baadhi ya shule wanafunzi kunyoa viduku ni ruksa.
Taratibu zingine za kijinga sana
In fact hana shida yeyote, ila niliona ni vyema kumsindikiza day1. Pia mizigo ilikuwa mingi, nikaona bora nimpeleke. I did not want him to experience what did 30 years ago. Ila kama angechaguliwa mkoani angeenda tu mwenyewe. Ila uwepo wangu ulisaidia maana kuna nguo za nyumbani nilirudi nazo pia kulikuwa na pesa ambazo wanadai gharama zilikosewa kwenye fomu yao, ikabidi nilipe otherwise nisingekuwepo ingemletea shida kijana!! I mean ingekula kwenye pocket money yake!
 
Anasoma DAY au BOARDING? Ni uniform tu, hakuambiwa na nguo zake za kawaida zifate mfumo huo....msije mkaanza na kusema, mtindo wa nywele n.k, 20inch haiathiri masomo yake sio? Avae tu hata kama ni Pepe Kale style.
Ni kweli haithiri, tena inasaidia kumfanya mtoto asijisikie kutembea tembea nje ya shule! Naamini 20 ikiingalia hata mwenyewe unajionea aibu!!!
 
Dogo ajiandae kupigwa na fangasi.
Na unatakiwa umpige biti Dogo asiwe anakuja kuja nyumbani siku za weekend.
Labda kama Dogo ni kichwa
 
Na ndo wanafunzi wengi wanafanya hivyo, week 1 tyuuh huyo mdogo atabadilishaaah
 
Shule zote ziko hivo now kwa selikali hasa upande wa Advance, kwa wavulana n suruali pana, na wasichana sketi ndefu hadi kufunika miguu. Mbona aliliongelea waziri Ndalichako tangu 2017. Ila tyuuh akili za wanafunz n wabishi wanamodoa tyuuh hakuna kujali.
 
Nakubaliana na wewe suala kwenye uvaaji wa heshima, ila suruali ya inch 20 sio masihara. Hata hao watunga Sera hawavai hivyo.
Sometimes nadhani ni uonevu usio na maana. Mimi nilimpelekea fundi akanambia hajawahi kushona suruali ya saizi kwa siku nyingi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hata usijari huyo mdogo akikaa hapo week, atabadilisha tyuuuh n must yaan
 


Ili iwe rahisi kwa mwanafunzi kuvaa na kuvua, old is gold, that all.
 
Umesoma waraka wa wizara ya elimu kuhusu sare za shule? Au unaneng'eneka tu
 
Sema vimodo vilizidi sana. Unakutana na vijaba wamevaa uniform au hata jeans too skinny unajiukiza wanavaaje na kuvuaje?

Juzi kati kuna dogo ndio kaniambia kuwa wanavaa mfuko wa nailoni (rambo) miguuni wakati wa kuvaa na kuvua ili ngui zipite kirahisi..

What a hustle, you wonder!
 
Mkuu umeniacha hoi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tuwatendee wenzetu vile ambavyo na sisi tungependa tutendewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…