Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo mboma kwenye vita ya uganda ajaenda kama general tena walikuwa wametoka mafunzoni na marehemu baba yangu mkubwa urusi walikuwa wote kikosi cha anga.......Bora ww ameijibu kitaalamu siyo iyoo Tu ata vita ya Kagera general Mboma alienda vitani kabisa kuwa na general vitani tna Kwa Russia ambayo mataifa makubwa wanamikono Yao bila ma general kwenda nii rahisi kuhujumiwa na Askari WA kawaida kukataa kusonga mbele au kuona kama wanatumika na viongozi WA juu kuwa na general vitani japo yeye haongozi mapigano Ila hutoa miongozo na kuwapa Askari morali zaidi na kuhakikisha logistics zote zinafika Kwa weledi
Aliyekuambia Mboma wakati wa vita alikuwa general ni nani?Bora ww ameijibu kitaalamu siyo iyoo Tu ata vita ya Kagera general Mboma alienda vitani kabisa kuwa na general vitani tna Kwa Russia ambayo mataifa makubwa wanamikono Yao bila ma general kwenda nii rahisi kuhujumiwa na Askari WA kawaida kukataa kusonga mbele au kuona kama wanatumika na viongozi WA juu kuwa na general vitani japo yeye haongozi mapigano Ila hutoa miongozo na kuwapa Askari morali zaidi na kuhakikisha logistics zote zinafika Kwa weledi
Muundo wa jeshi la urusi niwakitamaduni tangu patriotic war na umerithiwa na baadhi ya mataifa ya Africa. Commanding system yao inaanzia juu kwenda chini tofauti na majeshi mengini ambayo maafisa wa chini wanaweza kufanya maamuzi bila consern ya viongozi war juu hii inaitwa top down decision making. Mfumo huu unatumika kwenye jeshi la china askari wengi conscripts tofauti kabisa na nchi za mabeberu.Umeniita tena ndugu yangu. Ukweli ni kuwa Kuanzia Major kwenda juu huwa haingii kwenye frontline, Ila Major na Luteni Kanali wako karibu kidogo na frontline kwa vile ndio wanaoongoza kombania. Kuanzia Kanali hadi general officesr wote hawako kwenye frontline kwani wale ni watu wa kupanga mikakati na kuongozi vikosi vikubwa ambavyo kwa formation ya kivita ni private hadi koplo ndio wanaokuwa msitali wa mbele zaidi wakiwa wanaongozwa na Sajenti.
Ila Urusi ni taifa tofauti kabisa kijeshi kwa vile jeshi lao ni la maofisa tu, Sasa hao maprivate hadi sajenti ni watu wa kupita tu kwa mktaba mfupi, wanaitwa conscripts. Kwahiyo hao siyo wataalamu wa mapigano ndiyo maana Makanali hadi majenerali wanajikuta wako kwenye frontline na kuuawawa. Tatizo kubwa sana katika muundo wa jeshi la Urusi, wao inaonekana walirithi ile filosofi ya jeshi la kizamani la vita ya pili ya dunia kuwa wingi wa vifaru, mizinga na ndege za kivita ndiyo ukali wa jeshi lenyewe. Ndiyo maana sasa hivi "special military operation" imekuwa "terrible quagmire."
Ni afadhali angeifanya hii special military operation mwaka 2014 ambapo Ukraine walikurupushwa unprepared kwa vile walikuwa wanaamini kuwa wanalindwa na ile Budapest Memorandum iliyowekwa saini na Rais wa Urusi wakati huo Yelstin, Rais wa Marekani Clinton na Rais wa Ukraine Kravchuk kuwa waigawie Urusi silaha zao za Nyuklia halafu Urusi itawalinda. Kichaa mmoja wa Urusi akaona ile memorandum ni karatasi tu akaivamia na kujimegea Crimea. Kuanzia pale Ukraine ingawa kwenye Katiba yao bado wana limit ya kuwa jeshi lisizidi wapiganaji 250,000, wakajifunza umuhimu wa kuwa na jeshi na wakaomba kufundishiwa jeshi la kisasa na Marekani. Kwa hiyo mzee Putin alipovamia, alikuta Ukraine imeshaaza kujenga jeshi la kisasa, wakati yeye analitea jeshi la 1948, ndiyo maana majenerali wanapukutika kama sisimizi waliomwagiwa petroli. Hiyo ni zaidi ya hao conscripts zaidi ya 23,000 pamoja na vifatu zaidi ya 1500. Pumzi ya Urusi inalindwa na wingi wa silaha waliza nazo pamoja na ukubwa wa jeshi lenyewe, vinginevyo sasa hivi jeshi lingekuwa kwenye drip.
