True saying [emoji419][emoji419][emoji419]Dictator ni yule alietumia Nuclear kuuwa maelfu ya watu, dictator ni yule alietoka miles kwenda kuuwa watu Iraq, dictator ni yule alietoka miles kwenda kuuwa watu Somalia, Libya, dictator ni yule anawagawa watu kwa kuwatisha eti kama hawajaasi atawaekea vikwazo, dictator ni yule anaepora mali za watu kwa kutumia nguvu( kuiba mafuta) dictator ni yule anaenahisha vikundi vya kigaidi kama IS, UKRO NAZIST nk
Leo Putin kulinda mipaka yake dhidi ya magaidi wa nato ni udicteta??
Second class citizens[emoji23][emoji23][emoji23] Nimekumbuka hela ya makinikia kila mtanzania kununua gari.
Black people ni hasara duniani.
Swala ni Urusi aache kumpiga Ukraine, hapo ndo amani itatawala tofauti na hapo tutegemee anguko kubwa la uchumi, kuanzia watu hadi serikaliKweli kabisa mkuu,tuanze kukubaliana kuwa sisi wenyewe ni matatizo makubwa, Tanzania [emoji1241] tunategemea 30%ya wheat kutoka Ukraine na Russia, kabla ya kuombea hii vita iishe ili makali ya kimaisha Yapungue including fuel price ndio kwanza kuna ushabiki wa kishenzi unaendelea humu jukwaani, miaka zaidi ya 60 ya kujitawala but still hatujitegemei kwa budget yetu!,na tuelewe ni EU wanaochangia kwa kiwango kikubwa hili so called pan African parliament!,Tanzania tumetoa mchango wetu?debate for another day na kituko kingine Speaker ametokea Zimbabwe!
Wakati hao magharibu ndo wanawapa misaada ya bureUhusiano kati ya Nchi za Magharibi na Afrika ni kama ule wa Simba na swala.
Na wale wanaojilipua kule afghan ni nato?Dictator ni yule alietumia Nuclear kuuwa maelfu ya watu, dictator ni yule alietoka miles kwenda kuuwa watu Iraq, dictator ni yule alietoka miles kwenda kuuwa watu Somalia, Libya, dictator ni yule anawagawa watu kwa kuwatisha eti kama hawajaasi atawaekea vikwazo, dictator ni yule anaepora mali za watu kwa kutumia nguvu( kuiba mafuta) dictator ni yule anaenahisha vikundi vya kigaidi kama IS, UKRO NAZIST nk
Leo Putin kulinda mipaka yake dhidi ya magaidi wa nato ni udicteta??
Umeishiwa hoja[emoji14][emoji14][emoji14]Baada ya nchi walizozipenda kupigwa. Tumaini lao likawa Iran na sasa Russia. Utasikia hata China japo anaendelea kuwanyanyasa ndugu zao
Acha uanguke tuuuuSwala ni Urusi aache kumpiga Ukraine, hapo ndo amani itatawala tofauti na hapo tutegemee anguko kubwa la uchumi, kuanzia watu hadi serikali
Dikteta ni yule anayetawala kwa mkono wa chuma huku akiminya wapinzani wake wa kisiasa na kubadilibadi katiba ili aendelee kubakia madarakani, Mfano Mseveni, Putin, Kagame, nkDictator ni yule alietumia Nuclear kuuwa maelfu ya watu, dictator ni yule alietoka miles kwenda kuuwa watu Iraq, dictator ni yule alietoka miles kwenda kuuwa watu Somalia, Libya, dictator ni yule anawagawa watu kwa kuwatisha eti kama hawajaasi atawaekea vikwazo, dictator ni yule anaepora mali za watu kwa kutumia nguvu( kuiba mafuta) dictator ni yule anaenahisha vikundi vya kigaidi kama IS, UKRO NAZIST nk
Leo Putin kulinda mipaka yake dhidi ya magaidi wa nato ni udicteta??
Leo Putin kulinda mipaka yake dhidi ya magaidi wa nato ni udicteta??
Hiyo ilikuwa USSR na wapiganaji toka Ukraine ndani ya jeshi la USSR inakadiriwa walikuwa zaidi ya 60%. Ukraine miaka yote ndiyo ilikuwa kitovu cha maendeleo ya USSR. Ndio maana kujitenga kwake kunampa homa sana Putin. Enzi hizo ndani ya USSR itikadi ya ukomunisti ilikuwa moto chini ya uongozi wa mkono wa chuma wa Stalin.Ww vita ya pili ya dunia ni nani alipambana kwa nguvu kubwa mpaka wajerumani wakasanda km hujui ni Mrusi na ndo alitoa jeshi kubwa kuliko mataifa mengine ...Jamani muwe mnasoma ...mna simu kubwaaa ila hata hamzitumii kutafuta maarifa
NgonjelaHiyo ilikuwa USSR na wapiganaji toka Ukraine ndani ya jeshi la USSR inakadiriwa walikuwa zaidi ya 60%. Ukraine miaka yote ndiyo ilikuwa kitovu cha maendeleo ya USSR. Ndio maana kujitenga kwake kunampa homa sana Putin. Enzi hizo ndani ya USSR itikadi ya ukomunisti ilikuwa moto chini ya uongozi wa mkono wa chuma wa Stalin.
