Putin asaidiwe kuikomboa dunia dhidi ya nchi chache za Magharibi

Elimu elimu elimu na uoga wa kipumbavu na upumbavu ni ugonjwa mbaya sana bora ujinga unaweza kujifunza au kueleweshwa
 
Yaani Russia iikomboe dunia? Unachekesha! Tangu lini Russia ikaijali dunia?
Huna tofauti na nyumbu, wako wengi lakini wanakamatwa na Simba mmoja mmoja badala ya kuungana kupambana kwa pamoja. Tangu lini watu waliokuuza kama mtumwa wakageuka kuwa wafadhili wako?

Urusi haijawahi kuitawala hata nchi moja ya Africa Wala kushiriki kwenye biashara ya watumwa.
 
Usilolijua kuwa. Nchi zote duniani zinaishi kama wanyama mwituni.
Usitegemee sungura kumtawala simba.
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo wakati huo wenzako wanarusha vyombo kwenda mwezini kufanya utafiti.
Russia na China haina msaada ktk dunia hii.
1. Nchi gani zinaongoza kutoa misaada ya kifedha
2. Nchi gani inayotoa misaada ya dawa matibabu?
ARV inatoka marekani tena bure.
Uhusiano kati ya Nchi za Magharibi na Afrika ni kama ule wa Simba na swala.
 
Russia unayemsifia ndiyo inaipiga koloni lake sasa hivi.
Russia na China ndiyo nchi hatari sana na hazina msaada wwte
 
Toa upumbavu wako hapa,, marekani ndio alioutengeneza ukimwi na kutuletea. Usidanganywe na dawa marekani hana nia njema zaidi ya maslahi yake
 
Ukimwi umegundulika lini? Tangia kipindi hicho mpaka sasa nchi yako, Russia pamoja na China zimekusaidia nini kukomesha UKIMWI?
Acha ushabiki maandazi msengelema wewe
Toa upumbavu wako hapa,, marekani ndio alioutengeneza ukimwi na kutuletea. Usidanganywe na dawa marekani hana nia njema zaidi ya maslahi yake
 
Viongoz wa Africa ni wezi
 
Una madini, mbuga za wanyama, ardhi safi na maziwa halafu bado masikini kwanini wasikuchukulie?
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo, dhahabu utaweza kichimba?
Hata kwenye ndoa, mwanamke akikizidi hela amekutawala na lazima atakuendesha anavyotaka.
Unaleta huruma kwenye dunia ya Capitalism. Russia huyo anaipiga Ukraine, angekuwa ana roho nzuri asingemvamia
Hao unaowasifia wana msaada ni kwavile tu hujui tu kulinganisha wanachokichukua kutoka kwetu na wanachotuludishia
 
sheet!! we kumbe huna ulijualo, you just a pro-magharibi because of our own gains. Wazungu wanaposema "There is no free lunch" they meant it, Mzungu ni macho komchuzi mkono koubwabwa, Anakupa dola yake 1 wewe unampa zako 1000, yaani " I scratch your back once you scratch my back 1000 times" Mfano, Royal tour ni nani keshapiga pesa mingi kwa project ile mpaka sasa kati ya sisi na wao?
 
Anaipiga UKRAINE sababu anaroho nzuri kwani US wakat anaipiga LIBYA IRAQ na AFGHANISTAN alikua na roho mbaya !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hili hapa
 
Unafikiri Russia na China ni wema sana kuliko Marekani? Unafikiri Russia bado ana mfumo wa socialim? Kama unafikiri hivyo unajidanganya na huu mfumo ushakufa tangu karne ya 19. Tupo kwenye ulimwengu wa Capitalism ndiyo maana unaona leo baada ya Ukraine kuchoshwa na unyonyaji wa Russia amemkimbia ila alichofanya Russia ni kumpiga Ukraine.
Nature haidanganyi siku zote huu mfumo upo hata kwa wanyama.
Mwenye nguvu atamtawala asiye na nguvu.
Kama una madini, mbuga za wanyama, maziwa na ardhi safi halafu bado masikini kwanini wenye uhitaji wasije kuchukua hata kwa udanganyifu.
Subiri siku ukiwa kavulana ndiyo akili zitarudi ila sasa ni kavulata hujui chochote.
 
Sasa kama unajua nature haidanganyi mnalalamika nini juu ya RUSSIA
kaeni kwakutulia nature iendelee kufanya kazi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya nyinyi wafrika mnafikiri bado mnaishi kwenye zama za mawe na kuoneana huruma.
Kama wewe hauna uwezo wa kuchimba unafikiri nani akuchimbie na mgawane faida sawa? Ukumbuke Wazungu na Waarabu walitutawala unafikiri kwasasa ndiyo wanatupenda sana?
1. Mejaza viongozi wenye tamaa za mali na kujiangalia wenyewe
2. Mfumo wenu wa elimu mbovu unafuata mtaala wa kikoloni
3. Sheria na katiba zenu za mwaka 1960 ni mbovu na zimepitwa na wakati
4. Wananchi wenyewe hawajielewi wanawaona viongozi kama miungu watu. Baadala ya kuchagua viongozi bora na wenye kulikomboa taifa wao wanachagua chama.
Usilolijua siku zote dunia haipo sawa 100%.
Kasome
A. Kingdom na Chiefdom
Hapa kuna expansion of Kingdom. Kingdom moja inavamia weak kingdom, inaua na kunyang'anya ardhi. Hapa ni kabla ya ukoloni na hawa ni wafrika. Unategemea mtu aliyeleta dini na slave trade akuonee huruma
B. Capitalism na pamoja na Phase zake
C. Neo-Colonialism
 
Tutashinda tu,mwanaume mmoja dhidi 30 wamepoteana!
Unalosema liko wazi.Kwa kweli sehemu kubwa ya dunia tumekuwa tukiumizwa na ujanja,ushenzi na ubabe wa nchi za magharibi kwa wanavlyotufanyia au wanavyowafanyia rafiki zetu na hatukuwa na namna ya kujinasua.Kama kapatikana mbabe mwenzao na jeuri kuliko wao lazima tuwe upande wake..Mwenyezi Mungu daima huwa anasikia kilio cha wanyonge na hujibu kwa muda na namna aipendayo.
 
Kumbe ndiyo maana mkuu mpya wa JWTZ akachaguliwa? Sasa drones na Himars na Iskander tutazitoa wapi? Uturuki? Maana nasikia nchi nzima kuna mizinga 7 ya zamani na vifaru 14 tu nayo mikweche.
Ila watu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…