Putin Atuma Ujumbe kwa India Baada ya Kumtusi Mtume Mohammad. Je, Biashara ya Mafuta Kati ya Urusi na India Kukwama?

Putin Atuma Ujumbe kwa India Baada ya Kumtusi Mtume Mohammad. Je, Biashara ya Mafuta Kati ya Urusi na India Kukwama?

Hitler mwanzon alikuwa anaonesha dalili za kuishinda vita aliyoianzisha sabab akikinzana na mataifa ambayo yalionekana kuitawala dunia kimabav , ila mataifa aliyochagua kushirikiana nayo ndo yalimponza sabab yalikuwa na skendo chaf , the same Putin anarudia mwaka 2022
Ilichukua muda gani tangu Hitler afanye hicho kitendo?
Tunataka tupime na kwa Russia muda wake wa kushindwa hiyo operation ya Ukraine
 
Sehemu kubwa ya Urusi yanakotoka mafuta ni sehemu inayokaliwa na Waislam,sehemu inayoitwa Chechnia..

Tutake,tusitake Mungu kawapa utajiri wa Raslimali ya Mafuta Waislam dunia nzima,

Mtwara,Pemba ya Tanzania,Pemba ya Msumbiji,Nigeria sehemu zenye mafuta ni sehemu wanazokaa Waislam,Bornei,Falme za Kiarabu,Oman,..nk

Hali ya kuwa kila kwenye mafuta ni sehemu ya Waislam aliiona muingereza mmoja anaitwa Green, kitu hicho kilimfanya Mr Green kuukubali Uislam

Wanajeshi wa Kirusi wenye asili ya Kichechnia,ambao ni Waislam wako bega kwa bega mstari wa mbele kwenye vita vya Ukraine..

Kwasababu hiyo Putin lazima ausimamie Uislam
Nigeria mafuta yapo kusini. Waislam wapo kaskazini. Get your facts straight.
 
Putin Ni mpumbafu Sana yey ndio kasababisha mdodoro wa uchumi duniani

Covid imetoka tukasurvive hatujaa kaa sawa puttin anapeleka wanajeshi laki moja mpakani mwa ukraeni Kama vile uatani sas HV Ni Vita siku 130 imekata na bado ndio Kwanza Vita ipo ktk initially stage
 
Putin anajikuta mjanja sana, ameona katengwa, sasa amegeukia sympathy ya dini, na kwl ataipata ila haitamsaidia.
Putin anatafuta uungwaji mkono kwenye ulimwengu wa kiislamu.....anachanga karata zake kwa makini.
 
Niliwahi kuandika humu kwamba hapa JF asilimia 90 ya wanaomuunga mkono Putin ni Waislam na nikatoa na sababu ila moderators walifuta ule uzi.

Wengi wanaamini hivyo kwamba Putin analipiza madhira ambayo muslims na nchi za kiislamu wamekuwa wakiyapata wanyaodai chanzo chake ni Marekani na washirika wake.

Putin, Yesu na dini ya Roman catholic inakashfiwa na Waislam kibao lakini hajawahi kukemea wala kulaani hadharani namna hii, Putin ameteketeza makanisa na Wakristo kibao Mariupol Ukraine licha ya Papa kumuomba asifanye hivyo.

India ambayo zaidi ya 78.9% ni Hinduism, baada ya kumtusi mtume mohammad, Putin ameibuka haraka na kulaani. Najua amefanya hivyo ili kupata sapoti ya Waislam na nchi za Kiislamu ulimwenguni.

Putin anatafuta uungwaji mkono kwa kutumia dini, anaona ametengwa na dunia.

Baada ya kasoro hizi za kidiplomasia Kati ya Urusi na India zilizoanza kujitokeza, je soko la mafuta alilokusudia kulipata india hapo badae, baada ya nchi EU kutangaza Kuachana na gesi na mafuta yake halitaathiriwa?

Ikumbukwe msuguano huu baina ya India na UEA, ulianza mapema December 2021.
_________________


Nabii Muhammad: Putin atuma ujumbe kwa India baada ya kumtusi Mtume Mohammad

Mataifa ya kiarabu yamelaani vikali matamshi yenye utata yaliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India BJP Nupur Sharma kumuhusu Mtume Muhammad, kulingana na mitandao ya kijamii , na Rais wa Urusi Vladimir Putin pia ameelezea kutofurahishwa kwake na matamshi yenye utata kumuhusu Mtume Mohammad katika serikali ya India.

Kauli za Putin zimesambazwa sana katika mitandao ya kijamii nchini India pamoja na nchi za Kiarabu kwa kipindi cha saa 24 zilizopita baada ya Putin aliyeishauri India wakati wa mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari, alisema, "Matusi dhidi ya Mtume Mohammad ni ukiukaji wa uhuru wa dini na kuwakashifu Waislamu. "

Kauli za Bw Putin zimesambazwa pakubwa katika mitanda ya kijamii hususan Twitter, ambapo zimeshirikishwa zaidi ya mara 50,000 nchini India na katika Ulimwengu wa Kiarabu.

Nini alichosema awali Putin kuhusu Uislamu na Mtume Muhammad.

