Putin atia saini agizo la kuruhusu vigezo zaidi vya matumizi ya silaha za nyuklia

Putin atia saini agizo la kuruhusu vigezo zaidi vya matumizi ya silaha za nyuklia

Putin hii vita ishamshinda ila kwa kuwa ana asili ya ujeuri anaona aibu kurejea nyuma. Kwa mkwala alioanza nao hakutarajia kama angefika muda huu hajakamilisha huo upuuzi wake anaoita special mission. Wanajeshi wake wamekufa kwa mamia mpaka anaazima wa kwa Kim. Sasa ruhusa ya Biden jana target yake kubwa ni hao wafumba macho kutoka kwa Kim
Unaweza kufafanua neno kushindwa
 
Russia imeshaanza kuchakazwa 🤩 😍 🤩 😍 🤩 😍 🤩 😍

Ukraine fired missiles at Russia for the first time with Biden's permission. "Today, for the first time in history, the AFU struck a military facility on Russian territory with US ATACMS missiles."View attachment 3156080
Yes it is.

Good for the Jews is good for the gunners, and bad for the Jews is bad for the gunners.
 
Unadhani putin anataka nuclear kutua kwake. Yeye mwenyewe anajua outcome, anachofanya ni intimadation tacticts lakini in reality hakuna ambae anataka kutumia hiyo kitu, hakuna upande uta survive
Acha kudanganya rafiki, kama isingewahi kutumika tungeamini usemayo, US keshayatumia Wajapan wapo wanadunda na bado wanamwaga MATOYOTA kila siku na nchi yao ni ndogo mno sembuse Russia ilivyo kubwa wasinusulike!!.
 
Acha kudanganya rafiki, kama isingewahi kutumika tungeamini usemayo, US keshayatumia Wajapan wapo wanadunda na bado wanamwaga MATOYOTA kila siku na nchi yao ni ndogo mno sembuse Russia ilivyo kubwa wasinusulike!!.
it seems hujui at what condition aliyatumia na baada ya kuyatumia mikataba iliyo kuwa made between US na japan.
Madhara waliyo yapata japan mpaka leo

Kasome upya tena, ile si mizinga unajipigia tu, ku set of rules and conditions
 
it seems hujui at what condition aliyatumia na baada ya kuyatumia mikataba iliyo kuwa made between US na japan.
Madhara waliyo yapata japan mpaka leo

Kasome upya tena, ile si mizinga unajipigia tu, ku set of rules and conditions

Kama sijuwi inakuwaje niitaje nchi iliyolipuliwa. Rejea andiko lako mstari wa mwisho, "umesema hakuna upande uta survive" ndipo nikakukumbusha nchi hiyo walishayaoga wapo, wamesurvive. Nisome upya kitu gani, ndugu kiswahili hiyo ni mizinga inategemea unataja aina gani ya mzinga.
 
Serikali ya Russia imeadhimisha matumizi ya nuclear dhidi ya Ukraine....azma hii imetokana na raisi wa marekani kutoa silaha za masafa marefu yenye kupiga ndani ya Russia

Ni Bora trump aingie madarakani pengine hii vita itaisha
‼️BREAKING:
Hii ni kwa yeyote atakeshambulia Urusi au Belarus


🇷🇺 The president of the Russian Federation, Vladimir Putin has just given orders for the use of Nuclear weapons in events of a conventional western backed attack by Ukraine on Russia or Belarus.
 

Attachments

  • IMG_20241119_163613.jpg
    IMG_20241119_163613.jpg
    283.3 KB · Views: 5
Tulia wewe huyo putin ashapasha moto sana hizo nyuke lakini kufyatua anaogopa mwaka wa 3 sasa, putin 10 shika 1, nuclear hanazo peke yake jamaa washamtamthmini kama achapika.
BREAKING:

Russia issues a warning to NATO.

If NATO missiles are fired against Russia, it will mean World War III.
 
