Putin amechoka na Vita na Ukraine. Apongeza wazo la kumaliza vita yake na Ukraine

Putin amechoka na Vita na Ukraine. Apongeza wazo la kumaliza vita yake na Ukraine

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani baada ya uchaguzi wa rais wa Marekani utategemea mtazamo wa nchi hiyo, huku akiyapongeza maoni ya Donald Trump kuhusu nia yake ya kuumaliza mzozo wa Urusi na Ukraine.

Putin ameyasema hayo wakati mzozo kati ya nchi yake na Ukraine ukizidi kufukuta.

Soma Pia: Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?


Screenshot_2024-10-25-19-06-36-457_com.instagram.android~2.jpg

Nadhani huyu mbabe amejifunza kitu. kwa sasa hasemi tena operation. Anasema ni vita. mara ya kwanza alisema anaenda Ukraine kufanya operation. kama kutumbua tu chunusi. sasa chunusi imekuwa kijipu uchungu. amechoka.
 
View attachment 3135072

NADHANI HUYU MBABE AMEJIFUNZA KITU. KWA SASA HASEMI TENA OPERATION. ANASEMA NI VITA. MARA YA KWANZA ALISEMA ANAENDA UKRAINE KUFANYA OPERATION. KAMA KUTUMBUA TU CHUNUSI. SASA CHUNUSI IMEKUWA KIJIPU UCHUNGU. AMECHOKA.
Kwani Putin alishawahi kuwa kikwazo cha kumaliza vita hapo Ukraine? Issue si US anachotaka amshinde Urusi na asitimize matakwa yao au?
 
Russia hata ikisimama leo vita wamefanukiwa pakubwa kwenye kile walisema kuipunguza nguvu kijeshi Ukraine.

Hata hivyo narudia tena kusema, Russia ikiishambulia Ukraine kama Israel inachofanya Gaza kutokujali uhai wa raia Zelensky hivi sasa angekuwa anaishi Washington DC na familia yake kama wakimbizi wa kivita na kisiasa.

NATO uoga umewaingia kufahamu kwamba Russia ina uwezo kiasi hiko, misaada, askari intel n.k lakini bado hawajaidhoofisha Russia kama walivyodhani.

Nchi moja inapambana na nchi 32, si mchezo.
 
Russia hata ikisimama leo vita wamefanukiwa pakubwa kwenye kile walisema kuipunguza nguvu kijeshi Ukraine.

Hata hivyo narudia tena kusema, Russia ikiishambulia Ukraine kama Israel inachofanya Gaza kutokujali uhai wa raia Zelensky hivi sasa angekuwa anaishi Washington DC na familia yake kama wakimbizi wa kivita na kisiasa.

NATO uoga umewaingia kufahamu kwamba Russia ina uwezo kiasi hiko, misaada, askari intel n.k lakini bado hawajaidhoofisha Russia kama walivyodhani.

Nchi moja inapambana na nchi 32, si mchezo.
Umedanganya. Russia amekuwa exposed sasa anasaidiwa mpaka na Korea na Irani. NATO WANATAKA VITA IENDELEE RUSSIA IDHOOFIKE ZAID.PUTIN MPAKA ALIKUWA ANA KODI WANAJESHI NA ALIPONEA KUPINDULIWA NA WAGNER. AU WEWE UNASUBIRI USIMULIWE NA SHEIKH KITINKU?
1729874591856.png
 
Russia hata ikisimama leo vita wamefanukiwa pakubwa kwenye kile walisema kuipunguza nguvu kijeshi Ukraine.

Hata hivyo narudia tena kusema, Russia ikiishambulia Ukraine kama Israel inachofanya Gaza kutokujali uhai wa raia Zelensky hivi sasa angekuwa anaishi Washington DC na familia yake kama wakimbizi wa kivita na kisiasa.

NATO uoga umewaingia kufahamu kwamba Russia ina uwezo kiasi hiko, misaada, askari intel n.k lakini bado hawajaidhoofisha Russia kama walivyodhani.

Nchi moja inapambana na nchi 32, si mchezo.
Acha uwongo dada! Kinachomshinda ni kipi kufanya hicho unasema?

Hivi unajua jeshi la zele linamiliki mkoa mmoja wapo wa putin huko Russia yapita miezi mitatu sasa?
 
Russia hata ikisimama leo vita wamefanukiwa pakubwa kwenye kile walisema kuipunguza nguvu kijeshi Ukraine.

Hata hivyo narudia tena kusema, Russia ikiishambulia Ukraine kama Israel inachofanya Gaza kutokujali uhai wa raia Zelensky hivi sasa angekuwa anaishi Washington DC na familia yake kama wakimbizi wa kivita na kisiasa.

NATO uoga umewaingia kufahamu kwamba Russia ina uwezo kiasi hiko, misaada, askari intel n.k lakini bado hawajaidhoofisha Russia kama walivyodhani.

