Kuhusu kodi.
Kodi ni msingi wa maendeleo. Kulipa kodi ni jambo la kizalendo.
Wafanyakazi wasililie kufutiwa kodi. Wafanyakazi walilie kuona kodi yao ikitumiwa kwa manufaa yaliyodhamiriwa.
Wale wasiolipa kodi wasiigwe. Wafanyakazi wasitake kusamehewa kama wanasiasa. Wafanyakazi wasisitize kuwa wanasiasa nao walipe kodi.
Kila mtu akikimbia kodi, uchumi utazorota.
WanaJF hata kama jukwaa hili la siasa sio mahali pake, naomba tujadili hapa suala hili maana wizi wa serikali kwa wafanyakazi wa nchi hii umekithiri. Mi naumia sana maana nilipokea barua ya kuongezewa mshahara kwa sh 490,000/-, lakini kodi iliyoongezeka kwenye mshahara wangu mpya ni 132,300/-. Ukizidisha na hesabu kwa asilimia hii ni 27% ya kodi kwa nyongeza hiyo ya mshahara, ina maana nimeongezewa mshahara kwa sh 357,700/- na si 490,000/-. Hawa wenyewe wakubwa hawalipi kodi, hata wabunge, na wanazidi kutunyonya tu. Wafanyabiashara hawalipi kodi kwa asilimia hiyo ya faida zao, na wanaweza kukwepa. Naomba tujadili na tupate njia ya kupambana na serikali hii inayotuibia wananchi wake bila aibu.
WanaJF hata kama jukwaa hili la siasa sio mahali pake, naomba tujadili hapa suala hili maana wizi wa serikali kwa wafanyakazi wa nchi hii umekithiri. Mi naumia sana maana nilipokea barua ya kuongezewa mshahara kwa sh 490,000/-, lakini kodi iliyoongezeka kwenye mshahara wangu mpya ni 132,300/-. Ukizidisha na hesabu kwa asilimia hii ni 27% ya kodi kwa nyongeza hiyo ya mshahara, ina maana nimeongezewa mshahara kwa sh 357,700/- na si 490,000/-. Hawa wenyewe wakubwa hawalipi kodi, hata wabunge, na wanazidi kutunyonya tu. Wafanyabiashara hawalipi kodi kwa asilimia hiyo ya faida zao, na wanaweza kukwepa. Naomba tujadili na tupate njia ya kupambana na serikali hii inayotuibia wananchi wake bila aibu.
Wabunge wanalipaje kodi kwenye mishahara yao
Unakata kodi kwenye mshahala arafu ukinunua redio wanakata.TV wanakata ,sukari supermarket wanakata. huu unyonyaji
Hivi wabunge wanalipwa mshahara? wamehajiriwa na nani? wanafanya kazi gani? Kazi hiyo inakidhi viwango vya kazi ambazo kipato chake kinakatwa kodi?
Kuhusu kodi.
Kodi ni msingi wa maendeleo. Kulipa kodi ni jambo la kizalendo.
Wafanyakazi wasililie kufutiwa kodi. Wafanyakazi walilie kuona kodi yao ikitumiwa kwa manufaa yaliyodhamiriwa.
Wale wasiolipa kodi wasiigwe. Wafanyakazi wasitake kusamehewa kama wanasiasa. Wafanyakazi wasisitize kuwa wanasiasa nao walipe kodi.
Kila mtu akikimbia kodi, uchumi utazorota.
Kuhusu kodi.
Kodi ni msingi wa maendeleo. Kulipa kodi ni jambo la kizalendo.
Wafanyakazi wasililie kufutiwa kodi. Wafanyakazi walilie kuona kodi yao ikitumiwa kwa manufaa yaliyodhamiriwa.
Wale wasiolipa kodi wasiigwe. Wafanyakazi wasitake kusamehewa kama wanasiasa. Wafanyakazi wasisitize kuwa wanasiasa nao walipe kodi.
Kila mtu akikimbia kodi, uchumi utazorota.
Kuhusu kodi.
Kodi ni msingi wa maendeleo. Kulipa kodi ni jambo la kizalendo.
Wafanyakazi wasililie kufutiwa kodi. Wafanyakazi walilie kuona kodi yao ikitumiwa kwa manufaa yaliyodhamiriwa.
