Pumzi inakata na hakuna mapumziko: Magaidi wengi zaidi wa Hamas wanaendelea kujisalimisha kunusuru uhai wao

Pumzi inakata na hakuna mapumziko: Magaidi wengi zaidi wa Hamas wanaendelea kujisalimisha kunusuru uhai wao

Utajiri wake wewe wa nini au unataka uolewe viongozi wa Hamas wote matajiri mabasha zenu wameshindwa vita wanahoji utajiri Qatar ndiyo anatoa pesa hizo wewe upo Kimara bucha unaumia.
Haniyeh anafanya biashara gani mpaka awe billionaire?
Hana biashara yoyote ile, badala yake anatumia vilaza wake anawapampu akili za makaratasi kichwani wanaenda kuua Wayahudi kisha anawaelekeza wanarudi Gaza kujificha kwenye mashule na hospitalini. Baada ya hapo Israel inakuja kuwabomoa humo walipojificha kisha Haniyeh anatangazia umma wa Waislamu duniani watoe sadaqah ili kumcha Mungu. Then anakomba sehemu ya sadaka na kujijengea mahekalu na kula bata uko Qatar. Anaishi kama CEO wa multilateral company kumbe ni mkuu wa vijana wanaoishi kama panyabuku. Viongozi waandamizi wa Hamas ni matajiri wakubwa wakiwa bila biashara yoyote.
 
Haniyeh anafanya biashara gani mpaka awe billionaire?
Hana biashara yoyote ile, badala yake anatumia vilaza wake anawapampu akili za makaratasi kichwani wanaenda kuua Wayahudi kisha anawaelekeza wanarudi Gaza kujificha kwenye mashule na hospitalini. Baada ya hapo Israel inakuja kuwabomoa humo walipojificha kisha Haniyeh anatangazia umma wa Waislamu duniani watoe sadaqah ili kumcha Mungu. Then anakomba sehemu ya sadaka na kujijengea mahekalu na kula bata uko Qatar. Anaishi kama CEO wa multilateral company kumbe ni mkuu wa vijana wanaoishi kama panyabuku. Viongozi waandamizi wa Hamas ni matajiri wakubwa wakiwa bila biashara yoyote.
Hizo propaganda zimeishapitwa ni wajinga wajinga tu ndiyo wanameza kama nyie ngoja nikupe darsa kiduchu wewe na wenzako
Haniyeh alizaliwa katika uwanja wa vita katika kambi ya wakimbizi ya Al-Shati katika Ukanda wa Gaza mwaka wa 1962. Toka akiwa mdogo anapambana na Magaidi wa Israel waliochukua ardhi yao wewe huwezi kujua umuhimu wake wewe unajua umuhimu wa Mbowe umuhimu wake wanaujua raia wa Palestina huyu mwamba alisoma katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Gaza, ambapo alijihusisha kwa mara ya kwanza na Hamas, na kuhitimu shahada ya kwanza katika fasihi ya Kiarabu katika. 1987. Aliteuliwa kuongoza ofisi ya Hamas mwaka 1997, tangu wakati huo amekua katika safu ya Hamas. Nyie mnadhani Hamas ya ni mtu mmoja Hamas ni ideology anakufa mtu anaingia mtu.

Haniyeh alikuwa mkuu wa orodha ya Hamas ambayo ilishinda uchaguzi wa wabunge wa Palestina wa 2006, na hivyo kuwa Waziri Mkuu wa Jimbo la Palestina. Rais Mahmoud Abbas alimfukuza Haniyeh madarakani tarehe 14 Juni 2007 wakati mzozo wa Fatah-Hamas ulipokuwa mkubwa, lakini Haniyeh hakukubali amri hiyo na aliendelea kutumia mamlaka ya uwaziri mkuu katika Ukanda wa Gaza.

Prime Minister of Israel Benjamin Netanyahu has a net worth of $80 million. Netanyahu's wealth has grown by 400% annually making him one of the richest prime ministers in the world. Born in Tel Aviv to secular Jewish parents, Netanyahu was raised both in Jerusalem, and for a time in Philadelphia, in the United States.

