Salamu wapendwa...kuna mambo nataka tuyaweke clear..Leo nimeletewa kitabu cha pure mathematics(combined edition) ya backhouse 1 &2 kimecontain syllabus ya East Africa(Advance Mathematics) in addition wameongeza linear programming na wameondoa topic zisizohusika na syllabus ya East Africa..At this juncture baada ya kununua pure 1&2 ni vyema ukanunua hiyo moja...Najua wengi mnakijua hivyo nimeona niwajulishe wenzangu wasichokijua nao wanufaike.
Karibu kwa mchango....
michango ipi tena unayoitaka?
Salamu wapendwa...kuna mambo nataka tuyaweke clear..Leo nimeletewa kitabu cha pure mathematics(combined edition) ya backhouse 1 &2 kimecontain syllabus ya East Africa(Advance Mathematics) in addition wameongeza linear programming na wameondoa topic zisizohusika na syllabus ya East Africa..At this juncture baada ya kununua pure 1&2 ni vyema ukanunua hiyo moja...Najua wengi mnakijua hivyo nimeona niwajulishe wenzangu wasichokijua nao wanufaike.
Karibu kwa mchango....
Salamu wapendwa...kuna mambo nataka tuyaweke clear..Leo nimeletewa kitabu cha pure mathematics(combined edition) ya backhouse 1 &2 kimecontain syllabus ya East Africa(Advance Mathematics) in addition wameongeza linear programming na wameondoa topic zisizohusika na syllabus ya East Africa..At this juncture baada ya kununua pure 1&2 ni vyema ukanunua hiyo moja...Najua wengi mnakijua hivyo nimeona niwajulishe wenzangu wasichokijua nao wanufaike.
Karibu kwa mchango....
Kama huo uliotoa wewe...Ndo maana nilitanguliza kwamba wapo weng wanachokijua na wachache wasichokijua..mfano hapa school kwetu,wote ndio mara ya kwanza kukiona...hivyo kwa wale wenzetu waliokitumia wanaweza kuchangia kama kipo poa au ni bora kwa vile vya awali..ukizingatia ukubwa wake ni kama pure 1 pekee halafu kimesheeni pure 1&2..
I hope umenielewa mpendwa ..
Pure 1 & 2, Core Course for Advanced Maths vinatosha kukupa A!!
hayo matranter sijui ni mbwembwe tu!!