Putin ampa Edward Snowden Uraia wa urusi

Ben-8 angekuwa hajawa shadow angetupa muongozo maana ni alumni na swowden
 
Hivi huko urusi vikwazo bado vipo mbona naona kama maisha yanaendelea kama kawaida.!!
 
Ujinga tu wa wanadam hakuna binadamu anaweza kuwa mkubwa au jasiri dhidi ya state uongo tu na kuwatumia watu na kuwatekeza
 
Umechelewa sana haya yanafanyika sana nchini, tuko poa sana kitoknolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…