Nchi moja inapambana na nchi 32, si mchezo.
Weka ushahidi kuwa Urusi inapambana na nchi 32, mbona wapumbavu hawaishi duniani? Askari Gani wa NATO waliotumwa kwenda kupigana Ukraine? Urusi katuma silaha pamoja na S400 kule Iran kwahyo Urusi inapigana na Israel?
 
adhani huyu mbabe amejifunza kitu. kwa sasa hasemi tena operation. Anasema ni vita. mara ya kwanza alisema anaenda Ukraine kufanya operation
Umesahau hapo juzi kati mwaka jana NATO ilipoweka kichwa ngumu, Putin mwenyewe akatangaza kwamba malengo ya SMO yamebadilika kwa mantiki ya kupanuka zaidi?

Wenzetu wako flexible na ndiyo maana wanasonga mbele. Leo anataka kuilipua Marekani, kesho watasalimia na Donald Trump. Hayo ndiyo maisha sasa.
 
Russia amekuwa exposed sasa anasaidiwa mpaka na Korea na Irani. NATO WANATAKA VITA IENDELEE RUSSIA IDHOOFIKE ZAID.PUTIN MPAKA ALIKUWA ANA KODI WANAJESHI NA ALIPONEA KUPINDULIWA NA WAGNER. AU WEWE
Uchumi wa Russia umeporomaka kiasi gani? Je, raia wake wameathirikaje hadi sasa ikilinganishwa na nchi ya Ukreni na zingine za Ulaya?

Kwa nini Donald Trump naye anatamani sana amalize vita hata kesho asubuhi, kama siyo kwamba dola na rasilimali zao zinateketea bure?

Unapoandika taarifa, jaribu kuwa mkweli. Ukiongopa, unajidanganya wewe mwenyewe tu.
 
Russia hata ikisimama leo vita wamefanukiwa pakubwa kwenye kile walisema kuipunguza nguvu kijeshi Ukraine.

Hata hivyo narudia tena kusema, Russia ikiishambulia Ukraine kama Israel inachofanya Gaza kutokujali uhai wa raia Zelensky hivi sasa angekuwa anaishi Washington DC na familia yake kama wakimbizi wa kivita na kisiasa.

NATO uoga umewaingia kufahamu kwamba Russia ina uwezo kiasi hiko, misaada, askari intel n.k lakini bado hawajaidhoofisha Russia kama walivyodhani.

Nchi moja inapambana na nchi 32, si mchezo.
Mkishamalizq swala huwa mnajazana ujinga
 
Siyo
Kwani Putin alishawahi kuwa kikwazo cha kumaliza vita hapo Ukraine? Issue si US anachotaka amshinde Urusi na asitimize matakwa yao au?
SIyo kweli. Tatizo ni Putin. Alichukua Cremia, eneo la Ukraine. Kama ilivyo kawaida ya shetani, huwa hatosheki wala kuridhika, akatengeneza makundi mamluki mashariki mwa Ukraine, yakaanzisha mapigano dhidi ya serikali, yakidai yanataka kujitenga na Ukraine ili yajiunge na Urusi. Makundi haya yakawa yanapewa pesa na silaha na Urusi, kama inavyofanya Iran. Alivyoona makundi mamluki yake hayafanikiwi, akaamua kuingia mwenyewe mzima mzima akidai kuwa eti anaenda kuyalinda makundi yake, huku mpango wake wa kwanza ukiwa kumwua Rais wa Ukraine. Alipanga kuimaliza Ukraine kwa siku 3. Mambo yalipokosa kwenda kama alivyotaka, akasema yupo tayari kusitisha vita kwa sharti moja kuu: maeneo yote aliyoyateka yawe mali ya Urusi!! Sasa mtu wa hivyo unaweza kuhadaika kuwa ana dhamira ya kumaliza vita?

Putin ni miongoni mwa mashetani machache yaliyopo yanayoitesa Dunia. Siku Putin akiondoka itakuwa ni shangwe ya Urusi na Dunia nzima.
 
Umedanganya. Russia amekuwa exposed sasa anasaidiwa mpaka na Korea na Irani. NATO WANATAKA VITA IENDELEE RUSSIA IDHOOFIKE ZAID.PUTIN MPAKA ALIKUWA ANA KODI WANAJESHI NA ALIPONEA KUPINDULIWA NA WAGNER. AU WEWE UNASUBIRI USIMULIWE NA SHEIKH KITINKU?View attachment 3135099
2003 USA aliivamia Iraq akiwa na UK, Australia, Poland n.k sasa nikuulize, US alikuwa anasaidiwa?
 
Weka ushahidi kuwa Urusi inapambana na nchi 32, mbona wapumbavu hawaishi duniani? Askari Gani wa NATO waliotumwa kwenda kupigana Ukraine? Urusi katuma silaha pamoja na S400 kule Iran kwahyo Urusi inapigana na Israel?
Hajui hata kama Ukraine haruhusiwi kupiga ndani ya Urusi kwa kutumia silaha anazopewa
 
Back
Top Bottom