[emoji23][emoji23][emoji23] Nimekumbuka hela ya makinikia kila mtanzania kununua gari.
Black people ni hasara duniani.
Wabongo kwa kushabikia pande zinazipingana na kubishana ndiyo kipaji chao. Sijui hii tabia ilitokana na nini. Kula ugali kwa wingi? Tanzania nzima sasa hivi kuna vita kali kati ya vijana wa Urusi VS vijana wa nchi za Magharibi. Hata ugumu wa maisha watu wamesahau. Nchi inakwenda kombo lakini vijana wake wako busy kubishana Urusi vs Ukraine.
Huna tofauti na nyumbu, wako wengi lakini wanakamatwa na Simba mmoja mmoja badala ya kuungana kupambana kwa pamoja. Tangu lini watu waliokuuza kama mtumwa wakageuka kuwa wafadhili wako?Yaani Russia iikomboe dunia? Unachekesha! Tangu lini Russia ikaijali dunia?
Uhusiano kati ya Nchi za Magharibi na Afrika ni kama ule wa Simba na swala.
Huna tofauti na nyumbu, wako wengi lakini wanakamatwa na Simba mmoja mmoja badala ya kuungana kupambana kwa pamoja. Tangu lini watu waliokuuza kama mtumwa wakageuka kuwa wafadhili wako?
Urusi haijawahi kuitawala hata nchi moja ya Africa Wala kushiriki kwenye biashara ya watumwa.
Toa upumbavu wako hapa,, marekani ndio alioutengeneza ukimwi na kutuletea. Usidanganywe na dawa marekani hana nia njema zaidi ya maslahi yakeUsilolijua kuwa. Nchi zote duniani zinaishi kama wanyama mwituni.
Usitegemee sungura kumtawala simba.
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo wakati huo wenzako wanarusha vyombo kwenda mwezini kufanya utafiti.
Russia na China haina msaada ktk dunia hii.
1. Nchi gani zinaongoza kutoa misaada ya kifedha
2. Nchi gani inayotoa misaada ya dawa matibabu?
ARV inatoka marekani tena bure.
Hao unaowasifia wanaotoa msaada ni kwavile hujui tu kulinganisha wanachokichukua kutoka kwetu na wanachotuludishiaRussia unayemsifia ndiyo inaipiga koloni lake sasa hivi.
Russia na China ndiyo nchi hatari sana na hazina msaada wwte
Toa upumbavu wako hapa,, marekani ndio alioutengeneza ukimwi na kutuletea. Usidanganywe na dawa marekani hana nia njema zaidi ya maslahi yake
Viongoz wa Africa ni weziKweli kabisa mkuu,tuanze kukubaliana kuwa sisi wenyewe ni matatizo makubwa, Tanzania [emoji1241] tunategemea 30%ya wheat kutoka Ukraine na Russia, kabla ya kuombea hii vita iishe ili makali ya kimaisha Yapungue including fuel price ndio kwanza kuna ushabiki wa kishenzi unaendelea humu jukwaani, miaka zaidi ya 60 ya kujitawala but still hatujitegemei kwa budget yetu!,na tuelewe ni EU wanaochangia kwa kiwango kikubwa hili so called pan African parliament!,Tanzania tumetoa mchango wetu?debate for another day na kituko kingine Speaker ametokea Zimbabwe!
Hao unaowasifia wana msaada ni kwavile tu hujui tu kulinganisha wanachokichukua kutoka kwetu na wanachotuludishia
sheet!! we kumbe huna ulijualo, you just a pro-magharibi because of our own gains. Wazungu wanaposema "There is no free lunch" they meant it, Mzungu ni macho komchuzi mkono koubwabwa, Anakupa dola yake 1 wewe unampa zako 1000, yaani " I scratch your back once you scratch my back 1000 times" Mfano, Royal tour ni nani keshapiga pesa mingi kwa project ile mpaka sasa kati ya sisi na wao?Usilolijua kuwa. Nchi zote duniani zinaishi kama wanyama mwituni.
Usitegemee sungura kumtawala simba.
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo wakati huo wenzako wanarusha vyombo kwenda mwezini kufanya utafiti.
Russia na China haina msaada ktk dunia hii.
1. Nchi gani zinaongoza kutoa misaada ya kifedha
2. Nchi gani inayotoa misaada ya dawa matibabu?
ARV inatoka marekani tena bure.
Anaipiga UKRAINE sababu anaroho nzuri kwani US wakat anaipiga LIBYA IRAQ na AFGHANISTAN alikua na roho mbaya !!!??Una madini, mbuga za wanyama, ardhi safi na maziwa halafu bado masikini kwanini wasikuchukulie?
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo, dhahabu utaweza kichimba?
