Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
ni wakati wa kushinikiza ili tupatiwe ufafanuzi wa kodi tunazolipa.isije ikawa tunalipa kodi mara mbili au zaidi katika suala moja yaani umeme!
Amini usiamini, kodi nyingi tulizipazo hazina tija kwetu kwani zinakuwa ni kwa ajili yao viongozi. Yaani ni vilivyopangwa tayari. Jaribu kujiuliza tunalipa kodi lakini bado hakuna maendeleo yeyote au hata kuonyesha tu kuwa kuna kinachofanyika katika kuleta hayo maendeleo.