Watu wanasema russia ni chui wakuchora kwenye karatasi pengine kuna logic hapa. Mashabiki wengi wa urusi wanaona kuwa russia hawezi shindwa kwenye vita. Hali hii ni matokeo ya propaganda ya russia kupitia patriotic war ambayo walishinda vita dhidi ya Hitler. Hali imekuwa tofauti huko mstari wa mbele kwani hatuoni hata morale boosting video zao vijana wa ukraine wamepigana kwelekweli sio mchezo.Mi kila siku nawaambia US kashajua jamaa ni overated ndio maana hata hasikii mikwala yake,
Ukraine angekuwa hata na nusu ya uwezo wa Russia tungekuwa tunaongea mengine leo..
Russia quantity Ukraine quality. Afu Kuna mrusi humu anakuambia Putin anauwezo wa kusambalatisha NATO yenye quantity and quality kwa pamoja.
Mfumo wa kutumia conscripts jeshini siyo mfumo mzuri. Unajua hao conscripts siyo kama askari waliofundishwa kama wale wa akiba kwa jeshi kama la Israel au la Marekani ambako wanaitwa National Reserve Army; hao ni kama ni kama JKT ya mujibu wa sheria tu. Wakati wa vita ya Vietnam, jeshi la Marekani nao lilikuwa na conscripts wakiwa drafted kwa mujibu wa sheria. Ile ndiyo iliyofundisha jeshi la Marekani kutotegemea conscripts kabisa, kwani wengine wanakwenda kwa shingo upande tu, hivyo wanakuwa hawajitumi na kusababisha makosa ya hatari sana huko vitani. Mohammed Ali alikataa kuitika mwito huo akapewa msukosuko lakini baadaye akaachwa.Muundo wa jeshi la urusi niwakitamaduni tangu patriotic war na umerithiwa na baadhi ya mataifa ya Africa. Commanding system yao inaanzia juu kwenda chini tofauti na majeshi mengini ambayo maafisa wa chini wanaweza kufanya maamuzi bila consern ya viongozi war juu hii inaitwa top down decision making. Mfumo huu unatumika kwenye jeshi la china askari wengi conscripts tofauti kabisa na nchi za mabeberu.
Akikujibu nitagAliyekuambia Mboma wakati wa vita alikuwa general ni nani?
Hivi Unamuona General wa Urusi kama real General?... tunazungumzia generals wa super power mzee; hatuzungumzii majenerali wa M23 au Mai Mai hapa!
Umeongea point mkuu maana askari wengi wa mujibu wana morale ndogo sana. Mimi kwa maoni yangu nawasiwasi haya mataifa wanatumia conscripts pengine hawana ukwasi wa kulipa wanajeshi wengi wenye mikataba ya muda mrefu.Mfumo wa kutumia conscripts jeshini siyo mfumo mzuri. Unajua hao conscripts siyo kama askari waliofundisha kama wale wa akiba kwa jeshi kama la Israele, au la Marekani ambako wanaitwa National Reserve Army; hao ni kama hao ni kama JKT ya mujibu wa sheria tu. Wakati wa vita ya Vietnam, jeshi la Marekani nao lilikuwa na conscripts wakiwa drafted kwa mujibu wa sheria. Ile ndiyo iliyofundisha jeshi la Marekani kutotegemea conscripts kabisa, kwani wengine wanakwenda kwa shingo upande tu, hivyo wanakuwa hawajitumi na kusababisha makosa ya hatari sana huko vitani. Mohammed Ali alikataa kuitika mwito huo akapewa msukosuko lakini baadaye akaachwa.
... na hoja yangu ilikuwa hapo; how comes generals wa taifa kubwa kama Urusi wanamalizwa kizembezembe? There should something wrong somewhere.Hivi Unamuona General wa Urusi kama real General?
General anavaa nishani nyiiingi wakati hajapigana hata Vita moja!!!
Hawa ni sawa na wa Korea Kaskazini.
Ni Kama General wa North Korea; wanajua kupiga mwagaride tu.Hivi Unamuona General wa Urusi kama real General?
General anavaa nishani nyiiingi wakati hajapigana hata Vita moja!!!
Hawa ni sawa na wa Korea Kaskazini.