Unadhani putin anataka nuclear kutua kwake. Yeye mwenyewe anajua outcome, anachofanya ni intimadation tacticts lakini in reality hakuna ambae anataka kutumia hiyo kitu, hakuna upande uta survive
Mrusi haogopi vita,,,wanaoogopa kuguswa kwao ni wamagharibi ndo maana wanapendaga sana proxy wars watumie nchi za wengine kupigana vita zao ,mrusi utamgusa ila pia na wewe uwe na uhakika kabisa kwako atakufikia,......hayo mambo nchi nyingi za magharibi hawataki
 
Sipendi mijadala na watu wenye akili ndogo/ufahamu mdogo wa mambo.

Ungekuwa na ufahamu juu ya huu mgogoro ungeelewa kwanini nimesema mji wa Kursk pekee ndani ya Russia.

Walau ungeuliza kwanini nimesema Kursk basi!
Wamepiga ndan ya Russia sio kursk
Sipendi mijadala na watu wenye akili ndogo/ufahamu mdogo wa mambo.

Ungekuwa na ufahamu juu ya huu mgogoro ungeelewa kwanini nimesema mji wa Kursk pekee ndani ya Russia.

Walau ungeuliza kwanini nimesema Kursk basi!
 
Serikali ya Russia imeadhimisha matumizi ya nuclear dhidi ya Ukraine....azma hii imetokana na raisi wa marekani kutoa silaha za masafa marefu yenye kupiga ndani ya Russia

Ni Bora trump aingie madarakani pengine hii vita itaisha
Anadhan wenzake hawana hzo nyuklia
 
Mrusi haogopi vita,,,wanaoogopa kuguswa kwao ni wamagharibi ndo maana wanapendaga sana proxy wars watumie nchi za wengine kupigana vita zao ,mrusi utamgusa ila pia na wewe uwe na uhakika kabisa kwako atakufikia,......hayo mambo nchi nyingi za magharibi hawataki
Russia haogopi Vita???
 
Wamepiga ndan ya Russia sio kursk
Tunasubiri tuone vita vya nuclear tulisimuliwa vya Hiroshima na Nagasaki sasa watakao salimika watasimulia vyema sio ushabiki
Tem hii atajulikana mbabe
Miaka ya 1970 tukiwa wadogo
Walitambia Leonard Bresinav wa USSR
Sehemu moja ikiwa ni Russia ya sasa hata Ukraine ikiwa moja ya state's za USSR na Nixon wa USA Nani aanze kubonyeza kitufe
Kwa kuto kujua hawa walikua marafiki katika vita vya pili vya dunia USA alimuokoa Russia dhidi ya Nazis Adolf hitra
Kwa kukuongezea Germany inakumbuka machungu ya kupoteza pambano huenda inataka Ku revenge kupitia Ukraine sasa ni mshirika wa USA
ule msemo hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ndiyo maana yake
 
Sipendi mijadala na watu wenye akili ndogo/ufahamu mdogo wa mambo.

Ungekuwa na ufahamu juu ya huu mgogoro ungeelewa kwanini nimesema mji wa Kursk pekee ndani ya Russia.

Walau ungeuliza kwanini nimesema Kursk basi!
Ukraine na mshirika wake(serekali ya biden) wameshajua kwamba, iwe iwavyo, trump akiingia madarakani, ni lazima atafosi mazungumzo baina ya putin na zele.

Jimbo la kursk ni karata nzuri sana katika mazungumzo yao, hivyo zele na Biden wanataka watumie hiki kipindi kidogo cha Biden kilichobaki, kuikamata kursk atleast hata trump akiingia madarakani wao na kuleta mambo ya mazungumzo, jimbo la kursk litakua chini ya ukraine
 
Russia haogopi Vita???
Angekua analamba miguu wamagharibi kwa kila vikwazo/vitisho wanavyompa,,,,,,uzuri hawajui kuwanyenyekea hao wamagharibi kama watu/mataifa mengine...................kikubwa wapige tu hadi moscow mambo yaharibike zaidi vita ya 3 ianze,, sie wa buza tunangoja kucheki muvi tena hii itakua nzuri
 
Back
Top Bottom