Punguza mafuta mwilini kwa siku 28

Mbona mimi nimekata ila imenigomea. Nimeacha kula 3 meals kwa siku nakula Mara moja saa kumi na moja au kumi na mbili. Nakunywa maji not less than 2litres ila sipungui. Beer zenyewe nakunywa Friday tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Anza kula matunda kwa wingi tofauti kila siku na "salad" ya aina mbalimbali.

Kwa mfano waweza kula salad yenye samaki, siku ingine salmon na siku ingine kuku wa kubanika (sio wa kukaanga).

Punguza nyama na vyakula vya ngano na vile vya wanga kama viazi au chips.

Kunywa maji mengi kila baada ya mlo ili kupunguza kutamani kula zaidi.

Piga zoezi la kutembea au kukimbia dakika 30 mara tatu au nne kwa wiki zatosha.

Anzisha klabu ya akina dada mfanye kwa pamija itasaidia kukuweka kwente "right-track".
 
Nitajitahidi kufuata haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
brother chukua like hiyo, wewe ni complete genius, siyo half genious, umejibu kitaalamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni njia nzuri sina pingamizi.... Kuacha kitu ghafla inaleta shida ni heri kuounguza kama mdau hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mimi nimekata ila imenigomea. Nimeacha kula 3 meals kwa siku nakula Mara moja saa kumi na moja au kumi na mbili. Nakunywa maji not less than 2litres ila sipungui. Beer zenyewe nakunywa Friday tu.
Dont skip meals. Kula kidoogo all meals ili kuudanganya mwili you are not starving na kufanya metabolism process iendelee kama kawaida
 
Unaweza kudownload kutoka kwenye health app nyingi tu.Ukatumia kwenye simu kuhesabu hatua unazotembea kwa siku,wiki nk.
Au nunua smart watch
 
Hizi biochemistry za.kijinga hizi mlifundishwa.wapi? Na akina Dr. Ndodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…