Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Unaweza kufafanua neno kushindwaPutin hii vita ishamshinda ila kwa kuwa ana asili ya ujeuri anaona aibu kurejea nyuma. Kwa mkwala alioanza nao hakutarajia kama angefika muda huu hajakamilisha huo upuuzi wake anaoita special mission. Wanajeshi wake wamekufa kwa mamia mpaka anaazima wa kwa Kim. Sasa ruhusa ya Biden jana target yake kubwa ni hao wafumba macho kutoka kwa Kim