Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Habari wadau
Naomba kuuliza ni ugonjwa gani huu kwenye mapumbu kuna kuwa na pumbapumba na kama zinabanduka hivi lakini hakuna maumivu yoyote tatizo ni nini na ni ugonjwa gani?na dawa gani inaweza kusaidia
Naomba kuuliza ni ugonjwa gani huu kwenye mapumbu kuna kuwa na pumbapumba na kama zinabanduka hivi lakini hakuna maumivu yoyote tatizo ni nini na ni ugonjwa gani?na dawa gani inaweza kusaidia