Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali.
Retreat/withdraw aliyofanya wagner leader sio hatari kwake mnamo siku zijazo?
Warusi walijitokeza wengi kulaki Wagner na jitihada zao kwenye uasi, ni dhahiri wameuchoka utawala wa Putin ila wanashindwa pakuanzia.
Putin alishauriwa vizuri akaacha mikwara na kutafuta namna ya kuyajenga na Wagner......
Aisee! Huyo mke ni jasiri saaana!Tena ana watoto wawili, ni rahisi Sana kuwa blackmailed na mafioso wa Putin.
Warusi walijitokeza wengi kulaki Wagner na jitihada zao kwenye uasi, ni dhahiri wameuchoka utawala wa Putin ila wanashindwa pakuanzia.
Putin alishauriwa vizuri akaacha mikwara na kutafuta namna ya kuyajenga na Wagner......
Putin kwavuruga kweli,mmebaki mnapiga ramli!Kuna mengi tusiyoyajua nyuma ya pazia, kuna nadharia nyingi tu zinaibuka kwenye mitandao, mojawapo ikiwemo kwamba familia ya hilo lizee la Wagner ilikamatwa mateka, inawezekana kuwa kweli maana Urusi ni taifa la kimafia mafia, hufanyiana mambo ya ajabu ajabu.
Warusi walijitokeza wengi kulaki Wagner na jitihada zao kwenye uasi, ni dhahiri wameuchoka utawala wa Putin ila wanashindwa pakuanzia.
Putin alishauriwa vizuri akaacha mikwara na kutafuta namna ya kuyajenga na Wagner......
We habari zako karibu zote kuhusu Urusi niza kubuni tu na kuweka chumvi mno hata pasipo stahili - wasomaji wana akili timamu kwa nini uwachi waka draw their own conclusion wakilingaisha na sources nyingine - we masaa yote nikufikiria Putin is dying tomorrow or the day after na Taifa zima la Russia litasambalatika hivi karibuni.Kuna mengi tusiyoyajua nyuma ya pazia, kuna nadharia nyingi tu zinaibuka kwenye mitandao, mojawapo ikiwemo kwamba familia ya hilo lizee la Wagner ilikamatwa mateka, inawezekana kuwa kweli maana Urusi ni taifa la kimafia mafia, hufanyiana mambo ya ajabu ajabu.
Putin kwavuruga kweli,mmebaki mnapiga ramli!
Warusi walijitokeza wengi kulaki Wagner na jitihada zao kwenye uasi, ni dhahiri wameuchoka utawala wa Putin ila wanashindwa pakuanzia.
Putin alishauriwa vizuri akaacha mikwara na kutafuta namna ya kuyajenga na Wagner......
Hapa Russia moja ya maeneo hatari ni dirishani hasa dirisha la ghorofa, vijana wa Putin wanaweza kukusukuma muda wowote ule.Kuna mengi tusiyoyajua nyuma ya pazia, kuna nadharia nyingi tu zinaibuka kwenye mitandao, mojawapo ikiwemo kwamba familia ya hilo lizee la Wagner ilikamatwa mateka, inawezekana kuwa kweli maana Urusi ni taifa la kimafia mafia, hufanyiana mambo ya ajabu ajabu.
Laila ndo nani huyo????Hata ruto analakujifunza jinsi Laila anavyoshangiliwa
We habari zako karibu zote kuhusu Urusi niza kubuni tu na kuweka chumvi mno hata pasipo stahili - wasomaji wana akili timamu kwa nini uwachi waka draw their own conclusion wakilingaisha na sources nyingine - we masaa yote nikufikiria Putin is dying tomorrow or the day after na Taifa zima la Russia litasambalatika hivi karibuni.