Wakati moto ukiwaka kwa kasi baina ya Marekani na Iran ghafla bwana Putin akapiga ziara ya kushitukiza Syria kisha akaelekea Uturuki kukutana na Edorgan.
Binafsi nikajua ziara yake inahusiana na kutafuta amani eneo hilo kumbe yeye ana issue zake za Bomba la gesi kutoka Russia hadi Turkey. Yaani Dunia nzima macho na masikio yapo kwenye bifu la USA na Iran lakini yeye yupo na hamsini zake japo alifika ukanda huo, sikumsikia hata akitoa ushauri kwa Marekani au Iran au kokote nilichosikia tu wamezungumzia hali ya Libya.
Kwa mtazamo wangu nadhani Putin katumia haka kaupepo kwani tumeshuhudia deal nyingi Russia anazoingia na nchi za Ulaya including Turkey zimekuwa zikipingwa sana na Marekani, sasa hii ya Jana naona uzinduzi umekwenda very smooth, sijasikia Trump akikosoa au kuongea chochote.
Ama kweli Putin ni Janja Janja Fulani na anafanikisha deal zake bila jasho jingi. Nadhani siku wenge la Iran likipoa ndipo Trump ataongea hivi " For sure this Project will Compromise the Security of our Allies in NATO territories ".
Binafsi nikajua ziara yake inahusiana na kutafuta amani eneo hilo kumbe yeye ana issue zake za Bomba la gesi kutoka Russia hadi Turkey. Yaani Dunia nzima macho na masikio yapo kwenye bifu la USA na Iran lakini yeye yupo na hamsini zake japo alifika ukanda huo, sikumsikia hata akitoa ushauri kwa Marekani au Iran au kokote nilichosikia tu wamezungumzia hali ya Libya.
Kwa mtazamo wangu nadhani Putin katumia haka kaupepo kwani tumeshuhudia deal nyingi Russia anazoingia na nchi za Ulaya including Turkey zimekuwa zikipingwa sana na Marekani, sasa hii ya Jana naona uzinduzi umekwenda very smooth, sijasikia Trump akikosoa au kuongea chochote.
Ama kweli Putin ni Janja Janja Fulani na anafanikisha deal zake bila jasho jingi. Nadhani siku wenge la Iran likipoa ndipo Trump ataongea hivi " For sure this Project will Compromise the Security of our Allies in NATO territories ".