Pumba pumba kwenye kereng'ende

Pumba pumba kwenye kereng'ende

Baba mtata

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
280
Reaction score
40
Habari wadau
Naomba kuuliza ni ugonjwa gani huu kwenye mapumbu kuna kuwa na pumbapumba na kama zinabanduka hivi lakini hakuna maumivu yoyote tatizo ni nini na ni ugonjwa gani?na dawa gani inaweza kusaidia
 
Hao ni fungus. Muone daktari haraka sana, kabla hao fungus hawajahiribu ofisi. Sio ofisi kama jengo bali mfumo wa uzazi.
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hii ni mpya kwangu! jamani hata hizo pumbu zenu muwe mnapaka mafuta, mbona vaseline bei rahisi tu! ukute unakaa mafinga kwenye baridi, sasa ngozi inababuka ka nyoka ndiyo unajishangaa, paka mafuta kila ukitoka kuoga, at least ngozi yz hizo pumbu iwe soft! lolest! kweli niendelee kukua niyashuhudie ya walimwengu!!

we Zinduna njooooooo kuna mtu anatoka pumba kwenye pumbu, lol
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiii.....hiyo ni pangusa......hakyamama una hatari ya kuzikosa sehemu zako za siri......wahi kwa doctor kabla hazijakatika.....
 
Hao ni fungus. Muone daktari haraka sana, kabla hao fungus hawajahiribu ofisi. Sio ofisi kama jengo bali mfumo wa uzazi.
ulipotea upo?? hayakuhusu na wewe!! sosi we mwenyewe!! kwi kwi kwi!
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hii ni mpya kwangu! jamani hata hizo pumbu zenu muwe mnapaka mafuta, mbona vaseline bei rahisi tu! ukute unakaa mafinga kwenye baridi, sasa ngozi inababuka ka nyoka ndiyo unajishangaa, paka mafuta kila ukitoka kuoga, at least ngozi yz hizo pumbu iwe soft! lolest! kweli niendelee kukua niyashuhudie ya walimwengu!!

we Zinduna njooooooo kuna mtu anatoka pumba kwenye pumbu, lol

Weeeeee.......hebu ngoja nikanunue herbal oil ya kupaka zangu......mpauko wenye harara ni hatari......
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiii.....hiyo ni pangusa......hakyamama una hatari ya kuzikosa sehemu zako za siri......wahi kwa doctor kabla hazijakatika.....
upo? yaeda kwema? pangusa ndiyo nn?
 
Weeeeee.......hebu ngoja nikanunue herbal oil ya kupaka zangu......mpauko wenye harara ni hatari......
umeona eeeeeeee?? angekuwa hubby wangu huyo, angekoma! kama hela sina ningepaka hata mafuta ya chikichi, inahuu pumbu kujivua ngozi ka chatu??
 
Poa wadau lakin tatizo lipo kwenye pumbu moja la kulia ndo hv lakin hayaumi wala kuwasha lakin ngozi yake inatoka na napaka mafuta lakin bado sijui tatzo ni nini
 
Poa wadau lakin tatizo lipo kwenye pumbu moja la kulia ndo hv lakin hayaumi wala kuwasha lakin ngozi yake inatoka na napaka mafuta lakin bado sijui tatzo ni nini

Mbona unatutatanisha hapa sasa!
Mara hujui tatizo; mara unajua tatizo...
Kajipange vizuri ndo uje tukupe ushauri na nasaha...
Maana hizo ndo dalili za awali za goma!
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hii ni mpya kwangu! jamani hata hizo pumbu zenu muwe mnapaka mafuta, mbona vaseline bei rahisi tu! ukute unakaa mafinga kwenye baridi, sasa ngozi inababuka ka nyoka ndiyo unajishangaa, paka mafuta kila ukitoka kuoga, at least ngozi yz hizo pumbu iwe soft! lolest! kweli niendelee kukua niyashuhudie ya walimwengu!!

we Zinduna njooooooo kuna mtu anatoka pumba kwenye pumbu, lol

We mwana we, mbona hii kitu umeishabikia hivyo. Kulikoni?
 
Hiyo shuli niliyokuwa nasoma ilikuwa inaitwa Pumbu Erosion (P.E). Usiombe upitishe maji ya baridi hapo!!........

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
we mwana we, mbona hii kitu umeishabikia hivyo. Kulikoni?
nimemhurumia mgonjwa sana, nikajua ni kubabuka kwa kukosa mafuta, nadhani atapata ahueni baada ya kupaka mafuta na kumuona dr. Wanaume wengi hawapaki mafuta hata uso!
 
nadhani jukwaa la jf doctor liheshimiwe.
Kitendo cha kufanya mention za watu huku ili waje kuona ugonjwa wa mtu naamini si sahihi.
nadhani unafiki si mzuri PakaJimmy, ungenitaja tu! Pole kwa mgonjwa kama amekwazika, nilimuita Zinduna coz huwa ananisaidia sana kwenye issuez fulani fulani!!
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiii.....hiyo ni pangusa......hakyamama una hatari ya kuzikosa sehemu zako za siri......wahi kwa doctor kabla hazijakatika.....
upo nasikia yaeda mmeletewa mahindi na majembe mtaweza kulima sasa? au mtaenda kuuza na kubadilishana na bhangi na gongo
 
Hivi kumbe na kwenye matatizo/ugonjwa wa mtu tunatakiwa kuweka mzaha,huh?!
 
Back
Top Bottom