mzaha kafanyiwa manumba ICU itakuwa kutoka mapumba??? acheni unafiki na kukuza issues ambazo hata mwenye ugonjwa hajaona kuwa kafanyiwa faul!! bora kuwa msukule lamadi narudia, kuliko kawaida kama binadamu mtaani!!Hivi kumbe na kwenye matatizo/ugonjwa wa mtu tunatakiwa kuweka mzaha,huh?!
Habari wadau
Naomba kuuliza ni ugonjwa gani huu kwenye mapumbu kuna kuwa na pumbapumba na kama zinabanduka hivi lakini hakuna maumivu yoyote tatizo ni nini na ni ugonjwa gani?na dawa gani inaweza kusaidia
Inaitwa PUMBU EROSION=PEHabari wadau
Naomba kuuliza ni ugonjwa gani huu kwenye mapumbu kuna kuwa na pumbapumba na kama zinabanduka hivi lakini hakuna maumivu yoyote tatizo ni nini na ni ugonjwa gani?na dawa gani inaweza kusaidia
Weeeeee.......hebu ngoja nikanunue herbal oil ya kupaka zangu......mpauko wenye harara ni hatari......
Inaitwa PUMBU EROSION=PE
kaka nenda hospitalini, waambie nanii zako zinaiga CCM kujivua gamba!
Weka picha tukusaidie.
hahahah! Ilishawahi kukubamba nini? Mbaya ilikuwa kipindi cha masika ikushike then uwe mongwe! Utajuta!Wana mzumbe utawajua tu
ulipotea upo?? hayakuhusu na wewe!! sosi we mwenyewe!! kwi kwi kwi!
Habari wadau
Naomba kuuliza ni ugonjwa gani huu kwenye mapumbu kuna kuwa na pumbapumba na kama zinabanduka hivi lakini hakuna maumivu yoyote tatizo ni nini na ni ugonjwa gani?na dawa gani inaweza kusaidia