Kulingana na taarifa za vyombo vya habari, Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari Disemba 23 mwaka jana, alisema taarifa kuhusu kibonzo tata cha Charlie Hebdo nchini Ufaransa.

Alisema kuwa: "Sio sehemu ya sheri aya uhuru wa kuzungumza kwamba kila mmtu anafikiri anaweza kuelezea maoni yake vyovyote atakavyo."



"Matusi dhidi ya Mtume yanakiuka uhuru wa kuabudu na kukiuka hisia za Waislamu ," Putin alinukuliwa na Shirika la habari la Urusi TASS.
Rais Putin amesisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo vinaweza kusababisha ulipizaji kisasi wa makundi yenye itikati kali kama vile shambulio dhidi ya ofisi za gazeti la Charlie Hebdo mjini Paris baada ya kuchapisha vibonzo vilivyodaiwa kumdhalilisha Mtume Mohammad.
Aliwataka watu wa Urusi kuheshimu tamaduni na dini za kila mmoja wao, na kuongeza kuwa nchi yake ni "tofauti sana" na tofauti na maeneo mengine ya duniani.

Milki za Kiarabu (UAE), Oman, Indonesia, Iraq, Jordan, the Maldives, Bahraine, Libya na Bahrain ni miongoni mwa nchi zilizokokatika orodha ya Mataifa ya Kiarabu ambazo zimelaani kauli iliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala cha India.

Mapema, taarifa hiyo ililaaniwa na Kuwait, Iran na Qatar na kuwaita mabalozi wa India kuelezea hasira yao. Saudi Arabia pia ililaani taarifa hiyo Jumatatu wiki hii.

Wanadiplomasia wa India wamejaribu kutuliza hasira ya matataifa haya ya Kiarabu, kwani wana mahusiano ya kirafiki ya muda mrefu nan chi hizi - lakini juhudi zao zimeishia patupu.

Nupur Sharma,ambaye ni Msemaji rasmi wa chama tawala cha Bharatiya Janata (BJP), alitoa kauli hizo kwenye mdahalo wa televisheni, na afisa mkuu wa habari wa chama hicho Naveen Jindal, akatuma kauli hiyo kwenye mtandao wa Twitter.

Kauli hizi hususan za M Sharma - zimewaudhi hususan Waislamu ambao ni wachache nchini India, na kuibua maandamano katika maeneo mbali mbali katika baadhi ya majimbo.

Maafisa wawili walitoa taarifa ya kuomba msamaha na chama kikamsimamisha kazi kwa muda Sharmaa.

Chanzo

Russians wengi wanaamini kwenye Orthodoxism, ni aina ya ukristo ambao siyo huu tulio nao kwetu. Nafikiri hata Putin imani yake iko humo.
 
Putin hana haki ya kutoa mdomoni kwake chenye maana muuaji mkubwa... kumsikiliza Putin ni sawa na kumsikiliza Shetani eti akitoa maneno ya busara... akasome vizuri Koran inasema nini kwa wasio Waislam... na ajue India kule Waislam walijitenga na kuunda nchi yao wakajiita pakistan ili india ibaki na Hindu na dini zingine like Christians na wao Muslim wawe na Muslim country kama waarabu Pakistan so Muslim hana haki ndani ya India sababu marishiano yalifanyika kwa haki
 
Nigeria mafuta yapo kusini. Waislam wapo kaskazini. Get your facts straight.
Hilo eneo litakiwa likikuwa la Waislam,Mungu kawaahidi kiwalinda Waislam kwa utajiri wa rasilimali alizoziumba,hayo yameandikwakwenye katika kitabu cha Quran.
 
Hilo eneo litakiwa likikuwa la Waislam,Mungu kawaahidi kiwalinda Waislam kwa utajiri wa rasilimali alizoziumba,hayo yameandikwakwenye katika kitabu cha Quran.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Waislam bwana
 
Hivi watu mnachukulia poa sana biashara ya mafuta eti!! mafuta ni bidhaa inayouzika kokote kule... akikataa India kuna makampuni mengi yanafanya biashara hata isyo halali yatanunua tu na kuuza huko India na Ulaya..
Watu wanachukulia biashara ya mafuta kama kuku wa KFC au njegele za mbeya zikfka sokon zimeoza unatupa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Waislam bwana
Habari ndio hiyo,soma aya za Quran utajionea mwenyewe vipi Mungu ameahidi kuwalinda Wenye imani ya Kiislam..

Wese Mungu kalimwanga maeneo yanayokaliwa na Waislam kwa wingi..
 
Habari ndio hiyo,soma aya za Quran utajionea mwenyewe vipi Mungu ameahidi kuwalinda Wenye imani ya Kiislam..

Wese Mungu kalimwanga maeneo yanayokaliwa na Waislam kwa wingi..
Kwahiyo mafuta ni ya Waislam tu siyo[emoji23]
 
Ilichukua muda gani tangu Hitler afanye hicho kitendo?
Tunataka tupime na kwa Russia muda wake wa kushindwa hiyo operation ya Ukraine
Hitler alisurvuve miaka mitatu on peak then akaanz kurudishwa nyuma
 
Haya muda wa mazombi kwenda kujiunga kwenye jeshi la Urusi....
 
Back
Top Bottom