TANZIA Pumzika kwa amani Said Makilagi, mfanyabiashara mkubwa wa nafaka na mmiliki wa Musoma Food

Yani unakua tajiri halafu unaacha vitoto viwili tu na mjane mmoja? HII NI MAAJABU! Huenda Marehemu alikua muoga sana wa maisha!
 
Ni ipi tarehe sahihi ya kuzaliwa kwake kati ya 1.6.1967 uliyoandika na 1.6.1970 iliyoandikwa kwenye hilo bango hapo msibani?
 
Pia ni supplier unga kwa kampuni ya bia serengeti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…