Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

Wakati unakaza fuvu kuleta ndoto za kufikirika Russia anakusanya mapato makubwa ya mafuta na gas toka Nchi za Ulaya hasa Germany. Ungeelekeza nguvu zako kutathimini namna ya kuikomboa familia kutoka kwenye dimbwi la umaskini na kuongeza kipato chako.
Wakati unakaza kiuno kupambana na ukweli ungeomba tu kujiunga Twanga Pepeta usaidiane na Supa Nyamwela ili kiuno kikuletee kipato

Ukweli haupingwi kwa jazba na hasira hizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati unakaza kiuno kupambana na ukweli ungeomba tu kujiunga Twanga Pepeta usaidiane na Supa Nyamwela ili kiuno kikuletee kipato

Ukweli haupingwi kwa jazba na hasira hizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umechomwa na kitu chenye ncha kali mpaka umetoa mlioo wa kimama [emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji123]
 
Back
Top Bottom