Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kuna watu wanaharibu uzi wangu....nawazoom tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakufukuzia ndege wako wakati wameshakaa kwenye target.Kuna watu wanaharibu uzi wangu....nawazoom tu
🤣🤣🤣🤣Muuza simu vipi simu ya kununua kwa mtu uliipata?View attachment 2119836
Inaitwa Rara Nikurenge!!Nimeona Zanzibar nikajua apa Kuna mtego.
Mkuu nitumie imei namba nataka hii simu..!Wahi sasa ujipatie ofa kabambe...
Infinix hot 10
Ram 4
Memory 32
Location zanzibar
Mikoa yote tunatuma kwa gharama zako
karibuni
View attachment 2119717
jamaa kumbe tapeli aisee unauza simu huku nawewe unaeleza simu yakununuaMuuza simu vipi simu ya kununua kwa mtu uliipata?View attachment 2119836
HelloHapa hapa
Kwamba unataka kulamba Infinix Hot 10 kutoka kwa mwamba mshana jrHello
Zabron acha umbea muone[emoji4]Kwamba unataka kulamba Infinix Hot 10 kutoka kwa mwamba mshana jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zabron acha umbea muone[emoji4]
Nawe pia mprndwa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakutakia siku njema yenye afya kipenzi chetu Cha jf
Ukiipata simu njoo nikuchajie bure kabisaNawe pia mprndwa..
Uwe nà siku njema[emoji4][emoji120]