Wewe na wenzako mnaliishwa propanganda mmeishawahi kuambiwa utajiri wa Netatanyahu?

Wewe unaouliza Haniyeh anafanya kazi gani vipi Netanyahu anafanya kazi gani mpaka kawa tajiri mkubwa hivyo?

Nipo nimejibanza sehemu nasubiri majibu
 
Haniyeh anafanya biashara gani mpaka awe billionaire?
Hana biashara yoyote ile, badala yake anatumia vilaza wake anawapampu akili za makaratasi kichwani wanaenda kuua Wayahudi kisha anawaelekeza wanarudi Gaza kujificha kwenye mashule na hospitalini. Baada ya hapo Israel inakuja kuwabomoa humo walipojificha kisha Haniyeh anatangazia umma wa Waislamu duniani watoe sadaqah ili kumcha Mungu. Then anakomba sehemu ya sadaka na kujijengea mahekalu na kula bata uko Qatar. Anaishi kama CEO wa multilateral company kumbe ni mkuu wa vijana wanaoishi kama panyabuku. Viongozi waandi wa Hamas ni matajiri wakubwa wakiwa bila biashara yoyote.
Aliye sema kuwa elimu ya Tz ni takataka anatakiwa apewe tuzo kwahiyo unataka kuniambia kuwa hujui kuwa Haniyeh ndo msimamizi mkuu wa shughuli za kiuchumi na kisiasa za Hamas hivyo hizo mali sio zake bali ni za Hamas ,?mali nyingi za Hamas zimeandikwa kwa majina ya watu binafisi ili kukwepa vikwazo na mali zao kushikiliwa na nchi za Magharibi kwasababu nchi za Magharibi zinalitambua kama kundi la kigaidi.
Mbona huongoelei watoto wa Netanyau 2 walio rekodiwa wiki iliyo pita wakiwa bichi wakila bata na Malaya huko Marekani wakati watoto wa waisrael wengine wapo wanafia na kutiwa vilema huko gaza?

Alafu taifa teule linazidi kutushangaza na mshangao mwenyewe ni wapiganaji kujisalimisha huku wakiwa na bunduki tena zenye magazine ya risasi 😀😀😀😀
 
Yes, wajinga wasiojibu hoja badala yake wanatafuta engo ya kujificha.

Hoja ipi haikujibiwa hapo? Ni ujinga uliopitiliza kujifanya mjuaji na tena mwenye akili zaidi kuliko wenye pesa zao na hata kudhani eti wewe wajua kuzipangia vizuri zaidi kuliko wao.

Wewe huoni hivyo?
 
Hamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.

Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.

Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.


View attachment 2842501
Israel kila wakipika propaganda lazima wakosee kitu. Ktk hao wnaodai ni Hamas wamejisalimisha imejulikana ni uongo baada ya kujumuishwa mkurugenzi wa hospital na dakitari
 
Ishu ni viongozi wa kuwa mbali na nchi zao, kupigana vitani ni kazi ya wanajeshi.

Viongozi wa wa Israel wapo Tel Aviv hawajakimbia Israel,
Viongozi wa Tanzania hawatukimbia wakati wa vita, vitani walienda jwtz.
Viongozi wa Ukraine hwajakimbia, vita wanapigana wanajeshi, wao wanaongoza nchi.

Shida inakuja hao viongozi wa Hamas wapo nje ya Palestina wanaishi Qatar, nchi za mbali mno,
Kilaza kama hujui kitu huliza na kuuliza sio ujinga. Hao viongozi wa Hams kwenda kuishi Doha yalikuwa makubaliano ya kamati ya ushuruhishi amabyo pia iliwashirikisha USA na Israel ili kurahishisha mawasiliano kati ya pande mbili na hawakwenda kuishi huko wakati wa vita. Ni miaka mingi sasa wanaishi huko
 
Back
Top Bottom