Putin alia sana kwa daraja kupigwa, asema ni ukatili huo

Putin alia sana kwa daraja kupigwa, asema ni ukatili huo

Amekua akilitumia sana kijeshi aache uwongo wa kujitetea, ndio kiungo muhimu kwenye shughuli yote na sijui kwanini Ukraine wanalisaza, ilipaswa walipige cruise missiles kama 20 kwa mpigo mpaka livunjike vipande vipande.
Yeye hupiga hadi bembea za chekechea leo analia daraja kupigwa

AA12PT4w.img
Hiyo picha kama alipokuwa anauwa makenzi.

Hili sakata la kanisa unalosali linaendeleaje, bado tu mnafukuwa maiti shakahola?

 
Huna uhuru wa kuniuliza maana haujapewa ruhusa kidini...heheh unapaswa ufungiwe ndani
Hamjamaliza ya shakahola mmeanzisha mauwaji ya Nairobi.

Nimesoma sehemu, wanafunzi saba tayari mmewatowa mhanga.
 
The Crimean Bridge was built without the necessary building permits from the Ukrainian authorities and must therefore be destroyed.

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom