kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Anataka kumpeleka vitani akafie kuleUnadhani kwanini amekuja kumpa uraia leo baada ya kukaa kwake miaka yote hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka kumpeleka vitani akafie kuleUnadhani kwanini amekuja kumpa uraia leo baada ya kukaa kwake miaka yote hiyo?
Seeing shadows as real objectsHow???!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Majasusi wa JF wanakuja kutoa intelligence analysis zao huku wameshindwa kutatua hata changamoto ya maji kwenye kaya zao [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti TISS mtoke njeJasusi wa Kibongo wanafuatilia Maisha ya watu, eti Fulani kajenga ghorofa kapata wapi hela.. ! This is bullshit...TISS TOKENI NJE YA TANZANIA MKAIBE TEKNOLOJIA MBALIMBALI NCHI ISONGE KAMA WACHINA WANAVYOFANYA
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Wanatoka mkuu sema wanasiasa wana nguvu kuliko wao na ukizingatia wao wamegawanyikaJasusi wa Kibongo wanafuatilia Maisha ya watu, eti Fulani kajenga ghorofa kapata wapi hela.. ! This is bullshit...TISS TOKENI NJE YA TANZANIA MKAIBE TEKNOLOJIA MBALIMBALI NCHI ISONGE KAMA WACHINA WANAVYOFANYA
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ujinga tu wa wanadam hakuna binadamu anaweza kuwa mkubwa au jasiri dhidi ya state uongo tu na kuwatumia watu na kuwatekezaEdward Snowden aliyetoa taarifa za namna serikali ya marekani inawaspy raia wake pamoja na viongozi wa nchi nyingine amepewa uraia wa urusi.
Hili ni pigo lingine kwa USA ukizingatia bado Urusi imeendelea kumshikilia Star wa basketball Britney Griner .View attachment 2369153
Umechelewa sana haya yanafanyika sana nchini, tuko poa sana kitoknolojiaJasusi wa Kibongo wanafuatilia Maisha ya watu, eti Fulani kajenga ghorofa kapata wapi hela.. ! This is bullshit...TISS TOKENI NJE YA TANZANIA MKAIBE TEKNOLOJIA MBALIMBALI NCHI ISONGE KAMA WACHINA WANAVYOFANYA
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app