Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Nimecheka sanaMajasusi wa JF wanakuja kutoa intelligence analysis zao huku wameshindwa kutatua hata changamoto ya maji kwenye kaya zao [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sanaMajasusi wa JF wanakuja kutoa intelligence analysis zao huku wameshindwa kutatua hata changamoto ya maji kwenye kaya zao [emoji1787]
Jasusi wa Kibongo wanafuatilia Maisha ya watu, eti Fulani kajenga ghorofa kapata wapi hela.. ! This is bullshit...TISS TOKENI NJE YA TANZANIA MKAIBE TEKNOLOJIA MBALIMBALI NCHI ISONGE KAMA WACHINA WANAVYOFANYAMajasusi wa JF wanakuja kutoa intelligence analysis zao huku wameshindwa kutatua hata changamoto ya maji kwenye kaya zao [emoji1787]
How???!!!Put in is hallucinating himself
Inaelekea uliwahi kufuatiliwa, pengine......Jasusi wa Kibongo wanafuatilia Maisha ya watu, eti Fulani kajenga ghorofa kapata wapi hela.. ! This is bullshit...TISS TOKENI NJE YA TANZANIA MKAIBE TEKNOLOJIA MBALIMBALI NCHI ISONGE KAMA WACHINA WANAVYOFANYA
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majasusi wa JF wanakuja kutoa intelligence analysis zao huku wameshindwa kutatua hata changamoto ya maji kwenye kaya zao [emoji1787]
Anakuwa double checked. Putin sio mjingaDouble agent
Hahahah..mwaka 2022 una drama sana
kwahio wew wa jamii forum umegundua hili lakini intelijensia ya urusi haijang'amua. . .dohSiku akija gundua hata huyo Snowden bado yupo kazini CIA atajiweka kwa tindikali.
Hii haina impact yoyote kwa US sana sana huyu jamaa utakuta ana mspay huyo huyo putini, sio uje hapa kuandika chochote lete habari zenye msisimko tumwage hojaEdward Snowden aliyetoa taarifa za namna serikali ya marekani inawaspy raia wake pamoja na viongozi wa nchi nyingine amepewa uraia wa urusi.
Hili ni pigo lingine kwa USA ukizingatia bado Urusi imeendelea kumshikilia Star wa basketball Britney Griner .View attachment 2369153
mkuu hata ukiwa jasusi mbobezi lakini jua ni binadam kuna vitu huwezi jua mtu anawaza nini anamipango ipikwahio wew wa jamii forum umegundua hili lakini intelijensia ya urusi haijang'amua. . .doh
sasa hiyo mipango na mawazo ambayo huwez jua toka kwa binadam mwingine ! don-mike ameshaijua tayari.mkuu hata ukiwa jasusi mbobezi lakini jua ni binadam kuna vitu huwezi jua mtu anawaza nini anamipango ipi
Endelea kuota. Putin mwenyewe ni super spySiku akija gundua hata huyo Snowden bado yupo kazini CIA atajiweka kwa tindikali.