Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba mwenyewee kidume cha mashoga wa west😅😅😅 hajaanza leo mwamba
Hiyo ndo kazi yao alafu tambua kuwa jeshi halilei kufa ni ajali kaziniAnawaalika wakati yeye kajifungia Kremlin anakula kuku...wanaokufa watoto wa masikini waliokuwa jeshini.
Binadamu wanahitaji hofu ya Mungu...
Kwani nchi za NATO zipo ndani ya UKRAINEKwani kuipa makombola Ukraine na silaha nyingine sio kuingilia,mbona hajawafanya kitu na kila wakati amejitahidi kurusha makombola ndani ya Ukraine bila hata moja kugusa nchi za NATO
Matembo wa ulaya ambao wapo nato hawatak vita na urusi na ndio maana wakat Lithuania anamkazia mrusi matembo wote walimwambia achana na hiyo ishu.Kwani nchi za NATO zipo ndani ya UKRAINE
Kwanini nchi za NATO hazirushi kombora likagusa RUSSIA