Punguza mafuta mwilini kwa siku 28

Mkuu pia kama una muda jaribu kuogelea. Mimi ilinisaidia sana kupunguza uzito.Kuacha sukari kwenye chai,kuogelea na kupunguza kipimo cha chakula kimefanya nipungue kilo 10.
Imebidi ninunue suruali mpya na kupunguza za zamani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na Heineken. Mimi na wewe tutapungua kwa kudra za mwenyezi Mungu. Mimi ninavyopenda wali jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚mm jamanii sipungui mpaka kristo arudi Heineken,wali,kitimoto,nyama choma asubuuutuuu halafu nikiwa na stress ndio uuwwiii..kilo 800
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…