Putin amechoka na Vita na Ukraine. Apongeza wazo la kumaliza vita yake na Ukraine

Putin amechoka na Vita na Ukraine. Apongeza wazo la kumaliza vita yake na Ukraine

Putin ni mwamba.
Tazama nchi za Ulaya uchumi unavyoporomoka...
Tazama tu sehemu moja ya biashara ya magari ilivyo hoi Ulaya, China ndiye kajaza sehemu iliyo wazi, raw materials na components za kutengeneza hizo gari yamekuwa ghali, kitu kilichopelekea magari kuwa bei juu... Viwanda vingine wame stop production hio yote ni vita na kuipiga sanctions Russia.

Kumbuka Russia kwa Ulaya inaongoza kutoa metals kama lead, copper n.k wanazotumia kwenye utengenezaji wa hizo machines....
China ilikuwa imeishaipuku Ulaya katika biashara ya magari miaka mingi hata kabla uvamizi wa Urusi kwa Ukraine haujaanza, tujitahidi kupunguza propoganda kwa mambo yaliyo wazi kabisa.
 
Sio marekani ilivamia Iraq, nchi zote hizo zilikubaliana kuivamia Iraq, ukiskia wapi marekani kaomba msaada wa wanajeshi? Putin kavamia Ukraine akiwa peke yake, hata Kim jong Un anashangaa inakuwaje Putin badala aombe msaada wa silaha yeye amekimbilia wanajeshi maana ake kaishiwa wapiganaji, alafu machawa wake humu mnakesha kusifia ujinga
Wewe ni mweupe, hujafuatilia, USA, UK, Poland walianza mwanzoni kuingiza askari wao, baadae nchi zingine zipatazo 37 wakafiatia wakipeleka askari wao nchini Iraq ikiwamo Canada ..

Sasa nakuuliza US iliishiwa askari hadi hizo nchi zingine 37 kupeleka troops?

Acheni ushabiki wa kipuuzi....
 
Hivi wale vijana wa Ukraine waliosemaga wamepata makazi Russia wan
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani baada ya uchaguzi wa rais wa Marekani utategemea mtazamo wa nchi hiyo, huku akiyapongeza maoni ya Donald Trump kuhusu nia yake ya kuumaliza mzozo wa Urusi na Ukraine. Putin ameyasema hayo wakati mzozo kati ya nchi yake na Ukraine ukizidi kufukuta.

Soma Pia: Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Nadhani huyu mbabe amejifunza kitu. kwa sasa hasemi tena operation. Anasema ni vita. mara ya kwanza alisema anaenda Ukraine kufanya operation. kama kutumbua tu chunusi. sasa chunusi imekuwa kijipu uchungu. amechoka.apata hata maji kweli au sasa hivi walishakuwa mbolea wote?
 
China ilikuwa imeishaipuku Ulaya katika biashara ya magari miaka mingi hata kabla uvamizi wa Urusi kwa Ukraine haujaanza, tujitahidi kupunguza propoganda kwa mambo yaliyo wazi kabisa.
Mzee siajelezea nani anaongoza kwa production ya magari Ulaya, nimeeleza jinsi biashara ya magari imeanguka Ulaya kwa sababu ya vita inayoendelea.

Gas ya Russia, raw materials na components za kutengeneza hayo magari Russia ilisaidia pakubwa...

Viwanda vingi vimeshindwa kupambana na China, bora mwanzoni waliweza kupambana lakini hivi sasa hali imekuwa mbaya zaidi baada ya mbabe Russia kuingia vitani na kumpiga sanctions, ndio maana wengine wana stop production na China inajazia nafasi zilizo wazi kwa kasi....

Hali inatisha Ulaya, wanapiga mtu sanctions kumbe wanajimaliza, ndio maana li Trump lina akili, limejua kupambana na Russia ni kujimaliza, Russia ni kama maji, usipoyaoga utayanywa...
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani baada ya uchaguzi wa rais wa Marekani utategemea mtazamo wa nchi hiyo, huku akiyapongeza maoni ya Donald Trump kuhusu nia yake ya kuumaliza mzozo wa Urusi na Ukraine. Putin ameyasema hayo wakati mzozo kati ya nchi yake na Ukraine ukizidi kufukuta.

Soma Pia: Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Nadhani huyu mbabe amejifunza kitu. kwa sasa hasemi tena operation. Anasema ni vita. mara ya kwanza alisema anaenda Ukraine kufanya operation. kama kutumbua tu chunusi. sasa chunusi imekuwa kijipu uchungu. amechoka.
Nyie watu akili zenu cjui vipi kwa hio mnataka aoneshe roho mbaya ili muendelee kumuita dictator?
 