Hata kwenye ndoa, mwanamke akikizidi hela amekutawala na lazima atakuendesha anavyotaka.
Unaleta huruma kwenye dunia ya Capitalism. Russia huyo anaipiga Ukraine, angekuwa ana roho nzuri asingemvamia
Tatizo hili hapaUna madini, mbuga za wanyama, ardhi safi na maziwa halafu bado masikini kwanini wasikuchukulie?
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo, dhahabu utaweza kichimba?
Hata kwenye ndoa, mwanamke akikizidi hela amekutawala na lazima atakuendesha anavyotaka.
Unaleta huruma kwenye dunia ya Capitalism. Russia huyo anaipiga Ukraine, angekuwa ana roho nzuri asingemvamia
sheet!! we kumbe huna ulijualo, you just a pro-magharibi because of our own gains. Wazungu wanaposema "There is no free lunch" they meant it, Mzungu ni macho komchuzi mkono koubwabwa, Anakupa dola yake 1 wewe unampa zako 1000, yaani " I scratch your back once you scratch my back 1000 times" Mfano, Royal tour ni nani keshapiga pesa mingi kwa project ile mpaka sasa kati ya sisi na wao?
Sasa kama unajua nature haidanganyi mnalalamika nini juu ya RUSSIAUnafikiri Russia na China ni wema sana kuliko Marekani? Unafikiri Russia bado ana mfumo wa socialim? Kama unafikiri hivyo unajidanganya na huu mfumo ushakufa tangu karne ya 19. Tupo kwenye ulimwengu wa Capitalism ndiyo maana unaona leo baada ya Ukraine kuchoshwa na unyonyaji wa Russia amemkimbia ila alichofanya Russia ni kumpiga Ukraine.
Nature haidanganyi siku zote huu mfumo upo hata kwa wanyama.
Mwenye nguvu atamtawala asiye na nguvu.
Kama una madini, mbuga za wanyama, maziwa na ardhi safi halafu bado masikini kwanini wenye uhitaji wasije kuchukua hata kwa udanganyifu.
Subiri siku ukiwa kavulana ndiyo akili zitarudi ila sasa ni kavulata hujui chochote.
Tatizo hili hapaView attachment 2282376
Sasa kama unajua nature haidanganyi mnalalamika nini juu ya RUSSIA
kaeni kwakutulia nature iendelee kufanya kazi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutashinda tu,mwanaume mmoja dhidi 30 wamepoteana!
Unalosema liko wazi.Kwa kweli sehemu kubwa ya dunia tumekuwa tukiumizwa na ujanja,ushenzi na ubabe wa nchi za magharibi kwa wanavlyotufanyia au wanavyowafanyia rafiki zetu na hatukuwa na namna ya kujinasua.Kama kapatikana mbabe mwenzao na jeuri kuliko wao lazima tuwe upande wake..Mwenyezi Mungu daima huwa anasikia kilio cha wanyonge na hujibu kwa muda na namna aipendayo.Hakuna ubishi kuwa nchi za Magharibi zimejengwa kwa rasilimali kutoka mataifa mengine na watumwa. Mahitaji yaliyosababisha nchi za magharibi kutafuta makoloni na watumwa hayajakwisha hata kidogo, ile kiu ya kuzitawala nchi nyingine bado wanayo, na iko siku moja (sio mbali) watatumia NATO kutupora kwa nguvu rasilimali zetu ikiwemo ardhi ya kilimo na makazi.
Waafrika na nchi zote zilizowahi kutawaliwa na magharibi hatuwezi kubaki neutral kwenye hili kwa kisingizio cha aina yoyote ile. Kukaa kimya ni sawa na kumuunga mkono mtesi wetu ambae baada ya Urusi kuanguka atatuvamia tena.
Kila mtu mwenye akili anakumbuka namna misaada kutoka nchi za Magharibi kwenda nchi maskini na Afrika ilivyopungua ghafla baada ya USSR (Soviet) ilivyoanguka na kupelekea kwisha kwa vita baridi.
Leo hii baada ya kuimarika kwa Urusi na China kiuchumi na kijeshi magharibi wanarudi tena kwetu na misaada mbuzi ili tuwaunge mkono dhidi ya Urusi na China.
Hapa ndipo akina Nyerere, Nkrumah, Mugabe, Gaddafi, nk tunapo wamis.
Sikiliza wanaume waliobaki wanavyowaza kishujaa.
Ila watu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe ndiyo maana mkuu mpya wa JWTZ akachaguliwa? Sasa drones na Himars na Iskander tutazitoa wapi? Uturuki? Maana nasikia nchi nzima kuna mizinga 7 ya zamani na vifaru 14 tu nayo mikweche.