Pump Gani naweza kufunga kumwaga maji mita 600 hadi 1000 kutika chanzo cha maji?

Pump Gani naweza kufunga kumwaga maji mita 600 hadi 1000 kutika chanzo cha maji?

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wadau wa kilimo naomba ushauli ninashamba la mapunga liko kati ya mita 6000 Hadi MITA elf 1 ,je pump zipi ninunue?JE petrol nch 3 hadi 4 au pump ya diesel nchi ya Bomba la nchi 3 u nne au unavyoona inafaa
 
Budget ikiruhusu nunua diesel engine funga na pump zile za kuzungushwa na hyo engine
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    25.6 KB · Views: 19
Diesel, 3 inches or 4 inches. Ingawa haujasema ukubwa wa eneo lako umesema umbali.

Au tafuta engine ya "power tiller" (wengine huita kimondo ) ya horsepower 24 na pump ya inchi 6 suction ..then outlet unachonga bomba Y lenye reducing diameter mbili, unaweza chagua inchi 4 na inchi 2 , au 3 kwa 3 au 3 kwa 4 ..utapima mwenyewe kulingana na uhitaji, hizo unaweza tumia zote au unafunga upande kucreate pressure.
 
Diesel, 3 inches or 4 inches. Ingawa haujasema ukubwa wa eneo lako umesema umbali.
Au tafuta engine ya "power tiller" (wengine huita kimondo ) ya horsepower 24 na pump ya inchi 6 suction ..then outlet unachonga bomba Y lenye reducing diameter mbili, unaweza chagua inchi 4 na inchi 2 , au 3 kwa 3 au 3 kwa 4 ..utapima mwenyewe kulingana na uhitaji, hizo unaweza tumia zote au unafunga upande kucreate pressure.
Asante Kwa challenge,,eneo ni ekari 18
 
Mpunga huku chato unaaza kukaauka sbb ya ukame,,so nafikilia labda nitafute machine ya kumwahlgilia ndo mana naulizia wazoefu wanishauri
 
Diesel, 3 inches or 4 inches. Ingawa haujasema ukubwa wa eneo lako umesema umbali.
Au tafuta engine ya "power tiller" (wengine huita kimondo ) ya horsepower 24 na pump ya inchi 6 suction ..then outlet unachonga bomba Y lenye reducing diameter mbili, unaweza chagua inchi 4 na inchi 2 , au 3 kwa 3 au 3 kwa 4 ..utapima mwenyewe kulingana na uhitaji, hizo unaweza tumia zote au unafunga upande kucreate pressure.
Inauzwaje
 
Jamani ideas za jambo langu,,wadau naomba ushauri
 
Ushauri ulishapewa hapo juu, au kuna kile unataka kusikia?
Nikiuzwa eneo nikasema ni ekari 18 sasa sijajua hizo specifications zilizotolewa kama inaweza kufaa hilo eneo la umbali WA km moja kutoka ziwani
 
Nenda maduka ya kilimo kanunue au agiza China bei ndogo ushuru mdogo,changamoto time tegemea mwezi na masiku mzigo kufika
Kuahiza china Hadi hapa inaweza kula sh ngapi? nanikitaka kuagiza naanzia wapi?Asante kwa elimu
 
Inauzwaje
Inategemea brand...kama una mtu unayemuamini mjini DSM muombe aende mitaa ya kisutu kwenye maduka ya mashine mbalimbali akakuulizie, au sogea Mwanza uliza upate Bei elekezi. Kuagiza china pia unaweza ingawa kwa scale ya 18acres utaingia gharama. Mwaka 2021 HP 24 ya kichina ilikuwa btn 6.5 to 9.0 mil Tsh, kulingana na aina na attachments inazoambatana nazo.
 
Wadau wa kilimo naomba ushauli ninashamba la mapunga liko kati ya mita 6000 Hadi MITA elf 1 ,je pump zipi ninunue?JE petrol nch 3 hadi 4 au pump ya diesel nchi ya Bomba la nchi 3 u nne au unavyoona inafaa
Kampuni ya Davis and Shirtliff wana pump zina kasi ya ajabu sana. Jaribu kuwatembelea, hao ndio wataalamu wa pump za maji
 
Back
Top Bottom