Putin atia saini agizo la kuruhusu vigezo zaidi vya matumizi ya silaha za nyuklia

Biden karuhusu makombora yapige sehemu ya Kurks jimbo ambalo sehemu yake moja ndipo yalipo majeshi ya Ukraine.

Zelensky yeye kaamua kupiga Bryansk ambalo ni jimbo jingine la Russia ambalo ipo ghala kubwa la silaha. kwa mujibu taarifa za kijasusi za NATO na Marekani. Lengo la Zele ni kutaka kuzivuta nchi za NATO zijiingize kwenye hiyo vita jambo ambalo litapelekea vita ya tatu ya Dunia na Russia hawataki hali hiyo itokee.

Tukumbuke Ukraine haina uwezo wa kutumia vifaa na mitambo hiyo wao hupewa taarifa na kijasusina kisha wale operators huanza kazi kuset mitambo na kuweka kila kitu sawa zikiwemo passwords ili kurusha makombora. hayo.

Putin kusaini hiyo doctrine si kwamba Russia watatumia mabomu ya nyuklia bali ikibidi watatumia tactical nyuklia ambazo zitatumiwa dhidi ya majeshi ya Ukraine ndani ya uwanja wa vita.

Tukumbuke hizi tactical nyuklia zabeba kichwa chenye bomu la nyuklia lakini bomu lenyewe laweza kuwa ni torpedoes, kombora lamasafa mafupi aubomu la kuchima (gravity bomb) na kiukweli haya mabomu ya tactical yapo ya aina nyingi na Russia anazo zote.

Kwanini Russia amebadili hiyo doctrine pia ni kwa sababu wao NATO na Ukraine wameamua kutumia mabomu ya masafa marefu kwasababu mabomu hayo si ya kutumika katika uwanja wa vita bali ndani ya nchi husika na ndo tumeona wamefanya hivyo.

Kwa kuwa pia Russia ana mabomu ya kistratejia (strategic nuclear weapon) hawezi kutumia mabomu hayo isipokuwa kama ndo wameamua dunia imalizwe.
 
Hizi habari tushazizoea tangu mwanzoni kabisa mwa vita hakuna cha ajabu
 
Ikiwa Ukraine ameikamata Kursk mpaka sasa kwa silaha za kawaida bila kutumia heavy weapons, basi Russia ni jeshi la kawaida tu ila tofauti ni kwamba wana Nuclear weapons.
 
Putin ana Mikwala Sana, akiona Kuna Viashalia vya kumpiga Mande...

Basi kesho anaitisha Press, anawaambia Makamanda kesho anzeni kufuta Vumbi silaha zetu za Nyuklia.

Western na USA wakisikia hivyo, wanatulia kwanza...! Sasa naona wameshampimia wamemuona anajaa mkononi, USA karuhusu Ukraine atumie Missile zinaenda Umbali mrefu...!

Jana Ukraine kaanza kuachilia Vyombo ueleo ndani ya Russia, naye Putin akaanza kufunga Mitaani Vifaa vya kuwakinga Raia wake dhidi ya Mionzi ya Nyuklia.
 
Putin ni maneno mengi ila uthubutu wa kusimamia maneno yake hana!

Binafsi nilikuwa namuona jembe sana ila kwa sasa naanza kumtilia mashaka! Ana mikwara mingi sana!

Na kitu kingine ulichokisahau kuhusu mikwara ya Putin kusaini waraka kuhusu matumizi ya nuclear. Leo atatia waraka huu! Kesho kutwa mwengine n.k
 
Sahihi.. Mikwala yake imesaidia kuchelewa kushambuliwa...!

Yani yeye ndo Mwenye haki ya kuwashambulia Ukraine ndani ya Nchi Yao...!
Ila Ukraine hawana haki ya kumshambulia ndani ya Nchi yake.
 
Hahahaha 🤣 🤣 🤣
 
Kwahiyo Biden akiruhusu hizo silaha kufika Russia ndio Ukraine atashinda?

Mbona anampa Israel kila aina ya silaha ila mpaka leo wameshindwa kuwamaliza Hamas wala kurudisha mateka wao?
Ndio waje kuweza kwa Russia?
Sasa gaza imebaki nini pale mmebaki kujifajiri tu na kulia lia mauaji ya kimbari
 
Biden make sure Dunia inapasuka kabla ya December
 
Serikali ya Russia imeadhimisha matumizi ya nuclear dhidi ya Ukraine....azma hii imetokana na raisi wa marekani kutoa silaha za masafa marefu yenye kupiga ndani ya Russia

Ni Bora trump aingie madarakani pengine hii vita itaisha
Wafia dini wanavyomteteaga putin utafikiri mtume wao
 
Sasa gaza imebaki nini pale mmebaki kujifajiri tu na kulia lia mauaji ya kimbari
Tumia akili japo kidogo tu,
Kushinda jambo lolote lile au kua na mafanikio ya jambo lolote lile ni kukamilisha malengo uliyojiwekea kwenye jambo hilo,

Malengo ya vita ya Gaza ilikua ni kuwaokoa mateka na kuwamaliza Hamas,hayo yote hayajafanikiwa.
 
Ikiwa Ukraine ameikamata Kursk mpaka sasa kwa silaha za kawaida bila kutumia heavy weapons, basi Russia ni jeshi la kawaida tu ila tofauti ni kwamba wana Nuclear weapons.
Duuh kumbe Kursk mpaka Leo Iko mkononi mwa Ukraine?

Supapawa anatia aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…