TANZIA Pumzika kwa amani Lt. Gen Benjamini Msuya

TANZIA Pumzika kwa amani Lt. Gen Benjamini Msuya

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,120
Reaction score
24,667
Hatimae yametimia! Apumzike kwa amani! Huyu ni Lt General Benjamini Msuya! Alikuwa kinara wakati wa vita ya Kagera!

Aliongoza utekaji wa Jiji la kampala na kuwa Meya wa Kampala, na pia kama Rais wa Uganda kwa muda wa siku tatu akiwa na cheo cha Lt. kanali!

Ni miongoni mwa watu ambao Taifa litawaenzi daima na milele! Aliwahi kuugua kipindi flani katika maisha yake hadi tukadhani amekufa lakini kwa miujuza akapona!! Hatimae sasa ameondoka…..!!!!

[emoji24][emoji24][emoji24]Akapumzike kwa amani!

Atapumzishwa kwao Ugweno!!!

Jina la Bwana lihimidiwe!

IMG_4520.jpg
 
Amina, ungetupiamo na kapicha..

Sorry mtoa mada hii ni dharura.
HIMARS simu hupokei, kuku wako wapo nje tangu saa 12 hapa, unalewa ulanzi utakupeleka wapi mtoto mdogo? Na leo ukilala kwenye karavati tena hatukutoi ubebwe na fisi au maji, tumechoka.

Tuendelee..
R.I.P Generali, Badala Historia izungumzie Watu kama hawa, Tunaletewa habari za Zinjatropas na Binadamu alikua Sokwe, Magu kafa na Mawazo yake ya Historia ya Nchi yetu.
 
Huyu niliona kwenye tv anavyoeleza jinsi vita ya kagera ilivyokuwa kwa kweli tumepoteza mzalendo na shujaa kwelikweli. Anasema ukimuona mchunga ng'ombe katikati ya uwanja wa medani ua huyo ni askari anafanya ukachero. Pia alieleza jinsi ndege zetu zilivyokuwa zinashambulia usiku, mizinga ya BM 21 ilivyokinukisha mpaka idd amini akatimua mbio
 
Huyu niliona kwenye tv anavyoeleza jinsi vita ya kagera ilivyokuwa kwa kweli tumepoteza mzalendo na shujaa kwelikweli. Anasema ukimuona mchunga ng'ombe katikati ya uwanja wa medani ua huyo ni askari anafanya ukachero. Pia alieleza jinsi ndege zetu zilivyokuwa zinashambulia usiku, mizinga ya BM 21 ilivyokinukisha mpaka idd amini akatimua mbio
Burundi walivyoleta fyokofyoko hawaji.kumsahau huyo

Jeuri yote ya Burundi dhidi ya Tanzania ndie aliizima. Huyo

Alikuwa Mwanajeshi wa Ukweli sio maghumashi
 
Hatimae yametimia! Apumzike kwa amani! Huyu ni Lt General Benjamini Msuya! Alikuwa kinara wakati wa vita ya Kagera!

Aliongoza utekaji wa Jiji la kampala na kuwa Meya wa Kampala, na pia kama Rais wa Uganda kwa muda wa siku tatu akiwa na cheo cha Lt. kanali!

Ni miongoni mwa watu ambao Taifa litawaenzi daima na milele! Aliwahi kuugua kipindi flani katika maisha yake hadi tukadhani amekufa lakini kwa miujuza akapona!! Hatimae sasa ameondoka…..!!!!

[emoji24][emoji24][emoji24]Akapumzike kwa amani!

Atapumzishwa kwao Ugweno!!!

Jina la Bwana lihimidiwe!

View attachment 2768898
Hivi vita ya Uganda imetusaidia nini kama nchi zaidi ya kutuzidishia Umaskini tu
 
Hivi vita ya Uganda imetusaidia nini kama nchi zaidi ya kutuzidishia Umaskini tu
Tumeiheshimisha na kuilinda Tanzania yetu

Si ajabu leo kusingekuwa na nchi Tanzania km tungezembea ujinga wa idd amin km aliingia bukoba na kuitangaza kuwa sio sehemu ya tz na wazee wetu wangemchekea, unadhani leo kungekuwa na ramani nzuri ya kuvutia ya nchi yetu ya Tanzania?
Viva Tanzania vivaaa!
 
Mashujaa wetu hatujawahi kuwaenzi ipasavyo.

Historia shuleni inamtukuza mwingereza na mjerumani

Kweli kabisa, huyu mtu ni miongoni mwa watu ambao tulipaswa kuwaenzi ipasavyo, binafsi mimi namfahamu vyema!
Huyu mtu kwa namna alivyolitumikia taifa alipaswa kuenziwa mno!
 
Burundi walivyoleta fyokofyoko hawaji.kumsahau huyo

Jeuri yote ya Burundi dhidi ya Tanzania ndie aliizima. Huyo

Alikuwa Mwanajeshi wa Ukweli sio maghumashi
Leta madini, ilikuaje.

Hata kama vitabu mashuleni havitoandika basi JF itunze rekodi

RIP Master.
 
Back
Top Bottom