Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

Workers of bongolalaland unite!you have got nothing to loose except the chains of exploitaton!
 
akiitisha mgomo utam-support au ndo ule woga wa mtanzania unaoambatana na "fikra za hayanihusu!" Mgomo wa Barrick Gold ulitufundisha hulka ya Mtanzania kwamba ni mwoga! Pia mgomo wa madaktari Muhimbili, Mwambepande tu iliwanyamazisha! Usiwatupie lawama viongozi tu, jiulize kama upo tayari kwa mkong'oto kutokaa wenye nchi?

Walimu wanaendesha mgomo baridi serikali iendelee kuongeza madaraja ya ufaulu ili kuwafurahisha wapigakura mazuzu mwaka huu kulikuwa na division five mwakani kwa sababu ya uchaguzi kutakuwa na division seven yataongezeka madaraja mawili mfululizo
 
Akili yako ni fupi sana. Unajua hiyo 1000 iliwafanya watu waende mahakamani kupinga #simcard tax. Kwa jumla ya PAYE xote ni pesa nyingi.
 
Jamani, nasema hivi; muacheni mwenzenu na kucha zake na meno!
 
Hapo wamepinhuza mia nsne kwa sanabu buku watsichukua kwemye sim card tax
 
Kaachonjo

Hoja ni kwamba lengo la kupunguza PAYE ni kumpunguzia mfanyakazi mzigo, je ni mzigo gani unapunguzwa ku kuongezeka sh 1900 kwenye mshahara wa mtanzania yeyote yule ?

Busara ingekuwa kutopunguza , kwa maana 1900 mara lundo la wafanyakazi mfano 1000,000 ni 1.9 billion hizi zingetosha kununua vitanda kadhaa kwenye wodi za wazazi na kuondoa adha yavkuwalaza akina mama wanaojifungua chini!

Huu ni uamuzi wa kisiasa lengo ni kutekeleza ahadi ya JK kwa kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa .wala hakuna busara iliyotumika hapo
 
Mweeeeeee ndio punguzo lenyewe la kodi..?acha niendelee kuwachangia,vipi bia wameongeza kodi maana huko ndio kunatupatia faraja(mimi binafsi).
 
Hivi hakuna watu wenye akili ya kutuongoza watanganyika?hakuna anayeweza kuona tofauti ya bia na madini?kati ya sigara na gasi?kati ya soda na utalii?
 
Kaachonjo

Hoja ni kwamba lengo la kupunguza PAYE ni kumpunguzia mfanyakazi mzigo, je ni mzigo gani unapunguzwa ku kuongezeka sh 1900 kwenye mshahara wa mtanzania yeyote yule ?

Busara ingekuwa kutopunguza , kwa maana 1900 mara lundo la wafanyakazi mfano 1000,000 ni 1.9 billion hizi zingetosha kununua vitanda kadhaa kwenye wodi za wazazi na kuondoa adha yavkuwalaza akina mama wanaojifungua chini!

Huu ni uamuzi wa kisiasa lengo ni kutekeleza ahadi ya JK kwa kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa .wala hakuna busara iliyotumika hapo

Tena hakuna hata siku moja hii serikali ya magamba watafanya jambo lolote ambalo ni muhimu kwa watanzania,hiyo simcard tax walisema ni kwa ajili ya kusambaza umeme vijijini,huo ni uongo mkubwa,ccm hii hawawezi hata siku moja zaidi ya kujineemesha wenyewe,wapi tayari kutumua pesa nyingi kwa anasa kama sherehe na mambo mengine yasiyokuwa na tija kwa wananchi,kikubwa wanachofanya ni kujiongezea posho za vikao na safari huku wananchi wakizidi kuishi maisha ya kubahatisha wakitegemea tu kudra za mwenyezi Mungu.na ife ccm na serikali yake
 
Nimekuwa nikitafakari kuhusu asilimia zinazo tajwa na serikali kuhusu makato ya kodi za wafanyakazi yaani PAYE.
Kwa mfano kwasasa wanadai ni 13% ambayo sio kweli? kama kunamtu anakatwa 13% atuthibitishie hapa!.ukiingia kwenye website ya TRA nenda kwenye calculator and tools utakuta calculator ya paye kwa tanzania bara na kwa zanzibar hapo unaweza kukokotoa PAYE yako.Nilichogundua ni kuwa kadri mshahara wako unavyo kuwa mkubwa na asilimia ya PAYE inaongezeka. kwa mfano mtu anayelipwa m3 yeye atalipa 26% na anayelipwa m1 atalipa 18.28% .Kwakuwa najua hesabu vizuri nimeona nitoe dukuduku langu. hiyo 13 wanayosema sio kweli hawakati hiyo
link ya TRA hiihapa
Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools - http://www.tra.go.tz/index.php/calculators-tools
NB😛AYE inakokotolewa baada ya kuondoa makato ya pensheni na bima ya afya
 
Akili yako ni fupi sana. Unajua hiyo 1000 iliwafanya watu waende mahakamani kupinga #simcard tax. Kwa jumla ya PAYE xote ni pesa nyingi.

We unaonekana unafanya kazi kwenye hizo ofisi za mapato.
Mna matumbo ya rushwa!

Hio buku na kidogo ndo nini kwa mwananchi!
Mtu mwenye mshahara wa 360,000 hata akidondosha buku mbili wala hajilaumu!

Siku tukizibiti hizo rushwa mnazokula ndio mtafahamu hio buku mbili kasoro haina mpango!
 
Yaani kilo moja ya sukari? Huyo mkwelee anapenda sana utani!
 
Hii itakufanya uwe na hasira bure, viongozi na wanachi hawataki mabadiliko ya kiuchumi, siasa na ya kijamii, mana mambo yanayozoofesha uchumi na mipango yao ya kuinua uchumi ni yale yale kila mwaka hakuna jipya, wananchi kwa kuwa mnaipenda sana chama chenu hamtaki mabadiliko ya kusiasa hayo ndo matokeo, chama mmekiweka madarakani nyinyi kelele za nini? Vumilieni tu mbona na hiyo 1900
 
Tanzania bila utani kama huu wa kijinga jinga inawezekana
 
Hili ni changa la macho hakunaga dunia nzima serikali inayowafanya wafanyakazi mafa@@@@@
 
Back
Top Bottom