TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
Kuhusu kodi.
Kodi ni msingi wa maendeleo. Kulipa kodi ni jambo la kizalendo.
Wafanyakazi wasililie kufutiwa kodi. Wafanyakazi walilie kuona kodi yao ikitumiwa kwa manufaa yaliyodhamiriwa.
Wale wasiolipa kodi wasiigwe. Wafanyakazi wasitake kusamehewa kama wanasiasa. Wafanyakazi wasisitize kuwa wanasiasa nao walipe kodi.
Kila mtu akikimbia kodi, uchumi utazorota.
Wabunge wanalipaje kodi kwenye mishahara yao