Wewe ni mweupe, hujafuatilia, USA, UK, Poland walianza mwanzoni kuingiza askari wao, baadae nchi zingine zipatazo 37 wakafiatia wakipeleka askari wao nchini Iraq ikiwamo Canada ..

Sasa nakuuliza US iliishiwa askari hadi hizo nchi zingine 37 kupeleka troops?

Acheni ushabiki wa kipuuzi....
Zitaje hizo nchi 37, acha ushabiki wa kipuuzi, Urusi kazidiwa hamtaki kukubali
 
Yeah anasasitiza Vita iishe kwa sababu ashapata advantage tayari. Anashikiria 27% ya eneo la Ukrain. Eneo hili pia ni eneo lenye rasilimali nyingi mno. So, Jamaa ana akili kubwa anajifanya neutral lkn mkienda mezani mashart yake yako wazi.
 
Putin ni mwamba.
Tazama nchi za Ulaya uchumi unavyoporomoka...
Tazama tu sehemu moja ya biashara ya magari ilivyo hoi Ulaya, China ndiye kajaza sehemu iliyo wazi, raw materials na components za kutengeneza hizo gari yamekuwa ghali, kitu kilichopelekea magari kuwa bei juu... Viwanda vingine wame stop production hio yote ni vita na kuipiga sanctions Russia.

Kumbuka Russia kwa Ulaya inaongoza kutoa metals kama lead, copper n.k wanazotumia kwenye utengenezaji wa hizo machines....
Umejaza usaha kichwani...kula chakula bora uboreshe hizo manii usije zaa mtoto taahira tena.
 
Mkuu athari lazma uchumi unatkisika kama unawekeza kweny vta ambayo unatumia pesa garama kubwa mfano zle slaa aliyo toa iran kwan kapewa bure? Ndyo maana putin alikuwa na ziara nying Asia kama kwenda korea kaskazn kufanya mazungumzo na rais wachina mongolia yote hzo n kujarbu kutafta ungwaji mkono saif wanataka kuwa na umoja wao BRICS kwa kuinua uchumia wake saiv urusi ukiwa muwalifu lazma upelekwe vtani kwanza mstar wambele inaonesha jins ngan mamb n magumu kwa putin maana lengo kuu nkumshinda hadui je amefanikiwa?
Haya masentensi yote, hamna kituo hata kimoja? Kweli NATO mmevurugwa nyie.

Umeona takwimu za GDP lakini? Je, Urusi iko namba ngapi? Kwa nini nchi za Ulaya hali imekuwa mbaya zaidi katika ya vita vya Ukreni kuliko ilivyotegemewa?

Nimekuuliza, iwapo kweli Urusi inadhoofika, kwa nini Wamarekani wanapenda vita vifikie tamati? Umemsikia rais wako ajaye Trump lakini? Ongea kwa takwimu, weka pembeni mahaba upofu, nadharia, hisia na makisio.
 
Zitaje hizo nchi 37, acha ushabiki wa kipuuzi, Urusi kazidiwa hamtaki kukubali
Umeanza hadi kubishana na vyanzo vya kuaminika.
Sasa nikuambie yalikua mataifa 48 ikiwemo USA baada ya Cista Rica kutoka,

List hii.
participated in the US-led coalition: Afghanistan, Albania, Australia, Azerbaijan, Bulgaria, Colombia, the Czech Republic, Denmark, El Salvador, Eritrea, Estonia, Ethiopia, Georgia, Hungary, Iceland, Italy, Japan, South Korea, Latvia, Lithuania, Macedonia, the Netherlands, Nicaragua, the Philippines, Poland, Romania, Slovakia, Spain, Turkey, the United Kingdom na Uzbekistan.

Baadae nchi zingine zikajiunga zikiwemo..
additions: Costa Rica, the Dominican Republic, Honduras, Kuwait, the Marshall Islands, Micronesia, Mongolia, Palau, Portugal, Rwanda, Singapore, Solomon Islands, Uganda, Panama

Baadae zikaingia Ukraine na Angola ...

Sasa hapo nikuulize je USA alizidiwa na Iraq na akaomba msaada? Au aliishiwa askari...?

Naomba unijibu tafadhali.
 
Nyie watu akili zenu cjui vipi kwa hio mnataka aoneshe roho mbaya ili muendelee kumuita dictator?
Cjui maana yake nini? Nyie madogo division 5 uandishi wenu kichefuchefu sana.😁
 
Hapo anajaribu kuinfluence uchaguzi wa marekani in favour of trump.
 
Back
Top Bottom