Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi pia nashindwa kuelewa.hv tanzania kuna wafanyakaz wangapi 2naolipwa poorly? 2jifunge mkanda,hakuna kupofuka,2naona saizi.changes are innevitable.2015,ccm,hawanawchao.Wana JF,
Kuna mambo ya Kushangaza sana, eti kodi imepungua kwenye Mshahara kwa TSH. 2000/= kwa Mfanyakati. Eti kuna watu wanakaa asubuhi hadi jioni ohh Serikali imepunguza kodi kwenye Mishahara ya wafanyakazi hivi kweli? Waziri anasimama kabisa bungeni kutangaza punguzo la shilingi elfu mbili? Rais anakwenda kwenye sherehe ya wafanyakazi na kutangaza kwa mbwembwe zote eti kapunguza kodi kumbe ni SH elfu mbila hana hata aibu.
Just imagine wamepandinsha kodi kwenye mafuta na sasa kila kitu kimepanda kwa kati ya TSH 100/= na 200/= huku ukipunguza kodi kwa Tsh BK 2.
Hii inatia aibu kwa CCM. Wafanyakazi amkeni CCM haitujali kabisa.
Binafsi sioni tatizo hapa, kwani kama ilivyoada ya wafanyakazi pamoja na vyama vya wafanyakazi huwa wanajipendekeza kwa serikali. Sasa kama mtu unajipendekeza kwake acha akupe za uso kavu kavu. Binafsi ningependa wafanyakazi wazidi kunyonywa na kupandishia kodi kubwa ili wajitambue na waamke kupigania haki zao.
Eti kila sherehe za mei mosi wanamualika rais akapige politiksi. Hata ningekuwa mimi kama mijitu inajipendekeza yenyewe na mimi na ichinjia baharini tu kwani si ni waoga hawawezi nifanya kitu. Tena hakuna watu majuha na majununi kama wafanyakazi na vyama vyao. Ni heri hata kungekuwa hakuna mambo ya vyama vya wafanyakazi kwani hivi vyama vipo tu kama miamvuli ya kufichia maovu ya serikali.
Chukueni hatua la sivyo mtabaki tu kama vifaranga vya kuku mkisubiri kunyonya hadi mtakapo gundua kumbe mwafanyiwa usanii kweupe mchana. Kuna haja gani ya kujipendekeza kumualika rais wa jamuhuri ya muungano awe mgeni rasmi? Hivi mnafikiri atasema nini zaidi ya kuwadanganya tu na kupiga siasa na fiksi nyingi? Hebu jaribuni ikifika siku ya wafanyakazi basi mkusanyike na kujadili dhuluma mnazofanyiwa. Fanyeni makongamano kila mwaka katika kuadhimisha sikukuu ya wafanyakazi. Alikeni wanaharakati, wanasiasa, na wadau wengine wengi katika hilo kongamano. Ikosoeni serikali mchana kweupe na pia muipe mapendekezo yenu mnayoona yataboresha maslahi yenu. Na kama hamuwezi basi ni bora mkanyamaza kulalamika kwani tumechoka kuwasikia kila mwaka na malalamiko haya haya.
Mwisho kabisa napenda kuchukua fursa hii kuwatakia pole kwa maumivu mnayopata kwa kodi zitozwao katika mishahara yenu. Lakini niwaache na usemi usemao kuwa wajinga ndio waliwao.
Kasungura ni kadogo itabidi tushirikiane hivyo hivyo. Tufanye kazi kwa bidii zaidi ili pato la taifa liongezeke.
Za siku faizaMbona humalizii hiyo 2,000 kutoka kodi ya shillingi ngapi?
Mbona humalizii hiyo 2,000 kutoka kodi ya shillingi ngapi?
Mbona humalizii hiyo 2,000 kutoka kodi ya shillingi ngapi?
Wana JF,
Kuna mambo ya Kushangaza sana, eti kodi imepungua kwenye Mshahara kwa TSH. 2000/= kwa Mfanyakati. Eti kuna watu wanakaa asubuhi hadi jioni ohh Serikali imepunguza kodi kwenye Mishahara ya wafanyakazi hivi kweli? Waziri anasimama kabisa bungeni kutangaza punguzo la shilingi elfu mbili? Rais anakwenda kwenye sherehe ya wafanyakazi na kutangaza kwa mbwembwe zote eti kapunguza kodi kumbe ni SH elfu mbila hana hata aibu.
Just imagine wamepandinsha kodi kwenye mafuta na sasa kila kitu kimepanda kwa kati ya TSH 100/= na 200/= huku ukipunguza kodi kwa Tsh BK 2.
Hii inatia aibu kwa CCM. Wafanyakazi amkeni CCM haitujali kabisa.
Wana JF,
Kuna mambo ya Kushangaza sana, eti kodi imepungua kwenye Mshahara kwa TSH. 2000/= kwa Mfanyakati. Eti kuna watu wanakaa asubuhi hadi jioni ohh Serikali imepunguza kodi kwenye Mishahara ya wafanyakazi hivi kweli? Waziri anasimama kabisa bungeni kutangaza punguzo la shilingi elfu mbili? Rais anakwenda kwenye sherehe ya wafanyakazi na kutangaza kwa mbwembwe zote eti kapunguza kodi kumbe ni SH elfu mbila hana hata aibu.
Just imagine wamepandinsha kodi kwenye mafuta na sasa kila kitu kimepanda kwa kati ya TSH 100/= na 200/= huku ukipunguza kodi kwa Tsh BK 2.
Hii inatia aibu kwa CCM. Wafanyakazi amkeni CCM haitujali kabisa.
Utakufa bure na presha ccm ni janga la taifa,fanya mambo yako tu
Mkuu FaizaFoxy,
Nachojaribu kusema ni kwamba serikali ilisema makato ya kodi yamepungua kutoka 14% hadi 13%, tulitegema tungeona effect kwenye mishahara lakini chakushangaza ndiyo hiyo bk 2 imeongezeka.
Tunataka kujua kodi kwenye mishahara imepungua kwa asilimia ngapi?
Kusema buku bee haieleweki vizuri
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums