The Ape
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 330
- 475
Salamu wapendwa,
Kuna mambo nataka tuyaweke clear. Leo nimeletewa kitabu cha pure mathematics(combined edition) ya backhouse 1 &2. Kime contain syllabus ya East Africa(Advance Mathematics) in addition wameongeza linear programming na wameondoa topic zisizohusika na syllabus ya East Africa.
At this juncture baada ya kununua pure 1&2 ni vyema ukanunua hiyo moja. Najua wengi mnakijua hivyo nimeona niwajulishe wenzangu wasichokijua nao wanufaike.
Karibu kwa mchango.
Kuna mambo nataka tuyaweke clear. Leo nimeletewa kitabu cha pure mathematics(combined edition) ya backhouse 1 &2. Kime contain syllabus ya East Africa(Advance Mathematics) in addition wameongeza linear programming na wameondoa topic zisizohusika na syllabus ya East Africa.
At this juncture baada ya kununua pure 1&2 ni vyema ukanunua hiyo moja. Najua wengi mnakijua hivyo nimeona niwajulishe wenzangu wasichokijua nao wanufaike.
Karibu kwa mchango.