Pamoja na hilo Urusi ya leo ni nyingine sana. Imeshikiliwa na Kremlin inayobebana na oligarchs (mabepari wa kuchongwa) kufisidi nchi kwa kushirikiana na mabeberu wa US na Ulaya! Ni watu wa bata la matrilioni. Huwakosi kwenye top resorts za dunia. Ni kizunguzungu tu.
Hivyo, kutafuta ushirika na Urusi ni kama kucheza kamari ambayo lazima uliwe.
Whatβs that? βNgonjelaβ?Ngonjela
Imran Khan is a failure in PakistanHakuna ubishi kuwa nchi za Magharibi zimejengwa kwa rasilimali kutoka mataifa mengine na watumwa. Mahitaji yaliyosababisha nchi za magharibi kutafuta makoloni na watumwa hayajakwisha hata kidogo, ile kiu ya kuzitawala nchi nyingine bado wanayo, na iko siku moja (sio mbali) watatumia NATO kutupora kwa nguvu rasilimali zetu ikiwemo ardhi ya kilimo na makazi.
Waafrika na nchi zote zilizowahi kutawaliwa na magharibi hatuwezi kubaki neutral kwenye hili kwa kisingizio cha aina yoyote ile. Kukaa kimya ni sawa na kumuunga mkono mtesi wetu ambae baada ya Urusi kuanguka atatuvamia tena.
Kila mtu mwenye akili anakumbuka namna misaada kutoka nchi za Magharibi kwenda nchi maskini na Afrika ilivyopungua ghafla baada ya USSR (Soviet) ilivyoanguka na kupelekea kwisha kwa vita baridi.
Leo hii baada ya kuimarika kwa Urusi na China kiuchumi na kijeshi magharibi wanarudi tena kwetu na misaada mbuzi ili tuwaunge mkono dhidi ya Urusi na China.
Hapa ndipo akina Nyerere, Nkrumah, Mugabe, Gaddafi, nk tunapo wamis.
Sikiliza wanaume waliobaki wanavyowaza kishujaa.
DuhToa upumbavu wako hapa,, marekani ndio alioutengeneza ukimwi na kutuletea. Usidanganywe na dawa marekani hana nia njema zaidi ya maslahi yake
π€£π€£π€£π€£π€£ππππππKwanini Tanzania tusitangaze kujiondoa Duniani
Sawa nenda jeshi la Canada ukachukue sketi yako na blauzi uongoze vitani kuitetea UkraineDunia haiwezi kusaidia dicteta.
UliPokuwa unaomba uhuru na kujitawala ulifanya hivyo kwa kazi gani kama still ujajiPanga kujitegemea?Usilolijua kuwa. Nchi zote duniani zinaishi kama wanyama mwituni.
Usitegemee sungura kumtawala simba.
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo wakati huo wenzako wanarusha vyombo kwenda mwezini kufanya utafiti.
Russia na China haina msaada ktk dunia hii.
1. Nchi gani zinaongoza kutoa misaada ya kifedha
2. Nchi gani inayotoa misaada ya dawa matibabu?
ARV inatoka marekani tena bure.
Watu wanaiba madini na rasilimali.worth trillions halafu watanzania wanakufa njaa mahali. Serikali inajiondoa kwenye Equation. Huo uPumbavu utaondolewa na warusi sasa baada ya magharibi kushindwa.Una madini, mbuga za wanyama, ardhi safi na maziwa halafu bado masikini kwanini wasikuchukulie?
Miaka 50 ya uhuru unahangaika na matundu ya choo, dhahabu utaweza kichimba?
Hata kwenye ndoa, mwanamke akikizidi hela amekutawala na lazima atakuendesha anavyotaka.
Unaleta huruma kwenye dunia ya Capitalism. Russia huyo anaipiga Ukraine, angekuwa ana roho nzuri asingemvamia
Urusi na China wameivamia nchi ipi? Wao wanakuuzia huduma, bidhaa na kununua za kwako kwa makubaliano, hawakulazimishi kununua Wala kuuza, ni hiari yako. Lakini Magharibi wanapora kwa nguvu. Mizozo yote huko Congo, Mali, Iraq, Libya, Syria, Afghanistan, Vietnam, Pakistan, Africa ya Kati, Ethiopia, Sudan, Yemen, hongkong, nk ni Magharibi tyuuu kutaka kupora kwa nguvu kupitia NATO.Unafikiri Russia na China ni wema sana kuliko Marekani? Unafikiri Russia bado ana mfumo wa socialim? Kama unafikiri hivyo unajidanganya na huu mfumo ushakufa tangu karne ya 19. Tupo kwenye ulimwengu wa Capitalism ndiyo maana unaona leo baada ya Ukraine kuchoshwa na unyonyaji wa Russia amemkimbia ila alichofanya Russia ni kumpiga Ukraine.
Nature haidanganyi siku zote huu mfumo upo hata kwa wanyama.
Mwenye nguvu atamtawala asiye na nguvu.
Kama una madini, mbuga za wanyama, maziwa na ardhi safi halafu bado masikini kwanini wenye uhitaji wasije kuchukua hata kwa udanganyifu.
Subiri siku ukiwa kavulana ndiyo akili zitarudi ila sasa ni kavulata hujui chochote.