Wale wasiolipa kodi wasiigwe. Wafanyakazi wasitake kusamehewa kama wanasiasa. Wafanyakazi wasisitize kuwa wanasiasa nao walipe kodi.
Kila mtu akikimbia kodi, uchumi utazorota.
PAYE maana yake nini?
Mimi hata pesa yangu ya likizo nakatwa kodi.
WanaJF hata kama jukwaa hili la siasa sio mahali pake, naomba tujadili hapa suala hili maana wizi wa serikali kwa wafanyakazi wa nchi hii umekithiri. Mi naumia sana maana nilipokea barua ya kuongezewa mshahara kwa sh 490,000/-, lakini kodi iliyoongezeka kwenye mshahara wangu mpya ni 132,300/-. Ukizidisha na hesabu kwa asilimia hii ni 27% ya kodi kwa nyongeza hiyo ya mshahara, ina maana nimeongezewa mshahara kwa sh 357,700/- na si 490,000/-. Hawa wenyewe wakubwa hawalipi kodi, hata wabunge, na wanazidi kutunyonya tu. Wafanyabiashara hawalipi kodi kwa asilimia hiyo ya faida zao, na wanaweza kukwepa. Naomba tujadili na tupate njia ya kupambana na serikali hii inayotuibia wananchi wake bila aibu.
Kuhusu kodi.
Kodi ni msingi wa maendeleo. Kulipa kodi ni jambo la kizalendo.
Wafanyakazi wasililie kufutiwa kodi. Wafanyakazi walilie kuona kodi yao ikitumiwa kwa manufaa yaliyodhamiriwa.
Wale wasiolipa kodi wasiigwe. Wafanyakazi wasitake kusamehewa kama wanasiasa. Wafanyakazi wasisitize kuwa wanasiasa nao walipe kodi.
Kila mtu akikimbia kodi, uchumi utazorota.
ZeMarcopolo usizungumze kinafiki kwa sababu unajua matuumizi mabaya ya kodi za Walalahoi zinavyotafunwa na wao ambao hata chembe ya pato lao halilipiwi kodi!.
ZeMarcopolo ningekuona wa maana kama ungeweka chembe za aibu pembeni na kuishinikiza viongozi wote wasiokatwa kodi kwenye mishahara yao waaanze kukatwa kodi ili pato la kodi liongezeke.
PAYE maana yake nini?
Mimi hata pesa yangu ya likizo nakatwa kodi.
wanajf hata kama jukwaa hili la siasa sio mahali pake, naomba tujadili hapa suala hili maana wizi wa serikali kwa wafanyakazi wa nchi hii umekithiri. Mi naumia sana maana nilipokea barua ya kuongezewa mshahara kwa sh 490,000/-, lakini kodi iliyoongezeka kwenye mshahara wangu mpya ni 132,300/-. Ukizidisha na hesabu kwa asilimia hii ni 27% ya kodi kwa nyongeza hiyo ya mshahara, ina maana nimeongezewa mshahara kwa sh 357,700/- na si 490,000/-. Hawa wenyewe wakubwa hawalipi kodi, hata wabunge, na wanazidi kutunyonya tu. Wafanyabiashara hawalipi kodi kwa asilimia hiyo ya faida zao, na wanaweza kukwepa. Naomba tujadili na tupate njia ya kupambana na serikali hii inayotuibia wananchi wake bila aibu.
WanaJF hata kama jukwaa hili la siasa sio mahali pake, naomba tujadili hapa suala hili maana wizi wa serikali kwa wafanyakazi wa nchi hii umekithiri. Mi naumia sana maana nilipokea barua ya kuongezewa mshahara kwa sh 490,000/-, lakini kodi iliyoongezeka kwenye mshahara wangu mpya ni 132,300/-. Ukizidisha na hesabu kwa asilimia hii ni 27% ya kodi kwa nyongeza hiyo ya mshahara, ina maana nimeongezewa mshahara kwa sh 357,700/- na si 490,000/-. Hawa wenyewe wakubwa hawalipi kodi, hata wabunge, na wanazidi kutunyonya tu. Wafanyabiashara hawalipi kodi kwa asilimia hiyo ya faida zao, na wanaweza kukwepa. Naomba tujadili na tupate njia ya kupambana na serikali hii inayotuibia wananchi wake bila aibu.