Kwahiyo ulivyosoma TU happy juu umeamini mpaka na mwenzako nae unamwelekeza asome I'll see mbumbumbu kwa nondo za mbumbumbu.... ukiisoma post ya Kichuguu hapo juu anaeleza jeshi la Russia ni la maofisa zaidi so kuwa jenerali Russia ni kawaida sana tofauti na nchi nyingine. That means, jenerali kuwa front line hence high risk ya kuuwawa ni kawaida.
Amekimbia wapi. Jana katembelea wanajeshi wake walio msitari wa mbele wa mapambano na wewe unaleta story za buza hapaKuwa na mashaka na Comedian maana hayupo hata nchi yake kakimbia[emoji23]
Umenena na iko hivyo.... kwa hiyo unachotuambia hapa ni kwamba Major General au Lieutenant General wa Russia ni sawa na Captain au Major kwa majeshi mengine? Highest rank ya jeshi la Russia in ipi? By the way, majeshi mengi wanaoongoza vikosi frontline ni Sergeants.
Umenena na iko hivyo.... kwa hiyo unachotuambia hapa ni kwamba Major General au Lieutenant General wa Russia ni sawa na Captain au Major kwa majeshi mengine? Highest rank ya jeshi la Russia in ipi? By the way, majeshi mengi wanaoongoza vikosi frontline ni Sergeants.
Kawaida Generals wanaoperate Vita kutoka kwenye Command Posts, Kawaida wanakuwa behind the lines, Muundo wa Vita unategemea na mpangilio wa troops una Command ngapi,... na hoja yangu ilikuwa hapo; how comes generals wa taifa kubwa kama Urusi wanamalizwa kizembezembe? There should something wrong somewhere.
Safi kabisaUmeniita tena ndugu yangu. Ukweli ni kuwa Kuanzia Major kwenda juu huwa haingii kwenye frontline, Ila Major na Luteni Kanali wako karibu kidogo na frontline kwa vile ndio wanaoongoza kombania. Kuanzia Kanali hadi general officesr wote hawako kwenye frontline kwani wale ni watu wa kupanga mikakati na kuongozi vikosi vikubwa ambavyo kwa formation ya kivita ni private hadi koplo ndio wanaokuwa msitali wa mbele zaidi wakiwa wanaongozwa na Sajenti.
Ila Urusi ni taifa tofauti kabisa kijeshi kwa vile jeshi lao ni la maofisa tu, Sasa hao maprivate hadi sajenti ni watu wa kupita tu kwa mktaba mfupi, wanaitwa conscripts. Kwahiyo hao siyo wataalamu wa mapigano ndiyo maana Makanali hadi majenerali wanajikuta wako kwenye frontline na kuuawawa. Tatizo kubwa sana katika muundo wa jeshi la Urusi, wao inaonekana walirithi ile filosofi ya jeshi la kizamani la vita ya pili ya dunia kuwa wingi wa vifaru, mizinga na ndege za kivita ndiyo ukali wa jeshi lenyewe. Ndiyo maana sasa hivi "special military operation" imekuwa "terrible quagmire."
Ni afadhali angeifanya hii special military operation mwaka 2014 ambapo Ukraine walikurupushwa unprepared kwa vile walikuwa wanaamini kuwa wanalindwa na ile Budapest Memorandum iliyowekwa saini na Rais wa Urusi wakati huo Yelstin, Rais wa Marekani Clinton na Rais wa Ukraine Kravchuk kuwa waigawie Urusi silaha zao za Nyuklia halafu Urusi itawalinda. Kichaa mmoja wa Urusi akaona ile memorandum ni karatasi tu akaivamia na kujimegea Crimea. Kuanzia pale Ukraine ingawa kwenye Katiba yao bado wana limit ya kuwa jeshi lisizidi wapiganaji 250,000, wakajifunza umuhimu wa kuwa na jeshi na wakaomba kufundishiwa jeshi la kisasa na Marekani. Kwa hiyo mzee Putin alipovamia, alikuta Ukraine imeshaaza kujenga jeshi la kisasa, wakati yeye analitea jeshi la 1948, ndiyo maana majenerali wanapukutika kama sisimizi waliomwagiwa petroli. Hiyo ni zaidi ya hao conscripts zaidi ya 23,000 pamoja na vifatu zaidi ya 1500. Pumzi ya Urusi inalindwa na wingi wa silaha waliza nazo pamoja na ukubwa wa jeshi lenyewe, vinginevyo sasa hivi jeshi lingekuwa kwenye drip.
Jamaa ni noma kwa uchambuzi [emoji119]Mkuu naomba nikuite "MLIMA" badala ya "KICHUGUU"