Mara zote nasema na nasema tena .Endeleeni kujidanganya kuwa lengo kuu la wayahudi ni kuokoa mateka! Mtastuka kumepambazuka.
Yaani kusoma msijue na picha bado msione?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Imani inaua ufahamu, maarifa , haimpi aliyeamini nafasi ya kufikiri, japo kwa sec tu