Punyeto imenimaliza

Punyeto imenimaliza

Habar ndugu zangu nimepiga punyeto kwa mda mrefu Sana nilianza 2009 Kama utani ilipofka2013 ndio nikaaza kuona madhara makubwa mwili ukazofuu Sana alafu nkawa mzito kuelewa Yan nakua Kama zoba fulan mail masaa yote umechoka n nikawa napenda kulala tu Yan mpaka saiv Hali n mbaya Nina miaka 29 lakn nko Kama mzee wa miaka 70 Yan uwezo wa kujiamin kujichaganya na watu Sina nishakua mtu wa kushinda nyumban tu kwa wazazi nataman kuwa na mpenzi anisaidie kuacha lakn kwa bahati mbaya sio wa kukubali kua na Mimi inaniumiza Sana madhara makubwa niliyopata 1 nimewahi kuzeeka 2nishaharibu mishipa ya fahamu nimekua mtu wa kujitenga na jamiii Yan nko Kama mtu mwenye ugonjwa wa usoji najua umu Kuna watu tofaut tofaut Kama Kuna mtu ambae atakua tiar kunisaidia ata kwakunikutanisha na watalamu Mimi nipo tiar mateso nayopitia n makubwa Sana apa nilipo Sina uwezo wa kuongea na mtu nkaelewa Yan mishipa ya fahamu haiko vizur Kama imeleta tatzo adi kwenye usikivu wa masikio n hvo tu
Chai
 
Name anything inayofanya dopamine drive kuwa juu ukitoa drugs , hakuna inayozidi PMO. Hizi blah blah za natural, nyenyenye, wewe kumbuka ni mammal but your brain is wired differently. Elewa. Never advocate for this my friend. Amini kuna watu huwaelewi maisha yao yanayoenda, wana akili, wana kazi lakini wapo erratic huelewi kwanini wapo kama walivyo. Kumbe wana siri, wapo overwhelmed na masturbation sema ndo wanaanzaje kusema wakati ni tabia ya siri na ya aibu?
hakuna.

ukiwa addicted na nyeto ujue una stress, trauma unajaribu ku-escape

nyeto ni asili, soma comments watu wanapiga nyeto na hawaoni shida
 
Punyeto ndiyo ina madhara lakini naona kama vile una matatizo mengine ambayo yanakupasa uende hospitalini.

Tafuta wanasaikolojia wazuri ukapate ushauri nasaha na uchunguzi wa kitaalamu. Nahisi kama vile pengine una upungufu wa madini na vitamins mwilini.

Pole mkuu utakuwa OK [emoji1545][emoji1545][emoji1545]

View attachment 2688636
kWisha habari yangu 🤕
yote hayo ninayo
ss mtaaram kuna dawa kurudi km zaman?
 
Madhara makuu ya punyeto ni uume kukosa nguvu unapokutana na mwanamke na kupoteza kumbukumbu. Hayo mengine ya hadi kushindwa ku-save pesa ni ya kwako binafsi. Walokole mnapitiliza kwa kuweka mambo ya kiroho kwenye kila kitu. Kuisingizia punyeto hadi kwenye ishu za pesa sio sawa.
Hahhhh
 
Punyeto ina madhara makubwa sana. Achana na hawa watu wa mitandaoni watakupotosha ni suala la muda na wao watakuja kulia. Hiyo kutokujiamini ipo sana, sasa kuna spiritual effects hizo ni mbaya zaidi. Kuna demons wanajiattach kwako kila unapopiga, unapata negative energy, na unavyozidi kupiga unazidi kuzama. Una attract mikosi na bahati mbaya, utachukiwa bila sababu kwa kuangaliwa tu. Sababu kuna nuru unaikosa ukiwa unapiga sana punyeto. Weka dhamira, mshiriishe Mungu. Acha kabisa kuangalia porn au picha mbaya za instagram ,jiepushe kabisa. Weka malengo madogo kwanza. Mfano anza na siku 30. Ukifanikiwa jipongeze.

Punyeto itakuweka mbali na watu, utashindwa kuwa na mahusiano ya aina yoyote, ya kikazi, kijamii, kimapenzi. Utakuwa mtu wa hovyo.

Kwa kuwa punyeto inaleta 'instant' gratification, yani unapata raha haraka unapojiskia. Mwili unazoea hivyo na utakosa uwezo wa kuwa na subira na mipangilio katika maisha, utashindwa kusave pesa, kuvumilia mpenzi, utakuwa unareact very bad ,na decision making very poor. Mwisho utachomwa moto kwa imani zetu.
Muoneni huyu
 
Chama cha Wapiga punyeto Tanzania(CHAPUTA) kinakemea member wake wanaokengeuka na kutaka kujiunga na uasherati utakao wapelekea kupata magonjwa ya zinaa kama gono, kaswende pamoja na Ukimwi... Chama chetu kinaendelea kusisitiza members wake waendelee kujichukulia sheria mkononi ili kujiepusha na magonjwa ya zinaa... Hatutasita kumchulia sheria member yeyote aliyekengeuka.... Kauli mbiu yetu kwa mwaka 2023 ni "NYETO IENDELEE"
 
Habar ndugu zangu,

Nimepiga punyeto kwa muda mrefu Sana nilianza 2009 Kama utani ilipofka2013 ndio nikaaza kuona madhara makubwa mwili ukazofuu Sana alafu nkawa mzito kuelewa Yan nakua Kama zoba fulan mail masaa yote umechoka n nikawa napenda kulala tu.

Mpaka saiv Hali n mbaya Nina miaka 29 lakn nko Kama mzee wa miaka 70 Yan uwezo wa kujiamin kujichaganya na watu Sina nishakua mtu wa kushinda nyumban tu kwa wazazi nataman kuwa na mpenzi anisaidie kuacha lakn kwa bahati mbaya sio wa kukubali kua na Mimi

Inaniumiza Sana madhara makubwa niliyopata 1 nimewahi kuzeeka 2nishaharibu mishipa ya fahamu nimekua mtu wa kujitenga na jamiii Yan nko Kama mtu mwenye ugonjwa wa usoji najua umu Kuna watu tofaut tofaut Kama Kuna mtu ambae atakua tiar kunisaidia ata kwakunikutanisha na watalamu Mimi nipo tiar mateso nayopitia n makubwa Sana apa nilipo Sina uwezo wa kuongea na mtu nkaelewa Yan mishipa ya fahamu haiko vizur Kama imeleta tatzo adi kwenye usikivu wa masikio n hvo tu
@Weva360
 
Back
Top Bottom