Pumba laini za mpunga zinafaa kulishia kuku au bata?

Pumba laini za mpunga zinafaa kulishia kuku au bata?

Zina faa kabisa mimi nalishia Mbuzi, ila upatikanaji wake ni mgumu kidogo siku hizi. nakushauri uchanganye na virutubisho vingine pamoja na chumvi au dcp.
 
Zina faa kabisa mimi nalishia Mbuzi, ila upatikanaji wake ni mgumu kidogo siku hizi. nakushauri uchanganye na virutubisho vingine pamoja na chumvi au dcp.
Virutubisho vyote kama vya pumba ya maindi
 
Back
Top Bottom