Pumzi inakata na hakuna mapumziko: Magaidi wengi zaidi wa Hamas wanaendelea kujisalimisha kunusuru uhai wao

Pumzi inakata na hakuna mapumziko: Magaidi wengi zaidi wa Hamas wanaendelea kujisalimisha kunusuru uhai wao

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.

Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.

Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.


 
aiseee mwarab amepelekewa show la kibabee kabisaaa dah....yani anapigwa chupaa la kinyeo mazeee
Sio waarabu wote bali ni wale waliokosa akili kutaka kuwaua waisrael wote ili nchi yote iwe yao kutoka Mto Yordani mpaka bahari ya Mediterranean, wapalestina huwa wanaimba from the river to the sea.

Ni huruma tu ya Israel hata hio Palestina ipo, mataifa matano ya waarabu yaliwahi kuungana na Palestina kujaribu kupindua Israel lakini wote kwa pamoja walishushiwa kipigo cha kistaarabu kwa siku 6 ngoma ikaisha, Israel angeweza kuifuta kabisa Palestina ila ni huruma tu.
 
Hamas kamatieni hapo hapo
Mazayuni magaidi yale yaliotekwanyameokolewa mangapi mpaka muda huu
Hamas kundi teule
Hamas wanaangamia, viongozi wao na familia zao wapo Qatar, huu ni uhuni.

Kwanini viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wapo Qatar wanaishi maisha ya kifahari badala ya kurudi Gaza ?
 
Hamas wanaangamia viongozi wao na familia zao wapo Qatar, huu ni uhuni.

Kwanini viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wapo Qatar wanaishi maisha ya kifahari badala ya kurudi Gaza ?
Kwanini viongozi wakuu wa israhell wanaishi tel aviv
Badala ya kwenda ghaza kupambana na wapigania uhuru wa hamas
 
Hii vita kama itaendelea zaidi ya miezi 4 mbele Hali itakuwa ngumu zaidi Kwa HAMAS na wapalestina Kwa ujumla
 
Hii vita kama itaendelea zaidi ya miezi 4 mbele Hali itakuwa ngumu zaidi Kwa HAMAS na wapalestina Kwa ujumla
Hata wakat inaanza mlisema ikifika mwezi hali itakua ngumu
Usilolijua tu nikwamba hali za wapalestine ni ngumu sana tokea pale mwaka 1948 mazayuni walipowavamia nawakawapora ardhi zao
Hamas kamatieni hapo hapo
 
Hamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.

Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.

Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.


View attachment 2842501
Halafu hayo Hamas yote ni vibamia na yana utapiamlo
 
Hamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.

Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.

Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.


View attachment 2842501
Acheni porojo sisi tunataka kuwaona mateka waliyookolewa hizi za kutesa raia kuita hamas
 
Hamas mashoga yameanza kuchanganyikiwa piga piga mungu awabariki
 
Kwanini viongozi wakuu wa israhell wanaishi tel aviv
Badala ya kwenda ghaza kupambana na wapigania uhuru wa hamas
Ishu ni viongozi wa kuwa mbali na nchi zao, kupigana vitani ni kazi ya wanajeshi.

Viongozi wa wa Israel wapo Tel Aviv hawajakimbia Israel,
Viongozi wa Tanzania hawatukimbia wakati wa vita, vitani walienda jwtz.
Viongozi wa Ukraine hwajakimbia, vita wanapigana wanajeshi, wao wanaongoza nchi.

Shida inakuja hao viongozi wa Hamas wapo nje ya Palestina wanaishi Qatar, nchi za mbali mno,
 
Back
Top Bottom