Putin Atuma Ujumbe kwa India Baada ya Kumtusi Mtume Mohammad. Je, Biashara ya Mafuta Kati ya Urusi na India Kukwama?

Mnahangaika sana na bwn Putina!
 
Ndo ashatukanwa sasa mtafanya kile qoran imewaamrisha?
Jaribuni wahindu wawatoe marinda
Mimi sina dini usijisumbue hata wakimtukana mudi au yesu mm siusiki hapo ...mm najua mungu yupo ila binafsi sina dini sijawai kwenda msikitini wala kanisani wala kwa mganga wa kienyeji maisha yangu yote hata siku moja
 
Anatafuta huruma ya waislamu na sapoti ya makundi ya kigaidi.
 
km Napoleon alieza kuwajibishwa , Putin ni nan ? kiongoz wa taifa dhaifu tu ambalo lina migawanyiko ndan yke tyr
 
upo OP kbs , umejibu kimahaba wala hujaishirikisha akili yako , hoja ya jamaa hajasema kuwa Putin anategemea sapoti ya waislamu tu ,, elewa acha uzuzu
 
jiulize Mudi alitoa wap haki ya kuendesha vita vya kumpigania mungu , je huyo mung wenu hana uwezo wa kujipigania ?
 
Sasa ulitaka awasifie hao wahindi? kule Russian federation kuna waislamu wengi ambao ni raia wa Urusi, hivyo hakuna ubaya Putin kutoa maoni yake, halafu kuhusu kupiga makanisa mbona hata Syria kule Putin alisambaratisha misikiti!!! vita haina macho
 
Kama hakuna ubaya, kwa nini hajalaani mauaji ya watu huko kanisani Nigeria
Kule Nigeria angemlaani nani watu wenyewe wahuni wale wauaji, lakini yule wa India ni kiongozi mkubwa sana
 
Pramila Patten, afisa wa UN, ambaye anahudumu kama Mwakilishi Maalum wa UN kuhusu Unyanyasaji wa Kijinsia katika Mizozo na Naibu Katibu Mkuu wa UN asema kuwa shutuma za askari wa [emoji635] kubaka wanawake huko Vinnytsia na Zakarpattier ni Uongo sababu Wanajeshi hawakuwepo maeneo ayo. https://t.co/wr7qD8XSsL
 
Kwahiyo unamaanisha Putin kaingia Ukraine hili awafurahishe na kuungwa mkono na waislamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…