Pumzika kwa amani TAKEOFF

Pumzika kwa amani TAKEOFF

Mkuu itafute jane na danger zipo kwenye CULTURE 111..mwamba anaflow sana
 
Nakumbuka wakati Ngwair amekufa nyimbo zake ziligongwa sana kwenye vyombo vya habari,Mzee wangu akaniuliza "huyu msanii gani mbona amekufa ndio anakuwa maarufu?" nikamwambia Mzee huyu mtu maarufu kitambo sana,sema haya sio mambo yako. Huyu mwana mnamjadili hapa ndio namsikia leo,alafu naona maneno hata sielewi mara TAKE OFF,Mara MIGOS mara KIRSHINK. Inawezekana yule demu alonichana leo mimi wa kijijini hakukosea....RIP MWAMBA.
 
Nakumbuka wakati Ngwair amekufa nyimbo zake ziligongwa sana kwenye vyombo vya habari,Mzee wangu akaniuliza "huyu msanii gani mbona amekufa ndio anakuwa maarufu?" nikamwambia Mzee huyu mtu maarufu kitambo sana,sema haya sio mambo yako. Huyu mwana mnamjadili hapa ndio namsikia leo,alafu naona maneno hata sielewi mara TAKE OFF,Mara MIGOS mara KIRSHINK. Inawezekana yule demu alonichana leo mimi wa kijijini hakukosea....RIP MWAMBA.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom